出埃及記 19 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

出埃及記 19:1-25

以色列人在西奈山

1以色列人離開埃及滿三個月的那一天,他們來到西奈半島的曠野。 2他們離開利非訂,來到西奈曠野,在那裡的山下安營。

3摩西上山到上帝那裡,耶和華從山上呼喚他說:「你告訴雅各家,告訴以色列人, 4『我怎樣對付埃及人,你們都看見了,我好像鷹一樣把你們背在翅膀上帶到我這裡。 5現在,倘若你們認真聽從我的話,遵守我的約,就必在萬民中做我的子民,因為普天下都是我的。 6你們要歸於我,作祭司之國、聖潔之邦。這些話你要告訴以色列人。』」

7摩西召集以色列的長老,把耶和華對他的一切吩咐都轉告他們。 8百姓都齊聲回答說:「凡耶和華所吩咐的,我們都願意遵從。」

摩西便把他們的話回報耶和華。 9耶和華對摩西說:「我會在密雲中臨到你那裡,使百姓也可以親耳聽見我與你說話的聲音,這樣他們就會永遠信賴你。」摩西以色列人的話回報耶和華。 10耶和華對摩西說:「你現在回到他們那裡,吩咐他們今天和明天要潔淨自己,洗淨衣服, 11到後天都要預備好,因為這一天耶和華要在百姓眼前降臨在西奈山上。 12此外,你要在山的四圍劃定界線,吩咐百姓不得上山或碰到界線,違例者死。 13你們不可用手觸摸違例者,要用石頭打死他或用箭射死他,牲畜也不例外。百姓要一直等到聽見角聲長鳴才可上山。」 14於是,摩西下山回到百姓那裡,吩咐他們各人潔淨自己,洗淨衣服。 15又吩咐他們說:「到後天一切都要準備好,這期間你們不可親近女人。」

16到了第三天早晨,山上雷電大作,烏雲密佈,又有嘹亮的號角聲,營中的百姓都膽戰心驚。 17摩西率領百姓出營迎接上帝,他們都站在山腳下。 18因為耶和華在火中降臨到西奈山,整座山都冒著濃煙,滾滾上騰,好像一個大火窯,整座山都震動起來。 19號角聲越來越嘹亮。摩西說話,上帝就回應他,聲音好像雷鳴。 20耶和華降臨在西奈山頂,召摩西到山頂,摩西就上去了。 21耶和華對摩西說:「你下去囑咐百姓不可闖過界線到我這裡觀看,以免很多人死亡。 22吩咐到我面前來的祭司要潔淨自己,免得我忽然出來擊殺他們。」

23摩西對耶和華說:「百姓不能上西奈山,因為你已經吩咐我們要在山的四圍劃定界限,使這山成為聖山。」 24耶和華對他說:「你下去把亞倫一起帶來,祭司和百姓仍要留在原來的地方,不得亂闖到我面前,免得我忽然出來擊殺他們。」 25摩西就下去,把耶和華的話轉告給百姓。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 19:1-25

Waisraeli Kwenye Mlima Sinai

119:1 Kut 6:6; Hes 3:14; 33:15Mnamo mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kuondoka Misri, siku kama iyo hiyo, wakafika katika Jangwa la Sinai. 219:2 Kut 17:1; 36:1; Kum 5:2-4Baada ya kuondoka Refidimu, waliingia katika Jangwa la Sinai na Israeli wakapiga kambi pale jangwani mbele ya mlima.

319:3 Kut 20:21; 3:4; 25:22; Mdo 7:38Kisha Mose akakwea kwenda kwa Mungu, naye Bwana akamwita kutoka kwenye ule mlima akasema, “Hivi ndivyo utakavyosema na nyumba ya Yakobo na utakachowaambia watu wa Israeli: 419:4 Kum 29:2; Yos 24:7; Kum 32:11; Za 103:5; Isa 40:31; Yer 4:13; 48:40; Ufu 12:14; Kum 33:12; Isa 31:5; Eze 16:6‘Ninyi wenyewe mmeona nililofanya huko Misri, jinsi nilivyowabeba kwenye mbawa za tai na kuwaleta kwangu. 519:5 Kut 15:26; Kum 6:3; Za 78:10; Yer 7:23; Mwa 17:9; Kut 3:1; 8:22; 34:9; Kum 1:8; Tit 2:14; Kut 9:29; 1Kor 10:26Sasa kama mkinitii kikamilifu na kutunza Agano langu, basi ninyi mtakuwa mali yangu ya thamani kubwa miongoni mwa mataifa yote. Ijapokuwa dunia yote ni mali yangu, 619:6 Isa 61:6; 66; 21; 1Pet 2:5; Mwa 18:19; Law 11:45; Kum 4:27; 7:6; 26:19; 28:9; 29:13; 33:3; Isa 4:3; 62:12; Yer 2:3; Amo 3:2ninyi mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa Israeli.”

719:7 Kut 18:12; Law 4:15; 9:1; Hes 16:25; Kut 4:30; Isa 8:10Kwa hiyo Mose akarudi, akawaita wazee wa watu na kuwaambia maneno yote ambayo Bwana alikuwa amemwamuru ayaseme. 819:8 Kut 24:3-7; Kum 5:27; 26:17Watu wote wakajibu kwa pamoja, “Tutafanya kila kitu Bwana alichokisema.” Naye Mose akarudisha majibu yao kwa Bwana.

