以賽亞書 28 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

以賽亞書 28:1-29

北國必遭審判

1以法蓮酒徒引以為榮的華冠有禍了!

它座落在醉酒者肥美的山谷頂上,

它的榮美如將殘之花。

2看啊,主已經派來一位強壯有力的人,

他像冰雹和毀滅的暴風,

又像洶湧氾濫的洪水,

他必把那華冠猛力摔在地上。

3以法蓮酒徒引以為榮的華冠必被踐踏。

4那肥美山谷上將殘的榮美之花,

必像夏季到來之前早熟的無花果,

人一看見它就把它摘去吞掉。

5到那日,萬軍之耶和華必做祂餘民的榮冠和華冕。

6祂必使審判官公正斷案,

賜力量給守城退敵之人。

7但祭司和先知也因喝酒而搖搖晃晃,

因烈酒而東倒西歪。

他們因烈酒而搖搖晃晃、

酩酊大醉、東倒西歪,

他們錯解異象,糊塗判案。

8桌子上到處都是嘔吐之物,

一片狼藉。

9他們抱怨我說:

「他想教導誰知識呢?

他想把信息解釋給誰呢?

是剛剛斷奶、離開母懷的嬰孩嗎?

10因為他的教導只是命命令令、命命令令、律律例例、律律例例、這裡一點、那裡一點。」

11因此,耶和華必用外族人的口和語言來教訓他們。

12耶和華曾對他們說:

「這是安歇之地,

讓疲乏的人安歇吧。

這是安歇之地。」

他們卻不肯聽。

13所以,對他們來說,

耶和華的話成了命命令令、命命令令、律律例例、律律例例、這裡一點、那裡一點,

以致他們走路時仰面跌倒,摔傷,落網,被捉。

14你們這些好譏諷、在耶路撒冷統管百姓的人啊,

要聽耶和華的話。

15你們說:

「我們已經和死亡立約,

與陰間結盟。

災難席捲而來的時候,

我們會安然無恙,

因為我們以謊言為庇護所,

以詭詐為藏身處。」

16所以主耶和華說:

「看啊,我要在錫安放一塊基石,

一塊經過考驗的石頭,

一塊根基穩固的寶貴房角石,

信靠的人必不致蒙羞。

17我必以公平為準繩,

以公義作線錘。

冰雹必砸碎你們虛謊的庇護所,

洪水必淹沒你們的藏身處。

18你們和死亡所立的約必被廢棄,

與陰間的結盟必不能長久。

災難席捲而來的時候,

你們必遭毀滅。

19災難必不分晝夜、日復一日地掃過,

每次掃過都必將你們擄去。」

明白這信息的人都必驚恐萬分。

20你們的床太小,不能舒身;

你們的被子太窄,不足裹身。28·20 此處的床和被子象徵他們虛假的安全感。

21耶和華必像在毗拉心山一樣挺身而出,

像在基遍谷一樣發怒,

要完成祂奇異的作為,

成就祂不尋常的工作。

22現在你們不要再譏諷了,

以免捆綁你們的繩索勒得更緊,

因為我已從主——萬軍之耶和華那裡聽到毀滅全國的諭旨。

23你們要側耳聽我的聲音,

留心聽我的話語。

24難道農夫會一直耕地而不撒種嗎?

難道他會一直犁地、耙地嗎?

25他耙平土地之後,

難道不種小茴香、大茴香嗎?

不按行種小麥,

在合適的地方種大麥,

在田邊種粗麥嗎?

26因為上帝指點他,教導他耕種之道。

27打小茴香不用大槌,用棍子;

打大茴香不用石磙,用棒子。

28做餅的糧食要磨碎,

沒有人會不停地在場上碾壓糧食。

馬拉著石磙在場上軋過,

也不會把麥子磨碎。

29這些知識都是萬軍之耶和華所賜的,

祂有奇妙的謀略和偉大的智慧。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 28:1-29

Ole Wa Efraimu

128:1 Isa 7:2; Law 10:9; Amo 6:6; Isa 10:5; 9:9; Hos 7:5; Isa 5:11; 8:7Ole kwa lile taji la maua, kiburi cha walevi wa Efraimu,

kwa ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake,

uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba:

kwa ule mji, kiburi cha wale walioshushwa na mvinyo!

