以斯拉記 2 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

以斯拉記 2:1-70

回歸的流亡者名單

1巴比倫尼布甲尼撒從前把猶大省的人擄到巴比倫,這些人的子孫從流亡之地返回耶路撒冷猶大後,各回本城。 2他們是與所羅巴伯耶書亞尼希米西萊雅利來雅末底改必珊米斯拔比革瓦伊利宏巴拿一同回來的。

以下是返回的以色列人的數目:

3巴錄的子孫兩千一百七十二人; 4示法提雅的子孫三百七十二人; 5亞拉的子孫七百七十五人; 6巴哈·摩押的子孫,即耶書亞約押的子孫兩千八百一十二人; 7以攔的子孫一千二百五十四人; 8薩土的子孫九百四十五人; 9薩改的子孫七百六十人; 10巴尼的子孫六百四十二人; 11比拜的子孫六百二十三人; 12押甲的子孫一千二百二十二人; 13亞多尼干的子孫六百六十六人; 14比革瓦伊的子孫兩千零五十六人; 15亞丁的子孫四百五十四人; 16亞特的子孫,即希西迦的子孫九十八人; 17比賽的子孫三百二十三人; 18約拉的子孫一百一十二人; 19哈順的子孫二百二十三人; 20吉罷珥的子孫九十五人。

21伯利恆人一百二十三名; 22尼陀法人五十六名; 23亞拿突人一百二十八名; 24亞斯瑪弗人四十二名; 25基列·耶琳人、基非拉人和比錄人七百四十三名; 26拉瑪人和迦巴人六百二十一名; 27默瑪人一百二十二名; 28伯特利人和人二百二十三名; 29尼波人五十二名; 30末必人一百五十六名; 31另一個以攔的子孫一千二百五十四人; 32哈琳人三百二十名; 33羅德人、哈第人和阿挪人七百二十五名; 34耶利哥人三百四十五名; 35西拿人三千六百三十名。

36祭司有耶大雅的子孫,即耶書亞的子孫九百七十三人; 37音麥的子孫一千零五十二人; 38巴施戶珥的子孫一千二百四十七人; 39哈琳的子孫一千零一十七人。

40利未人有何達威雅的子孫,即耶書亞甲篾的子孫七十四人; 41負責歌樂的亞薩的子孫一百二十八人; 42負責守衛殿門的沙龍的子孫、亞特的子孫、達們的子孫、亞谷的子孫、哈底大的子孫和朔拜的子孫一百三十九人。

43殿役有西哈的子孫、哈蘇巴的子孫、答巴俄的子孫、 44基綠的子孫、西亞的子孫、巴頓的子孫、 45利巴拿的子孫、哈迦巴的子孫、亞谷的子孫、 46哈甲的子孫、薩買的子孫、哈難的子孫、 47吉德的子孫、迦哈的子孫、利亞雅的子孫、 48利汛的子孫、尼哥大的子孫、迦散的子孫、 49烏撒的子孫、巴西亞的子孫、比賽的子孫、 50押拿的子孫、米烏寧的子孫、尼普心的子孫、 51巴卜的子孫、哈古巴的子孫、哈忽的子孫、 52巴洗律的子孫、米希大的子孫、哈沙的子孫、 53巴柯的子孫、西西拉的子孫、答瑪的子孫、 54尼細亞的子孫和哈提法的子孫。

55所羅門僕人的子孫有瑣太的子孫、瑣斐列的子孫、比路大的子孫、 56雅拉的子孫、達昆的子孫、吉德的子孫、 57示法提雅的子孫、哈替的子孫、玻黑列·哈斯巴音的子孫和亞米的子孫。

58殿役和所羅門僕人的子孫共三百九十二人。

59以下這些人來自特·米拉特·哈薩基綠押但音麥,但不能證明自己是以色列人的後代: 60第來雅的子孫、多比雅的子孫和尼哥大的子孫,共六百五十二人。

61-62祭司中的哈巴雅宗族、哈哥斯宗族和巴西萊宗族,在族譜中都找不到自己的譜系,因此他們算為不潔淨,不能做祭司。巴西萊子孫的祖先娶了基列巴西萊的女兒為妻,因此取名叫巴西萊63省長吩咐他們,要等到用烏陵和土明求問上帝的祭司出現後,才可以吃至聖之物。

