以西結書 7 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

以西結書 7:1-27

以色列的結局近了

1耶和華對我說: 2「人子啊,主耶和華對以色列這樣說,『結局到了,以色列全境的結局到了! 3以色列,你的結局到了,我的怒氣必傾倒在你身上,我必按你的行為審判你,照你的一切惡行報應你。 4我必不顧惜你,也不憐憫你,我必按你的惡行報應你。這樣,你必知道我是耶和華。』」

5主耶和華說:「看啊,災禍來了,一場空前的災禍來了! 6結局到了,結局到了,你的結局到了! 7以色列境內的居民啊,惡運降臨了!時候已到,日子已近,山上一片恐慌,歡樂蕩然無存。 8我快要向你傾倒我的烈怒,發出我的怒氣。我必按你的行為審判你,照你一切的惡行報應你。 9我必不顧惜你,也不憐憫你,我必按你的惡行報應你。這樣,你就知道懲罰你的是我耶和華。

10「看啊,看啊,日子到了,大禍臨頭了!杖已經發芽,傲慢已經開花。 11暴行成了懲罰邪惡的杖,以色列人必沒有一個能夠存留,他們的財富和尊榮必不復存在。 12時候到了,日子近了,買主不要歡樂,賣主也不要憂愁,因為烈怒臨到了所有的人。 13即使賣主活著,也無法贖回他所賣的,因為關乎每一個人的異象必然應驗,他們因為犯罪一個也不能保存性命。

14「他們吹響了號角,做好了一切準備,卻無人出戰,因為我的烈怒臨到了所有的人。 15城外有戰禍,城內有饑荒瘟疫;城外的必喪身刀下,城內的必死於饑荒瘟疫。 16僥倖逃到山上的,都必像谷中哀鳴的鴿子,為自己的罪惡哭泣。 17他們必嚇得兩手發軟,雙腿戰抖。 18他們必身披麻衣,戰慄發抖。他們必剃光頭髮,滿面羞愧。 19他們必把銀子拋在街上,視金子為污穢之物。在耶和華發烈怒的日子,金銀不能拯救他們,也不能填飽他們的肚腹,滿足他們的心,因為金銀使他們跌入罪惡中。 20他們以華美的飾物為驕傲,並用它製造醜惡可憎的神像,因此,我必使這一切變成他們眼中的污穢之物。 21我必使這一切成為外族人手中的獵物,惡人手中的戰利品,被任意糟蹋。 22我必轉臉不看他們,任由外族人褻瀆我的殿,強盜必進入殿裡大肆褻瀆。

23「你要預備鎖鏈,因為這地方充滿了血腥的罪惡,城裡充斥著暴行。 24我必讓最兇惡的外族人侵佔他們的房屋。我必挫掉強悍之人的傲氣,使他們的聖所遭受褻瀆。 25恐怖的日子來臨了,他們想尋求平安,卻得不到平安。 26災禍接踵而至,噩耗不斷傳來。那時,他們必求問先知,但祭司的教導必消逝,長老們必無計可施。 27君王必悲哀,首領必驚恐,百姓的手都必顫抖。我必按他們的惡行對付他們,使他們受到應得的審判。這樣,他們就知道我是耶和華。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 7:1-27

Mwisho Umewadia

1Neno la Bwana likanijia kusema: 27:2 Amo 8:2-10; Ufu 20:8; Mao 4:18“Mwanadamu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo kwa nchi ya Israeli: Mwisho! Mwisho umekuja juu ya pembe nne za nchi. 37:3 Eze 18:30; Mwa 6:13Sasa mwisho umekuja juu yenu nami nitamwaga hasira yangu dhidi yenu. Nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za kuchukiza. 47:4 Yer 13:14; Eze 5:11; 23:49Sitawaonea huruma wala sitawarehemu, hakika nitalipiza kwa ajili ya matendo yenu na desturi zenu za machukizo miongoni mwenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.

57:5 2Fal 21:12“Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Maafa! Maafa ambayo hayajasikiwa yanakuja. 67:6 Eze 39:8Mwisho umewadia! Mwisho umewadia! Umejiinua wenyewe dhidi yenu. Umewadia! 77:7 Sef 1:14; Mal 3:2; 1Pet 4:17; Ay 18:20; Isa 2:12; Amo 5:18-20; Eze 12:23Maangamizi yamekuja juu yenu, ninyi mnaoishi katika nchi. Wakati umewadia, siku imekaribia, kuna hofu kuu ya ghafula, wala si furaha, juu ya milima. 87:8 Hos 5:10; Nah 1:6; Eze 36:19; 14:19; 20:8, 21; 9:8; Isa 42:25Ninakaribia kumwaga ghadhabu yangu juu yenu na kumaliza hasira yangu dhidi yenu, nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za machukizo. 97:9 Yer 21:9; Isa 9:13; Eze 5:11; 22:31; Za 39:10Sitawaonea huruma wala sitawarehemu; nitawalipiza sawasawa na matendo yenu na desturi zenu za machukizo miongoni mwenu. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana ambaye huwapiga kwa mapigo.