228:2 Isa 30:30; 40:10; Yos 10:11; Eze 13:11; Isa 29:6; 8:7; Dan 9:26Tazama, Bwana anaye mmoja aliye na uwezo na nguvu.

Kama dhoruba ya mvua ya mawe na upepo uharibuo,

kama mvua inyeshayo kwa nguvu na mafuriko yashukayo,

atakiangusha chini kwa nguvu.

328:3 Ay 40:12; Isa 5:5Lile taji la maua, kiburi cha walevi cha Efraimu,

kitakanyagwa chini ya nyayo.

428:4 Wim 2:13; Nah 3:12; Hos 9:10Lile ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake,

uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba,

litakuwa kama tini iliyoiva kabla ya mavuno:

mara mtu aionapo, huichuma na kuila.

528:5 Zek 9:16; Eze 21:26; Isa 10:20; 1:9; 29:18; Yer 13:18; Eze 16:12; Isa 62:3Katika siku ile, Bwana Mwenye Nguvu Zote

atakuwa taji la utukufu,

taji zuri la maua

kwa mabaki ya watu wake.

628:6 Amu 9:44-45; 2Sam 14:20; 2Nya 32:8; Yn 5:30; Isa 11:2-4Atakuwa roho ya haki

kwa yeye aketiye katika kiti cha hukumu,

chanzo cha nguvu

kwa wale wazuiao vita langoni.

728:7 Law 10:9; Isa 56:10-12; Efe 5:18; Za 107:27; Isa 24:2; 3:12; 22:13; 9:15Hawa pia wanapepesuka kwa sababu ya mvinyo,

wanayumbayumba kwa sababu ya kileo:

Makuhani na manabii wanapepesuka kwa sababu ya kileo,

wanachanganyikiwa kwa sababu ya mvinyo;

wanapepesuka wanapoona maono,

wanajikwaa wanapotoa maamuzi.

828:8 Yer 48:26Meza zote zimejawa na matapishi

wala hakuna sehemu hata ndogo

isiyokuwa na uchafu.

928:9 Yer 6:10; 1Pet 2:2; Za 32:8; Ebr 5:12-13; Yer 31:34; Isa 30:20; 48:17; 54:13“Yeye anajaribu kumfundisha nani?

Yeye anamwelezea nani ujumbe wake?

Je, ni kwa watoto walioachishwa kunyonya?

Je, ni wale ambao ndipo tu wametolewa matitini?

1028:10 Isa 29:13Kwa maana ni:

Amri juu ya amri, amri juu ya amri,

kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni;

hapa kidogo, kule kidogo.”

1128:11 Yer 5:15; 1Kor 14:21; Mwa 11:7; Eze 3:5; Isa 33:19Sawa kabisa, kwa midomo migeni

na kwa lugha ngeni,

Mungu atasema na watu hawa,

1228:12 Yos 1:13; Mt 11:28-29; 2Nya 14:7; Kut 14:14; Ay 11:18; Isa 11:10wale ambao aliwaambia,

“Hapa ni mahali pa kupumzika,

waliochoka na wapumzike,”

na, “Hapa ni mahali pa mapumziko,”

lakini hawakutaka kusikiliza.

1328:13 Mt 21:44; Isa 8:14-15Hivyo basi, neno la Bwana kwao litakuwa:

Amri juu ya amri, amri juu ya amri,

kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni,

hapa kidogo, kule kidogo:

ili waende na kuanguka chali,

wakijeruhiwa, wakinaswa na kukamatwa.

1428:14 Isa 1:10; 2Nya 36:16Kwa hiyo sikieni neno la Bwana, enyi watu wenye dharau

mnaotawala watu hawa wa Yerusalemu.