919:9 Kut 20:21; 24:15-16; 33:9; 34:5; Kum 4:11; 2Sam 22:10-12; 2Nya 6:1; Kut 4:5; Za 18:11; 97:2; 99:7; Mt 17:5; Kum 4:12, 36; Yn 12:29-30Bwana akamwambia Mose, “Nitakujia katika wingu zito, ili watu wanisikie nikinena nawe na kila mara waweke tumaini lao kwako.” Kisha Mose akamwambia Bwana yale ambayo watu walikuwa wamesema.

1019:10 Law 11:44; Hes 11:18; Isa 16:5; Yoe 2:16; Ebr 10:22; Mwa 35:2; Ufu 22:14Naye Bwana akamwambia Mose, “Nenda kwa watu ukawaweke wakfu leo na kesho. Waambie wafue nguo zao 1119:11 Mwa 11:5; Kut 3:1; 24:16; 31:18; 34:2-4, 29-32; Law 7:38; 26:46; 27:34; Hes 3:1; Dan 10:5; Neh 9:13; Gal 4:24-25na wawe tayari siku ya tatu, kwa sababu siku hiyo, Bwana atashuka juu ya mlima Sinai machoni pa watu wote. 12Weka mipaka kuzunguka mlima kwa ajili ya watu, uwaambie, ‘Mwe waangalifu, msije mkapanda mlimani au kuugusa. Yeyote atakayeugusa mlima hakika atauawa. 1319:13 Ebr 12:20; Yos 6:4; 1Nya 15:28; Za 81:3; 98:6; Kut 34:3Hakika atapigwa mawe au kupigwa mishale; mkono wa mtu hautamgusa. Akiwa mwanadamu au mnyama, hataruhusiwa kuishi.’ Ila tu wakati baragumu itakapopigwa kwa mfululizo, ndipo watu wote watakapopanda mlimani.”

1419:14 Mwa 35:2Baada ya Mose kushuka kutoka mlimani akawaendea watu na kuwaweka wakfu, wakafua nguo zao. 1519:15 1Sam 21:4; 1Kor 7:5Kisha akawaambia watu, “Jitayarisheni kwa ajili ya siku ya tatu. Mwanaume yeyote asimkaribie mwanamke.”

1619:16 1Sam 2:10; Isa 29:6; Ebr 12:18-19; Ufu 4:1; Mwa 3:10; 1Sam 13:7; 14:15; 28:5; Za 99:1; Ebr 12:21Asubuhi ya siku ya tatu kulikuwa na ngurumo na radi pamoja na wingu nene juu ya mlima na mlio mkubwa sana wa tarumbeta. Kila mmoja aliyekuwa kambini akatetemeka. 1719:17 Kum 4:11Kisha Mose akawaongoza watu kutoka kambini kukutana na Mungu, nao wakasimama chini ya mlima. 1819:18 Kut 20:18; Za 104:32; Isa 6:4; Ufu 15:8; Kut 3:2; 24:17; Law 9:24; Kum 4:11, 24, 33; 5:4; 9:3; 1Fal 18:24, 38; 1Nya 21:26; 2Nya 7:1; Za 18:8; Ebr 12:18; Mwa 19:28; Ufu 9:2; Amu 5:5; 2Sam 22:8; Za 68:8; Isa 2:19; 5:25; 41:15; 64:1; Yer 4:24; 10:10; Mik 1:4; Nah 1:5; Hab 3:6-10; Hag 2:6Mlima Sinai ulikuwa umefunikwa na moshi, kwa sababu Bwana alishuka juu yake katika moto. Moshi wa moto huo ulipanda juu kama moshi kutoka kwenye tanuru kubwa na mlima wote ukatetemeka kwa nguvu nyingi, 1919:19 Kum 4:33; Neh 9:13; Za 81:7nayo sauti ya tarumbeta ikawa kubwa zaidi na zaidi. Kisha Mose akazungumza na sauti ya Bwana ikamjibu.

20Bwana akashuka juu ya Mlima Sinai na akamwita Mose apande juu mlimani. Kwa hiyo Mose akapanda juu, 2119:21 Kut 24:10-11; Hes 4:20; 1Sam 6:19naye Bwana akamwambia Mose, “Shuka ukawaonye watu ili wasijipenyeze kutafuta kumwona Bwana na wengi wao wakafa. 2219:22 Law 10:3; 1Sam 16:5; 2Nya 29:5; Yoe 2:16; 2Sam 6:7Hata makuhani, watakaomkaribia Bwana ni lazima wajiweke wakfu, la sivyo Bwana atawaadhibu.”

23Mose akamwambia Bwana, “Watu hawawezi kupanda mlima Sinai kwa sababu wewe mwenyewe ulituonya ukisema, ‘Wekeni mipaka kuuzunguka mlima na kuutenga kama patakatifu.’ ”

2419:24 Kut 24:1, 9Bwana akajibu, “Shuka ukamlete Aroni pamoja nawe. Lakini makuhani pamoja na watu wasije wakalazimisha kuja kwa Bwana, nisije nikawaadhibu.”

25Basi Mose akashuka kwa watu na kuwaambia lile aliloambiwa.