哥林多前書 4 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

哥林多前書 4:1-21

基督的使徒

1因此,人應該把我們當作是基督的僕人,是上帝奧祕之事的管家。 2對管家的要求是忠心。 3我對你們或別人給我的評價毫不介意,我也不評價我自己。 4就算我今日問心無愧,也不能自以為義,因為評價我的是主。 5所以,時候未到,不可妄下斷語。到主耶穌再來的時候,祂會揭開暗中的隱情,使人心裡的動機顯露。到時候上帝會給各人應得的稱讚。

6弟兄姊妹,為了你們的益處,我以亞波羅和自己作例子,好讓你們效法我們不越過聖經的準則,免得有人自高自大、厚此薄彼。 7誰使你與眾不同呢?你有哪一樣不是領受的呢?既然一切都是領受的,你為什麼還自誇,好像不是領受的? 8你們已經飽足了,富有了,不需要我們,自己已經作王了。我倒希望你們真的能作王,好讓我們也和你們一同作王。 9我想,上帝把我們使徒排在隊伍的末尾,好像被判了死罪的囚犯,讓我們成了一台戲,給全宇宙看,就是給世人和天使觀看。

10我們為了基督的緣故被人看為愚昧,你們在基督裡倒成了聰明人;我們軟弱,你們倒強壯;你們受人尊敬,我們倒被人藐視。 11我們至今還是又饑又渴,衣不蔽體,遭受毒打,居無定所, 12還要親手勞作。我們被人咒罵,就為對方祝福;受人迫害,就逆來順受; 13被人毀謗,就好言相勸。人們至今仍將我們看作世上的廢物,萬物中的渣滓。

14我之所以寫這些事,並非是叫你們羞愧,而是像勸誡我親愛的兒女一樣勸誡你們。 15雖然有千萬老師將基督的事教導你們,但父親並不多,因為我藉著福音在基督耶穌裡成為你們的父親。 16所以,我勸你們效法我。 17正因如此,我派了提摩太去你們那裡。他在主裡忠心耿耿,是我所愛的孩子。他會提醒你們我在基督裡如何行事為人,在各地、各教會如何教導人。

18你們當中有些人以為我不會再去你們那裡,就傲慢自大起來。 19但主若許可,我會很快去你們那裡。那時我要看看這些驕傲的人究竟是只會空談,還是真有上帝的權能。 20因為上帝的國不在於空談,而在於權能。 21到底你們要什麼呢?要我帶著刑杖去呢?還是要我帶著溫柔慈愛的心去呢?

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wakorintho 4:1-21

Mawakili Wa Siri Za Mungu

14:1 1Kor 3:5; 9:17; Tit 1:7; Rum 16:25Basi, watu na watuhesabu sisi kuwa tu watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu. 24:2 Lk 12:42Tena, litakiwalo ni mawakili waonekane kuwa waaminifu. 3Lakini kwangu mimi ni jambo dogo sana kwamba nihukumiwe na ninyi au na mahakama yoyote ya kibinadamu. Naam, hata mimi mwenyewe sijihukumu. 44:4 Mdo 23:1; Rum 2:13; 2Kor 10:18Dhamiri yangu ni safi, lakini hilo halinihesabii kuwa asiye na hatia. Bwana ndiye anihukumuye. 54:5 Mt 7:12; 1The 2:19; Ay 12:22; Za 90:8; 1Kor 3:13; Rum 2:29Kwa hiyo msihukumu jambo lolote kabla ya wakati wake. Ngojeni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayaleta nuruni mambo yale yaliyofichwa gizani, na kuweka wazi nia za mioyo ya wanadamu. Wakati huo kila mmoja atapokea sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.

64:6 1Kor 1:19-31; 3:19-20; 1:21Basi ndugu zangu, mambo haya nimeyafanya kwangu binafsi na Apolo kwa faida yenu, ili mweze kujifunza kutoka kwetu maana ya ule usemi usemao, “Msivuke zaidi ya yale yaliyoandikwa.” Hivyo hamtajivunia mtu fulani na kumdharau mwingine. 74:7 Yn 3:27; Rum 12:3-6Kwa maana ni nani aliyewafanya kuwa tofauti na wengine? Ni nini mlicho nacho ambacho hamkupokea? Nanyi kama mlipokea, kwa nini mnajivuna kama vile hamkupokea?

84:8 Ufu 3:17-18Sasa tayari mnayo yale yote mnayohitaji! Tayari mmekwisha kuwa matajiri! Mmekuwa wafalme, tena bila sisi! Laiti mngekuwa wafalme kweli ili na sisi tupate kuwa wafalme pamoja nanyi! 94:9 Rum 8:36; Za 71:7; Ebr 10:33Kwa maana ninaona kwamba Mungu ametuweka sisi mitume katika nafasi ya mwisho kabisa, kama watu waliohukumiwa kufa kwenye uwanja wa tamasha, kwa sababu tumefanywa kuwa maonyesho kwa ulimwengu wote, kwa malaika na kwa wanadamu pia. 104:10 1Kor 1:18; Mdo 17:18; 26:24; 1Kor 3:18; 2Kor 11:19; 1Kor 2:3Kwa ajili ya Kristo sisi ni wajinga, lakini ninyi mna hekima sana ndani ya Kristo. Sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu. Tunadharauliwa, lakini ninyi mnaheshimiwa. 114:11 Rum 8:35; 2Kor 11:23-27Mpaka saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi, tumepigwa na hatuna makao. 124:12 Mdo 18:3; Rum 12:14; 1Pet 3:4; Mt 5:44Tunafanya kazi kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe. Tunapolaaniwa, tunabariki, tunapoteswa, tunastahimili, 134:13 Yer 20:18; Mao 3:45; Kum 17:7; 22:24tunaposingiziwa, tunajibu kwa upole. Mpaka sasa tumekuwa kama takataka ya dunia na uchafu wa ulimwengu.

144:14 1Kor 6:5; 15:34; 2The 3:14; 1The 2:11Siwaandikii mambo haya ili kuwaaibisha, bali ili kuwaonya, kama wanangu wapendwa. 154:15 1Kor 9:12-23; 15:1Hata kama mnao walimu 10,000 katika Kristo, lakini hamna baba wengi. Mimi nilikuwa baba yenu katika Kristo Yesu kwa kuwaletea Injili. 164:16 1Kor 11:1; Flp 3:17; 4:9; 1The 1:6; 2The 3:7-9Basi nawasihi igeni mfano wangu. 174:17 1Kor 16:10; Mdo 16:1; 1Tim 1:2Kwa sababu hii ninamtuma Timotheo, mwanangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Yeye atawakumbusha kuhusu njia za maisha yangu katika Kristo Yesu, ambayo yanakubaliana na mafundisho yangu ninayofundisha katika kila kanisa.

184:18 Yer 43:2Baadhi yenu mmekuwa na jeuri mkidhani kuwa sitafika kwenu. 194:19 1Kor 16:5-6; 2Kor 1:15; Mdo 18:21Lakini kama Bwana akipenda, nitafika kwenu mapema, nami nitapenda kujua, si tu kile wanachosema hawa watu jeuri, bali pia kujua nguvu yao. 204:20 Rum 14:17; 15:13Kwa kuwa Ufalme wa Mungu si maneno matupu tu bali ni nguvu. 214:21 2Kor 1:23; 2:1; 13:2-10Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?