64回到猶大的人共四萬二千三百六十名。 65此外還有他們的七千三百三十七名男女僕婢,二百名男女歌樂手, 66七百三十六匹馬,二百四十五匹騾子, 67四百三十五頭駱駝和六千七百二十頭驢。

68有些族長來到耶路撒冷耶和華的殿時,甘願為上帝的殿獻上禮物,用來在舊址上重新建殿。 69他們盡自己的能力為這工程捐獻了五百公斤金子,三噸銀子,以及一百件祭司禮服。

70祭司、利未人、一些百姓、歌樂手、殿門守衛和殿役住在自己的城裡,其餘的以色列人也都住在自己的城裡。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezra 2:1-70

Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni

(Nehemia 7:4-73)

12:1 2Nya 36:20; Neh 7:6; 11:3; 2Fal 24:16; 25:12; Ezr 5:8; 6:2; Es 1:1; 8:9Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 22:2 1Nya 3:19; 6:14; Hag 2:4; Zek 3:1-10wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):

Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:

32:3 Ezr 10:25; Neh 3:25wazao wa Paroshi 2,1724wazao wa Shefatia 37252:5 Neh 6:18wazao wa Ara 7756wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,8127wazao wa Elamu 1,2548wazao wa Zatu 9459wazao wa Zakai 76010wazao wa Bani 64211wazao wa Bebai 62312wazao wa Azgadi 1,222132:13 Ezr 8:13; 7:18wazao wa Adonikamu 66614wazao wa Bigwai 2,05615wazao wa Adini 45416wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 9817wazao wa Besai 32318wazao wa Yora 11219wazao wa Hashumu 223202:20 Yos 9:17wazao wa Gibari 95

212:21 Mik 5:2; 1Nya 2:51; Rut 1:19; Mt 2:6; 2Sam 21:2; Mwa 35:19watu wa Bethlehemu 12322watu wa Netofa 5623watu wa Anathothi 12824watu wa Azmawethi 4225wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743262:26 Yos 18:25; 1Sam 7:17; Yer 31:15wazao wa Rama na Geba 62127watu wa Mikmashi 122282:28 Mwa 12:8watu wa Betheli na Ai 22329wazao wa Nebo 5230wazao wa Magbishi 156312:31 Ezr 2:7wazao wa Elamu ile ingine 1,25432wazao wa Harimu 32033wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725342:34 Kum 34:3; 2Nya 28:15; 1Fal 16:34wazao wa Yeriko 34535wazao wa Senaa 3,630

362:36 1Nya 9:10; 24:7Makuhani:

wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973372:37 1Nya 24:14; Ezr 10:20wazao wa Imeri 1,052382:38 1Nya 9:12; Ezr 10:22wazao wa Pashuri 1,247392:39 1Nya 24:8wazao wa Harimu 1,017

402:40 Mwa 29:34; Hes 3:9; Ezr 3:9Walawi:

wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74

412:41 1Nya 15:16Waimbaji:

wazao wa Asafu 128

422:42 1Sam 3:15; 1Nya 9:17Mabawabu wa lango la Hekalu:

wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139

432:43 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu:2:43 Yaani Wanethini (pia 2:58, 70).

wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

44wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,

45wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,

46wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,

47wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,

48wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,

49wazao wa Uza, Pasea, Besai,

50wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,

51wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

52wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

53wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

54wazao wa Nesia na Hatifa.

552:55 1Fal 9:21Wazao wa watumishi wa Solomoni:

wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,

56wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

57wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.

582:58 1Fal 9:21; Ezr 7:7; Yos 9:21-27; 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392

592:59 Hes 1:18Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

60wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652

612:61 2Sam 17:27; 1Fal 2:7Kutoka miongoni mwa makuhani:

Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).

622:62 Hes 16:39-40; 3:10Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi. 632:63 Neh 8:9; Hes 18:9-11; Kut 28:30; Law 2:3-10Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.2:63 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.

64Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360; 652:65 2Sam 19:35tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200. 662:66 Isa 66:20Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245, 67ngamia 435 na punda 6,720.

682:68 Kut 15:2Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake. 69Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,0002:69 Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500. za dhahabu, mane 5,0002:69 Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900. za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.

702:70 1Nya 9:2; Neh 11:3-4Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.