何西阿書 9 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

何西阿書 9:1-17

何西阿宣佈對以色列的懲罰

1以色列啊,

不要歡喜快樂,

不要像外族人那樣歡喜快樂!

因為你對你的上帝不忠不貞,

在各麥場上喜愛賣淫得資財。

2但麥場上的穀物將不夠養活你們,

榨酒池裡也將缺乏新酒。

3你們將不能再住在耶和華的土地上。

以法蓮要返回埃及

亞述吃不潔之物。

4你們將不能再獻奠祭給耶和華,

你們的祭牲也不蒙悅納。

這些祭物如居喪之人的食物,

吃的人都被玷污。

你們的食物只能供自己吃,

不能帶進耶和華的殿。

5在耶和華所定的節期裡,

你們要做什麼呢?

6即使你們逃脫毀滅之災,

埃及人也要把你們聚集起來,

摩弗埋葬你們。

你們的珍貴銀器要散落在荊棘中,

你們的帳篷中要長滿蒺藜。

7以色列人受懲罰的日子近了,

遭報應的時候到了!

這點你們要知道。

你們罪惡深重,充滿憎恨,

以致你們說:

「先知是傻瓜,

被靈感動的人是瘋子。」

8先知為了上帝做以法蓮的守望者,

可是他走的路上佈滿網羅,

在他上帝的家裡遭人憎恨。

9你們敗壞至極,

恰如從前在基比亞的日子。

耶和華必記住你們的罪惡,

追討你們的罪債。

10耶和華說:

「昔日我看見以色列時,

像在荒野看見葡萄;

看見你們的祖先時,

像在無花果樹上看見初熟的果子。

但他們卻祭拜巴力·毗珥

把自己獻給可恥的偶像,

變得像他們所愛的偶像一樣可憎。

11以法蓮人的榮耀要如鳥飛逝,

你們將不能受孕,

不能懷胎,

也不能生育。

12你們縱然把孩子養大,

我也要奪去他們的性命,一個也不留。

我撇棄你們的時候,

你們就有禍了!

13我看見以法蓮栽種在草原上,美如泰爾

以法蓮卻要把孩子交給屠殺者。」

14耶和華啊,求你給他們——

你要給他們什麼呢?

求你使他們子宮流產,乳房乾癟。

15耶和華說:

「因他們在吉甲的一切惡行,

我已憎惡他們。

因他們的惡行,

我要將他們逐出我的家,

不再愛他們,

他們的首領都是悖逆之人。

16以法蓮要被擊打,

他們的根將枯乾,

再也不能結果。

就算他們能生兒育女,

我也要殺死他們心愛的孩子。」

17我的上帝必棄絕他們,

因為他們不聽從祂。

他們必在列國中流離飄泊。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 9:1-17

Adhabu Kwa Israeli

19:1 Isa 22:12-13; 24:16; Za 73:27; Hos 7:14; 10:5; Mwa 30:15Usifurahie, ee Israeli;

usishangilie kama mataifa mengine.

Kwa kuwa hukuwa

mwaminifu kwa Mungu wako;

umependa ujira wa kahaba kwenye kila sakafu

ya kupuria nafaka.

29:2 Isa 24:7; Yoe 1:10; Hos 2:9Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai

havitalisha watu,

divai mpya itawapungukia.

39:3 Kum 4:26-27; Amo 7:17; Eze 4:13; Hos 7:16; 8:13; 10:5; Law 25:23Hawataishi katika nchi ya Bwana,

Efraimu atarudi Misri

na atakula chakula

kilicho najisi huko Ashuru.

49:4 Yer 6:20; 16:7; Kum 26:14; Hos 8:13; Hag 2:13-14; Yoe 2:14; Eze 4:13-14Hawatammiminia Bwana sadaka ya divai

wala dhabihu zao hazitampendeza.

Dhabihu kama hizo zitakuwa kwao

kama mkate wa waombolezaji;

nao wote wazilao watakuwa najisi.

Chakula hiki kitakuwa kwa ajili yao wenyewe;

kisije katika Hekalu la Bwana.

59:5 Isa 10:3; Yer 5:31; Hos 2:11Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa,

katika siku za sikukuu za Bwana?

69:6 Isa 5:6; 19:13; Hos 7:11; 8:13; 10:8; Yer 42:22; Isa 32:13; 34:13Hata ikiwa wataokoka maangamizi,

Misri atawakusanya,

nayo Memfisi9:6 Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu. itawazika.

Hazina zao za fedha zitasongwa na michongoma,

nayo miiba itafunika mahema yao.

79:7 Mik 7:4; Lk 21:22; Yer 10:15; 16:18; 1Sam 10:11; Mao 2:14; Isa 34:8; 44:25; Ay 31:14; Eze 14:9-10Siku za adhabu zinakuja,

siku za malipo zimewadia.

Israeli na afahamu hili.

Kwa sababu dhambi zenu ni nyingi sana

na uadui wenu ni mkubwa sana,

nabii anadhaniwa ni mpumbavu,

mtu aliyeongozwa na Mungu

anaonekana mwendawazimu.

89:8 Hos 5:1; Eze 22:26; Yer 6:17; 31:6; Eze 3:17; 35:7Nabii, pamoja na Mungu wangu,

ndiye mlinzi juu ya Efraimu,

hata hivyo mitego inamngojea

katika mapito yake yote,

na uadui katika nyumba ya Mungu wake.

99:9 Amu 19:16-30; Hos 4:9; 8:13; 10:9; Sef 3:7Wamezama sana katika rushwa,

kama katika siku za Gibea.

Mungu atakumbuka uovu wao

na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.

109:10 Hes 25:1-5; Za 106:28-29; Yer 11:13; Hos 4:14; Wim 2:13“Nilipompata Israeli, ilikuwa kama

kupata zabibu jangwani;

nilipowaona baba zenu, ilikuwa kama kuona

matunda ya kwanza katika mtini.

Lakini walipofika Baal-Peori, walijiweka wakfu

kwa ile sanamu ya aibu,

nao wakawa najisi

kama kitu kile walichokipenda.

119:11 Hos 4:7; 10:5; Isa 17:3Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege:

hakuna kuzaa, hakuna kuchukua mimba,

hakuna kutunga mimba.

129:12 Hos 7:13; Kum 31:17; Eze 24:21Hata wakilea watoto,

nitamuua kila mmoja.

Ole wao

nitakapowapiga kisogo!

139:13 Eze 27:3; Za 78:67; Ay 15:22; Mao 2:22Nimemwona Efraimu, kama Tiro,

aliyeoteshwa mahali pazuri.

Lakini Efraimu wataleta

watoto wao kwa mchinjaji.”

149:14 Lk 23:29; Hos 9:11; Lk 23:29Wape, Ee Bwana,

je, utawapa nini?

Wape matumbo ya kuharibu mimba

na matiti yaliyokauka.

159:15 Hos 4:9, 15; 5:2; 7:2; Isa 1:23; Yer 12:8“Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali,

niliwachukia huko.

Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi,

nitawafukuza katika nyumba yangu.

Sitawapenda tena,

viongozi wao wote ni waasi.

169:16 Hos 5:11; 8:7; Ay 15:32Efraimu ameharibiwa,

mzizi wao umenyauka,

hawazai tunda.

Hata kama watazaa watoto,

nitawachinja watoto wao

waliotunzwa vizuri.”

179:17 Hos 4:10; 7:13; Kum 28:65; Yer 6:30Mungu wangu atawakataa

kwa sababu hawakumtii;

watakuwa watu wa kutangatanga

miongoni mwa mataifa.