1528:15 Dan 11:22; Isa 9:15; 10:26; Ay 5:23; Isa 8:19; Amu 9:35; Isa 29:15; Yer 23:24Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti,

tumefanya mapatano na kuzimu.

Wakati pigo lifurikalo litakapopita,

haliwezi kutugusa sisi,

kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu

na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.”

1628:16 Zek 12:3; Efe 2:20; Rum 9:33; 1Pet 2:6; Isa 54:4; 14:32; Za 118:22; Isa 8:14-15; Dan 2:34-45; Mdo 4:11; Yer 51:26; 1Kor 3:11Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenyezi asemavyo:

“Tazama, ninaweka jiwe katika Sayuni,

jiwe lililojaribiwa,

jiwe la pembeni la thamani kwa ajili ya msingi thabiti.

Yeye atumainiye kamwe hatatiwa hofu.

1728:17 Isa 5:16; Za 11:7; 2Fal 21:13; Yos 10:11Nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia

na uadilifu kuwa timazi;

mvua ya mawe itafagia kimbilio lenu, huo uongo,

nayo maji yatafurikia mahali penu pa kujificha.

1828:18 Isa 63:18; Dan 8:13; Isa 7:7Agano lenu na kifo litabatilishwa,

patano lenu na kuzimu halitasimama.

Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba,

litawaangusha chini.

1928:19 2Fal 24:2; Ay 18:11; Za 5:3Kila mara lijapo litawachukua,

asubuhi baada ya asubuhi,

wakati wa mchana na wakati wa usiku,

litawakumba tangu mwanzo hadi mwisho.”

Kuuelewa ujumbe huu

utaleta hofu tupu.

2028:20 Isa 59:6Kitanda ni kifupi mno kujinyoosha juu yake,

nguo ya kujifunikia ni nyembamba mno

mtu hawezi kujifunikia.

2128:21 2Sam 5:20; Mwa 38:29; 1Nya 14:11-16; Lk 19:41-44; Yos 9:3; Isa 65:7Bwana atainuka kama alivyofanya kwenye Mlima Perasimu,

ataghadhibika kama alivyofanya katika Bonde la Gibeoni:

ili kufanya kazi yake, kazi yake ya ajabu,

ili kutimiza kazi yake, kazi yake ngeni.

2228:22 Isa 10:22; Yer 29:18; 2Nya 36:16; Mao 2:15; Sef 2:15Sasa acheni dharau zenu,

la sivyo minyororo yenu itakuwa mizito zaidi.

Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, ameniambia

habari za maangamizi yaliyoamriwa dhidi ya nchi yote.

2328:23 Isa 32:9Sikilizeni msikie sauti yangu,

tegeni masikio na msikie niyasemayo.

2428:24 Mhu 3:2Wakati mkulima alimapo ili apande,

je, hulima siku zote?

Je, huendelea kubomoa ardhi

na kusawazisha udongo?

2528:25 Kut 9:32; Mt 23:23; Eze 4:9Akiisha kusawazisha shamba,

je, hatapanyi mbegu za bizari na kutawanya jira?

Je, hapandi ngano katika sehemu yake,

shayiri katika eneo lake,

na nafaka nyingine katika shamba lake?

2628:26 Za 94:10Mungu wake humwelekeza

na kumfundisha njia iliyo sahihi.

2728:27 Isa 21:10; Ay 41:30; Isa 10:5Iliki haipurwi kwa nyundo,

wala gurudumu la gari halivingirishwi juu ya jira;

iliki hupurwa kwa fimbo,

na jira kwa ufito.

2828:28 Isa 21:10Nafaka lazima isagwe ili kutengeneza mkate,

kwa hiyo mtu haendelei kuipura daima.

Ingawa huendesha magurudumu ya gari lake la kupuria juu yake,

farasi wake hawasagi.

2928:29 Yer 32:19; Za 92:5; Rum 11:33; Isa 9:5Haya yote pia hutoka kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote,

mwenye mashauri ya ajabu, na anayepita wote kwa hekima.