帖撒羅尼迦前書 1 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

帖撒羅尼迦前書 1:1-10

1保羅西拉提摩太寫信給帖撒羅尼迦屬於父上帝和主耶穌基督的教會。

願恩典和平安歸給你們!

信徒的榜樣

2我們常常為你們眾人感謝上帝,為你們禱告, 3在我們的父上帝面前不斷地想到你們因信我們主耶穌基督而做的工作、因愛祂而受的勞苦和因祂所賜的盼望而激發的忍耐。

4上帝所愛的弟兄姊妹,我們知道上帝揀選了你們, 5因為我們傳福音給你們不只是靠言語,也靠上帝的能力、聖靈的同在和充分的確據。你們也知道,我們為了你們的緣故怎樣在你們中間行事為人。 6你們效法了我們和我們的主,儘管深受苦難,仍然懷著聖靈所賜的喜樂領受真道, 7成了馬其頓亞該亞所有信徒的榜樣。 8主的道從你們那裡不僅傳到了馬其頓亞該亞,還傳到了其他各地,你們對上帝的信心也廣為人知,我們無須再多說什麼。 9因為人們都在傳講你們如何接待我們,如何離棄偶像歸向上帝,事奉又真又活的上帝, 10等候祂的兒子從天降臨,就是祂使之從死裡復活、救我們脫離將來可怕審判1·10 可怕審判」希臘文是「烈怒」。的耶穌。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wathesalonike 1:1-10

Salamu

11:1 Mdo 16:1; 17:1; Rum 1:7Paulo, Silvano1:1 Yaani Sila. na Timotheo:

Kwa kanisa la Wathesalonike, ninyi mlio ndani ya Mungu Baba yetu na ndani ya Bwana Yesu Kristo:

Neema iwe kwenu na amani.

Shukrani Kwa Ajili Ya Imani Ya Wathesalonike

21:2 Rum 1:8; 2The 1:11; Efe 1:16; Flm 4Siku zote tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi yetu daima. 31:3 2The 1:11; 1The 2:13; Yn 6:29; Gal 5:6; 1The 3:6; Yak 2:17; Rum 16:6Tunaikumbuka daima kazi yenu ya imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini katika Bwana wetu Yesu Kristo.

41:4 Kol 3:12; 2The 2:13Ndugu zetu mpendwao na Mungu, kwa kuwa tunajua kwamba Mungu amewachagua, 51:5 2The 2:14; Mk 16:20; 1Kor 6:6; Kol 2:2kwa sababu ujumbe wetu wa Injili haukuja kwenu kwa maneno matupu bali pia ulidhihirishwa katika nguvu na katika Roho Mtakatifu, tena ukiwa na uthibitisho kamili, kama vile ninyi wenyewe mnavyojua jinsi tulivyoenenda katikati yenu kwa ajili yenu. 61:6 1Kor 4:16; Mdo 17:5-10; 13:52Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu. 71:7 1The 4:10; Flp 3:7; 1Pet 5:3; 1Tim 4:12Hivyo ninyi mkawa kielelezo kwa waumini wote katika Makedonia na Akaya. 81:8 Rum 1:8; 10:18Kwa maana kutoka kwenu neno la Bwana limesikika, si katika Makedonia na Akaya tu, bali pia imani yenu katika Mungu imejulikana kila mahali kiasi kwamba hatuna haja ya kusema lolote kwa habari yake. 91:9 1Kor 12:2; Gal 4:8Kwa maana watu wa maeneo hayo wenyewe wanaeleza jinsi mlivyotupokea na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkaacha sanamu, ili kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli 101:10 Mdo 2:24; Rum 5:9na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani, Yesu, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja.