耶和華對以色列的愛
1耶和華說:
「以色列年幼時,我就愛他,
視他為兒子,把他從埃及召出來。
2可是,我越召喚他們,他們就跑得越遠,
給巴力獻祭,向偶像燒香。
3是我教以法蓮學步,張開雙臂抱他們,
他們卻不知道是我醫治他們。
4我用慈繩愛索牽引他們,
解開他們所負的重軛,
彎腰餵養他們。
5「他們要返回埃及,
亞述要統治他們,
因為他們不肯歸向我。
6刀劍之災要臨到他們的城邑,
毀壞他們的城門,將他們吞噬,
因為他們倚仗自己的計謀。
7我的子民執意離我而去,
他們雖然求告至高的我,
我也不會拯救他們。
8以法蓮啊,我怎能捨棄你?
以色列啊,我怎能棄絕你?
我怎能使你的下場如押瑪?
我怎能對待你如對待洗扁?
我的心意改變,我滿懷憐愛。
9我不再發烈怒,
也不再毀滅以法蓮。
因為我是上帝,不是世人,
是住在你們中間的聖者,
我必不帶著烈怒來臨。
10「以色列子民必跟隨耶和華,
祂要像獅子一樣吼叫。
祂吼叫的時候,
他們要戰戰兢兢地從西方來。
11他們必戰戰兢兢地來,
就像從埃及趕來的鳥兒,
像從亞述飛來的鴿子。
我要帶他們返回家園。
這是耶和華說的。」
對以色列和猶大的指控
12耶和華說:
「以法蓮用謊話包圍我,
以色列家用詭詐環繞我;
猶大依然背離聖潔、信實的上帝11·12 「猶大依然背離聖潔、信實的上帝」或譯為「猶大卻與上帝同行,忠於聖者」。。
Upendo Wa Mungu Kwa Israeli
111:1 Kut 4:22; Mt 2:15; Yer 2:2; Eze 16:22; Hos 12:9; 13:4“Wakati Israeli alipokuwa mtoto, nilimpenda,
nilimwita mwanangu kutoka Misri.
211:2 Hos 2:13; 4:13; 2Fal 17:15; Isa 65:7; Yer 18:15Lakini kadiri nilivyomwita Israeli,
ndivyo walivyokwenda mbali nami.
Walitoa dhabihu kwa Mabaali
na kufukiza uvumba kwa vinyago.
311:3 Kum 1:31; 32:11; Kut 15:26; Yer 30:17Mimi ndiye niliyemfundisha Efraimu kutembea,
nikiwashika mikono;
lakini hawakutambua
kuwa ni mimi niliyewaponya.
411:4 Yer 31:2-3, 20; Law 26:13; Kut 16:32; Za 78:25Niliwaongoza kwa kamba za huruma ya kibinadamu,
kwa vifungo vya upendo;
niliondoa nira shingoni mwao
nami nikainama kuwalisha.
511:5 Yer 8:4-6; Hos 7:16; 10:6; Kut 13:17“Je, hawatarudi Misri,
nayo Ashuru haitawatawala
kwa sababu wamekataa kutubu?
611:6 Hos 13:16; Mao 2:9Panga zitametameta katika miji yao,
zitaharibu makomeo ya malango yao
na kukomesha mipango yao.
711:7 Yer 3:6-7; 8:5; Isa 26:10Watu wangu wamedhamiria kuniacha.
Hata kama wakimwita Yeye Aliye Juu Sana,
kwa vyovyote hatawainua.
811:8 Mwa 14:8; 19:25; Hos 6:4; Mao 3:32; Yer 7:29; Za 25:6; 1Fal 3:26“Efraimu, ninawezaje kukuacha?
Ee Israeli, ninawezaje kukutoa?
Nitawezaje kukutendea kama Adma?
Nitawezaje kukufanya kama Seboimu?
Moyo wangu umegeuka ndani yangu,
huruma zangu zote zimeamshwa.
911:9 Kum 13:17Sitatimiza hasira yangu kali,
wala sitageuka na kumharibu Efraimu.
Kwa kuwa mimi ndimi Mungu,
wala si mwanadamu,
Aliye Mtakatifu miongoni mwenu.
Sitakuja kwa ghadhabu.
1011:10 Hos 3:5; 6:1-3; Isa 31:4; 42:13; Za 18:45Watamfuata Bwana;
atanguruma kama simba.
Wakati angurumapo,
watoto wake watakuja wakitetemeka
kutoka magharibi.
1111:11 Isa 11:11; Mwa 8:8; Eze 28:26; 34:25-28Watakuja wakitetemeka
kama ndege wakitoka Misri,
kama hua wakitoka Ashuru.
Nitawakalisha katika nyumba zao,”
asema Bwana.
Dhambi Ya Israeli
1211:12 Hos 4:2; 10:13; Kum 7:9Efraimu amenizunguka kwa uongo,
nyumba ya Israeli kwa udanganyifu.
Naye Yuda ni mkaidi dhidi ya Mungu,
hata kinyume cha yule mwaminifu Aliye Mtakatifu.