以賽亞書 3 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

以賽亞書 3:1-26

對耶路撒冷和猶大的審判

1主——萬軍之耶和華要從耶路撒冷猶大拿去眾人倚靠的一切:糧食、水、

2英雄、戰士、審判官、先知、

占卜者、長老、

3五十夫長、顯貴、謀士、巧匠和巫師。

4主必使少兒做他們的首領,

讓孩童治理他們。

5百姓將彼此欺凌,

鄰居互相爭鬥,

少年目無尊長,

卑賤者欺尊犯上。

6那時,人會拉住一位同族的弟兄說:

「你至少還有件像樣的衣服,

你就做我們的首領吧,

這廢墟之地就交給你了!」

7但那人必高聲說:

「我救不了你們。

我家中無衣無食,

不要讓我做首領。」

8耶路撒冷必崩潰,

猶大必敗落,

因為他們的言行冒犯耶和華,

蔑視榮耀的主。

9他們的表情顯出他們心術不正,

他們跟所多瑪人一樣對自己的罪惡津津樂道,

毫不隱瞞。

他們必大禍臨頭,自招毀滅。

10要告訴義人:他們有福了,

必得善報。

11惡人有禍了!他們必大禍臨頭,

受到報應。

12耶和華說:「我的子民啊!

孩童欺壓你們,

婦女管轄你們。

你們的首領領你們入迷途,

帶你們走歧路。」

13耶和華準備就緒,

要審判祂的子民。

14祂必審問祂子民中的長老和首領,對他們說:

「你們毀壞了我的葡萄園——我的子民,

家裡堆滿了從窮人那裡掠奪的東西。

15你們為何壓榨我的子民,

虐待貧窮人?」

這是主——萬軍之耶和華說的。

16耶和華又說:

錫安的女子狂傲,

昂首走路,賣弄媚眼,

俏步徐行,腳鐲叮噹。

17所以,我要使她們頭上長瘡,

露出頭皮。」

18到那日,主必拿去她們美麗的腳鐲、髮飾、項鏈、 19耳環、手鐲、面紗、 20頭飾、腳鏈、彩帶、香盒、護身符、 21戒指、鼻環、 22禮服、外袍、披肩、錢包、 23鏡子、內衣、頭巾和圍巾。

24她們的香氣將變成臭味,

腰帶將變成繩子,

美髮將變成禿頭,

華服將變成麻衣,

美麗的容顏將佈滿羞辱的烙印。

25城中的男子將喪身刀下,

勇士將戰死沙場。

26錫安的城門必悲傷、哀哭,

錫安必空空地坐在地上。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 3:1-26

Hukumu Juu Ya Yerusalemu Na Yuda.

13:1 Law 26:26; Eze 4:16; Amo 4:6; Yer 37:21; Za 18:18; Isa 5:13; 65:13Tazama sasa, Bwana,

Bwana Mwenye Nguvu Zote,

yu karibu kuwaondolea Yerusalemu na Yuda

upatikanaji wa mahitaji na misaada,

upatikanaji wote wa chakula na tegemeo lote la maji,

23:2 Eze 17:13; Isa 9:14-15; 2Fal 24:14; Kum 18:10shujaa na mtu wa vita,

mwamuzi na nabii,

mwaguzi na mzee,

33:3 Ay 22:8; 2Fal 24:14; Mhu 10:11; Yer 8:17; 2Fal 1:9jemadari wa kikosi cha watu hamsini

na mtu mwenye cheo, mshauri,

fundi stadi na mlozi mjanja.

43:4 Mhu 10:16Nitawafanya wavulana wawe maafisa wao,

watoto ndio watakaowatawala.

53:5 Za 28:3; Yer 9:8; Isa 9:19; Mik 7:2-6Watu wataoneana wao kwa wao:

mtu dhidi ya mtu, na jirani dhidi ya jirani yake.

Kijana atainuka dhidi ya mzee,

mtu mnyonge dhidi ya mtu mwenye heshima.

6Mtu atamkamata mmoja wa ndugu zake

katika nyumba ya baba yake na kusema,

“Unalo joho, sasa uwe kiongozi wetu,

tawala lundo hili la magofu!”

73:7 Yer 30:12; Hos 5:13; Isa 2:11; 24:2; Eze 34:4; Yoe 1:16Lakini siku hiyo atapiga kelele akisema,

“Sina uponyaji.