107:10 Za 89:32; Isa 10:5“Siku imefika! Imewadia! Maangamizi yamezuka ghafula, fimbo imechanua majivuno yamechipua! 117:11 Yer 16:6; Sef 1:18; Isa 58:4; Za 55:9Jeuri imeinuka kuwa fimbo ya kuadhibu uovu, hakuna hata mmoja wa hao watu atakayeachwa, hata mmoja wa kundi lile, hakuna utajiri, hakuna chenye thamani. 127:12 Isa 5:13-14; Eze 30:3; Isa 24:2Wakati umewadia, siku imefika. Mnunuzi na asifurahi wala muuzaji asihuzunike, kwa maana ghadhabu iko juu ya kundi lote. 137:13 Law 25:24-25Muuzaji hatajipatia tena ardhi aliyoiuza wakati wote wawili wangali hai, kwa kuwa maono kuhusu kundi lote hayatatanguka. Kwa sababu ya dhambi zao, hakuna hata mmoja atakayeokoa maisha yake. 147:14 Ay 39:24; Yer 25:38Wajapopiga tarumbeta na kuweka kila kitu tayari, hakuna hata mmoja atakayekwenda vitani, kwa maana ghadhabu yangu iko juu ya kundi lote.

157:15 Kum 32:25; Yer 14:18; Mao 1:20; Eze 5:12; 33:27“Nje ni upanga, ndani ni tauni na njaa, wale walioko shambani watakufa kwa upanga, nao wale waliomo mjini njaa na tauni vitawala. 167:16 Mwa 8:8; Isa 59:11; 10:20; Ezr 9:15; Yer 9:19; 41:16; 42:17Wale wote watakaopona na kutoroka watakuwa milimani, wakiomboleza kama hua wa mabondeni, kila mmoja kwa sababu ya dhambi zake. 177:17 2Fal 19:26; Isa 13:7; Dan 6:5; Yer 43:7; Eze 21:7; 22:14Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa dhaifu kama maji. 187:18 Isa 15:2-3; Amo 8:10; Za 55:5; Yer 6:26; 4:8; 49:3; 48:37Watavaa nguo ya gunia na kufunikwa na hofu. Nyuso zao zitafunikwa na aibu na nywele za vichwa vyao zitanyolewa. 197:19 Isa 42:25; Sef 1:18; Hos 4:5; Eze 3:20; Mit 11:4; Yoe 1:15; Eze 13:5; 14:3Watatupa fedha yao barabarani, nayo dhahabu yao itakuwa najisi. Fedha yao na dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya ghadhabu ya Bwana. Hawatashibisha njaa yao au kujaza matumbo yao kwa hiyo fedha wala dhahabu, kwa sababu imewaponza wajikwae dhambini. 207:20 Eze 5:11; 16:17; Yer 7:30; 10:3; Isa 2:20Walijivunia vito vyao vizuri na kuvitumia kufanya sanamu za machukizo na vinyago vya upotovu. Kwa hiyo nitavifanya vitu hivyo kuwa najisi kwao. 217:21 2Fal 24:13; Hes 14:3Nitavitia vyote mikononi mwa wageni kuwa nyara na kuwa vitu vilivyotekwa mikononi mwa watu waovu wa dunia, nao watavinajisi. 227:22 Yer 2:27; 19:13; Eze 39:23-24; Za 74:7-8Nitageuza uso wangu mbali nao, nao waovu wa dunia watapanajisi mahali pangu pa thamani, wanyangʼanyi watapaingia na kupanajisi.

237:23 2Fal 21:16; Isa 1:15; Za 10:8; Eze 11:6; 22:9; Mwa 6:11“Andaa minyororo, kwa sababu nchi imejaa umwagaji wa damu na mji umejaa udhalimu. 247:24 Mao 2:7; Eze 24:21; 28:7; 2Nya 7:20Nitaleta taifa ovu kuliko yote ili kumiliki nyumba zao, nitakomesha kiburi cha wenye nguvu na mahali pao patakatifu patatiwa unajisi. 257:25 Yer 6:14; 8:11; Eze 13:10-16Hofu ya ghafula itakapokuja, watatafuta amani, lakini haitakuwepo. 267:26 Kum 29:21; 31:17; Yer 4:20; 18:18; Amo 8:11; Mik 3:6; Mal 2:7-9; Isa 47:11; 3:11; Eze 18:20; Za 109:19Maafa juu ya maafa yatakuja, tetesi ya mabaya juu ya tetesi ya mabaya. Watajitahidi kupata maono kutoka kwa nabii, mafundisho ya sheria toka kwa kuhani yatapotea, vivyo hivyo shauri kutoka kwa wazee. 27Mfalme ataomboleza, mwana wa mfalme atavikwa kukata tamaa, nayo mikono ya watu wa nchi itatetemeka. Nitawashughulikia sawasawa na matendo yao na kwa kanuni zao wenyewe nitawahukumu. Ndipo watajua kwamba Mimi ndimi Bwana.”