加拉太書 5 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

加拉太書 5:1-26

基督徒的自由

1基督釋放了我們,是要我們得自由。所以,要站穩了,不要再被奴僕的軛轄制。

2聽著!我保羅鄭重地告訴你們,如果你們接受割禮,基督對你們就毫無益處。 3我再次警告所有接受割禮的人,他們必須遵守全部的律法。 4你們若想靠遵行律法而被稱為義人,就與基督隔絕了,並且離開了上帝的恩典。 5但我們要靠著聖靈,憑信心熱切等候所盼望的義。 6我們既然已經在基督耶穌裡,受不受割禮根本無關緊要,藉著愛表現出來的信心才至關重要。

7你們本來在信心的路上一直跑得很好。現在是誰攔阻了你們,叫你們不再信從真理呢? 8當然不是呼召你們的上帝! 9「一點麵酵能使整團麵發起來。」 10我在主裡深信你們不會有二心,但無論誰攪擾你們,都必受審判。

11弟兄姊妹,如果我仍舊主張行割禮,怎麼還會受迫害呢?如果是那樣,十字架冒犯人的地方就被消除了。 12我恨不得那些攪擾你們的人把自己閹了5·12 把自己閹了」或作「與你們隔離」。

13弟兄姊妹,你們蒙召得了自由,但不要以自由為藉口來放縱情慾,要本著愛心互相服侍, 14因為全部的律法可以總結成一句話:「要愛鄰如己」。 15你們要謹慎,如果你們相咬相吞,恐怕會同歸於盡。

順從聖靈而行

16因此,我勸你們行事為人要順從聖靈的引導,這樣就不會放縱罪惡本性的私慾。 17因為人罪惡本性的私慾與聖靈作對,聖靈也與罪惡本性的私慾作對,兩者勢不兩立,使你們不能做自己想做的事。 18但你們如果順從聖靈的引導,就不再受律法的約束。 19順從罪惡本性而行的事顯而易見,如淫亂、污穢、邪蕩、 20拜偶像、行邪術、仇恨、爭吵、忌恨、惱怒、紛爭、衝突、分裂5·20 分裂」或譯「異端」。21嫉妒、兇殺、醉酒和荒宴無度等。我從前警告過你們,現在再一次警告你們:行這些事的人必不能承受上帝的國。

22但聖靈所結的果子是仁愛、喜樂、和平、忍耐、恩慈、良善、信實、 23溫柔、節制。沒有律法會禁止這些事。 24那些屬基督的人已經把罪惡的本性和本性裡的邪情私慾都釘在十字架上了。 25如果我們是靠聖靈生活,就當凡事順從聖靈的引導。 26我們不要自高自大、彼此惹氣、互相嫉妒。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wagalatia 5:1-26

Uhuru Ndani Ya Kristo

15:1 Gal 5:13; 2:4; Yn 8:32; Rum 7:4; 1Kor 16:13; Mt 23:4Kristo alitupa uhuru, akataka tubaki huru. Hivyo simameni imara wala msikubali tena kulemewa na kongwa la utumwa.

25:2 Gal 5:3; Mdo 15:1Sikilizeni! Mimi, Paulo, nawaambieni kwamba kama mkikubali kutahiriwa, basi Kristo hatawafaidia chochote. 35:3 Rum 2:25; Gal 3:10; Yak 2:10Namshuhudia tena kila mtu anayekubali kutahiriwa kwamba inampasa kushika sheria yote. 45:4 Rum 3:28; Ebr 12:15; 2Pet 3:17Ninyi mnaotafuta kuhesabiwa haki kwa njia ya sheria mmetengwa na Kristo, mko mbali na neema ya Mungu. 55:5 Rum 8:23, 24; 2Tim 4:8; 1Kor 7:19Kwa maana, kwa njia ya Roho kwa imani, tunangojea kwa shauku tumaini la haki. 65:6 Rum 16:3; 1Kor 7:19; 1The 1:3; Yak 2:22Kwa maana ndani ya Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuleti tofauti, bali lililo muhimu ni imani itendayo kazi kwa njia ya upendo.

75:7 1Kor 9:24; Gal 3:1Mlikuwa mkipiga mbio vizuri. Ni nani aliyewazuia msiitii kweli? 85:8 Rum 8:28; Gal 1:6Ushawishi wa namna hiyo haukutokana na yule anayewaita. 95:9 1Kor 5:6; 15:33“Chachu kidogo huchachua donge zima.” 105:10 2Kor 2:3; Flp 3:15; Gal 1:7Nina hakika katika Bwana kwamba hamtakuwa na msimamo mwingine. Mtu anayewachanganya anastahili adhabu, hata awe nani. 115:11 Gal 4:29; 6:12; Lk 2:34Lakini ndugu zangu, kama mimi bado ninahubiri kuhusu kutahiriwa, kwa nini bado ninateswa? Katika hiyo hali basi, kwazo la msalaba limeondolewa. 125:12 Gal 5:10; Yos 7:25; 1Kor 5:13; Gal 1:8, 9; Mdo 15:1, 2, 24Laiti hao wanaowavuruga wangejihasi wao wenyewe!

135:13 Gal 5:1, 24; 1Kor 8:9; 1Pet 2:16; 1Kor 9:19; 2Kor 4:5Ndugu zangu, ninyi mliitwa ili mwe huru, hivyo msitumie uhuru wenu kama fursa ya kufuata tamaa za mwili, bali tumikianeni ninyi kwa ninyi kwa upendo. 145:14 Law 19:18; Mt 5:43; Gal 6:2Kwa maana sheria yote hukamilika katika amri moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.” 15Kama mkiumana na kutafunana, angalieni, msije mkaangamizana.

Maisha Ya Kiroho

165:16 Gal 5:18, 25; Rum 8:2, 4-6, 9; 14; 2Kor 5:17; Gal 5:14Kwa hiyo nasema, enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili. 175:17 Rum 8:5-8; 7:15-23Kwa maana mwili hutamani yale yaliyo kinyume na Roho, naye Roho hutamani yale yaliyo kinyume na mwili. Roho na mwili hupingana na kwa sababu hiyo hamwezi kufanya mnayotaka. 185:18 Rum 2:12; 6:14; Gal 5:16; 1Tim 1:9Lakini kama mkiongozwa na Roho, hamko chini ya sheria.

195:19 1Kor 6:18; 3:3; Efe 5:3; Kol 3:5; Yak 3:14, 15Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: Uasherati, uchafu, ufisadi, 20kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, 215:21 Rum 13:13; Mt 15:19; 25:34; 1Kor 6:9husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha kuwaonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama hayo, hawataurithi Ufalme wa Mungu.

225:22 Mt 7:16-20Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, 23upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria. 24Wote walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili na shauku zake pamoja na tamaa zake. 25Kwa kuwa tunaishi kwa Roho, basi, tuenende kwa Roho. 265:26 Flp 2:3; Mt 18:15; Yak 2:19Tusijisifu bure, tukichokozana na kuoneana wivu.