Sina chakula wala mavazi katika nyumba yangu,

msinifanye niwe kiongozi wa watu.”

83:8 Isa 30:9; 9:15-17; 28:15; 1:7; Ay 1:11; Za 73:9-11; 2Nya 33:6; Isa 65:7Yerusalemu inapepesuka,

Yuda inaanguka;

maneno yao na matendo yao ni kinyume na Bwana,

wakiudharau uwepo wake uliotukuka.

93:9 Mwa 13:13; 2Nya 34:24; Rum 6:23; Hes 32:23; Isa 59:12; Yer 14:7; Mit 8:36; Hos 5:5Nyuso zao zinavyoonekana zinashuhudia dhidi yao,

hujivunia dhambi yao kama Sodoma,

wala hawaifichi.

Ole wao!

Wamejiletea maafa juu yao wenyewe.

103:10 Za 37:17; Yer 22:15; Mwa 15:1; Za 128:2; Kum 12:28; 5:33Waambie wanyofu itakuwa heri kwao,

kwa kuwa watafurahia tunda la matendo yao.

113:11 Kum 28:15-68; Ay 9:13; Isa 57:20; Kum 28:15-68; 2Nya 6:23; Yer 21:14; Mao 5:16; Eze 24:14Ole kwa watu waovu! Maafa yapo juu yao!

Watalipwa kwa ajili ya yale mikono yao iliyotenda.

123:12 Yer 25:16; Mik 3:5; Isa 9:16; 19:14; 28:7; Yer 23:13; 25:16Vijana wanawatesa watu wangu,

wanawake wanawatawala.

Enyi watu wangu, viongozi wenu wanawapotosha,

wanawapoteza njia.

133:13 Ay 10:2; Za 82:1; Isa 2:4Bwana anachukua nafasi yake mahakamani,

anasimama kuhukumu watu.

143:14 1Sam 12:7; Yak 2:6; Ay 22:4; 24:9; Isa 25:4; 11:4Bwana anaingia katika hukumu

dhidi ya wazee na viongozi wa watu wake:

“Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la mizabibu,

mali zilizonyangʼanywa maskini zimo nyumbani mwenu.

153:15 Za 94:5; Ay 24:14; Isa 10:6; 26:6; 29:19; 32:6; 5:7Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu

na kuzisaga nyuso za maskini?”

asema Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote.

163:16 Wim 3:11; Ay 15:25Bwana asema,

“Wanawake wa Sayuni wana kiburi,

wanatembea na shingo ndefu,

wakikonyeza kwa macho yao,

wanatembea kwa hatua za madaha,

wakiwa na mapambo ya njuga kwenye vifundo vya miguu yao.

173:17 Eze 27:31; Amo 8:10Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni;

Bwana atazifanya ngozi za vichwa vyao kuwa vipara.”

183:18 Mwa 41:42; Amu 8:21; Isa 2:11Katika siku ile Bwana atawanyangʼanya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo, 193:19 Mwa 24:47; Eze 16:11-12vipuli, vikuku, shela, 203:20 Kut 39:28; Eze 44:18; 24:17, 23vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi, 213:21 Mwa 24:22; Kut 29:6pete zenye muhuri, pete za puani, 223:22 Rut 3:15majoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha kutilia fedha, 233:23 Eze 26:10; 23:26; Kut 29:6; Wim 3:11; Isa 61:3; 62:3vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.

243:24 Es 2:12; Mit 31:24; Law 13:40; Yon 3:5-8; Isa 4:4; 20:2; Ay 1:20; 16:15; Mwa 37:34; Yer 4:8; Mao 2:10Badala ya harufu ya manukato kutakuwa na uvundo;

badala ya mishipi, ni kamba;

badala ya nywele zilizotengenezwa vizuri, ni upara;

badala ya mavazi mazuri, ni nguo za magunia;

badala ya uzuri, ni alama ya aibu kwa chuma cha moto.

253:25 Isa 1:20; Yer 15:8Wanaume wako watauawa kwa upanga,

nao mashujaa wako watauawa vitani.

263:26 Yer 14:2; 4:28; Mao 2:10; Ay 2:13; Isa 14:12, 31; 33:9; 24:4, 7; Za 137:1Malango ya Sayuni yataomboleza na kulia,

ataketi mavumbini akiwa fukara.