以弗所書 4 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

以弗所書 4:1-32

信徒同屬一體

1所以,我這為主被囚禁的勸你們,既然蒙了上帝的呼召,就要過與所蒙的呼召相稱的生活。 2凡事要謙虛、溫柔、忍耐,用愛心互相寬容, 3以和平彼此聯結,竭力持守聖靈所賜的合一。 4正如你們蒙召後有同一個盼望,你們同屬一個身體,有同一位聖靈、 5同一位主、同一個信仰、同一種洗禮、 6同一位上帝,就是萬物之父。祂超越萬物,貫穿萬物,且在萬物之中。

7然而,我們各人都是按照基督所賜的分量領受恩典。 8因此聖經上說:

「祂升上高天時,

帶著許多俘虜,

將恩賜賞給眾人。」

9既然說「升上」,豈不表示祂曾經降到地上嗎? 10降下的是祂,升到諸天之上的也是祂,祂充滿萬物。 11祂賜恩讓一些人作使徒,一些人作先知,一些人作傳福音的,一些人作牧師和教師, 12為要裝備信徒,使他們各盡其職,建立基督的身體, 13直到我們對上帝的兒子有一致的信仰和認識,逐漸成熟,達到基督那樣完美的生命。 14這樣,我們就不再像小孩子,被各種異端邪說之風吹得飄來飄去,被人的陰謀詭計欺騙,隨波逐流。 15相反,我們說話要憑愛心堅持真理,在各方面都要追求長進,更像元首基督。 16整個身體靠祂巧妙地結合在一起,筋骨相連,彼此供應,使各部位各盡其職,身體便漸漸長大,在愛中建立起來。

新人新生命

17因此,我奉主的名鄭重地勸告各位,不要再像不信的外族人一樣過著心靈空虛的日子。 18他們因為愚昧無知,頑固不化,理智受到蒙蔽,與上帝所賜的生命隔絕了。 19他們喪盡天良,放縱情慾,沉溺於各種污穢的事。 20但基督絕不是這樣教導你們的。

21如果你們聽過祂的事,領受了祂的教誨,就是在祂裡面的真理, 22就應該與從前的生活方式一刀兩斷,脫去因私慾的迷惑而漸漸敗壞的舊人, 23洗心革面, 24穿上照著上帝形像所造的新人。這新人有從真理而來的公義和聖潔。

25所以不要再說謊,大家都要彼此說真話,因為我們都是一個身體的肢體。 26不要因生氣而犯罪,不要到日落時還怒氣未消, 27不要讓魔鬼有機可乘。 28從前偷竊的要改過自新,自食其力,做正當事,以便能夠分給有需要的人。 29污言穢語一句都不可出口,要隨時隨地說造就人的好話,使聽的人得益處。 30不要讓上帝的聖靈擔憂,你們已經蓋上了聖靈的印記,將來必蒙救贖。 31要從你們當中除掉一切的苦毒、惱恨、怒氣、爭吵、毀謗和邪惡。 32總要以恩慈、憐憫的心彼此相待,要互相饒恕,正如上帝在基督裡饒恕了你們一樣。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waefeso 4:1-32

Umoja Katika Mwili Wa Kristo

14:1 Efe 3:1; Kol 1:10; 1The 2:12Basi, mimi niliye mfungwa wa Bwana, nawasihi mwenende kama inavyostahili wito wenu mlioitiwa. 24:2 Kol 3:12, 13; Efe 1:4Kwa unyenyekevu wote na upole, mkiwa wavumilivu, mkichukuliana kwa upendo. 34:3 Kol 3:14; Rum 15:5Jitahidini kudumisha umoja wa Roho katika kifungo cha amani. 44:4 1Kor 12:13Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja. 54:5 1Kor 8:6; 2Kor 11:4; Yud 3; Gal 3:27, 28; Ebr 6:6Tena kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja, 64:6 Rum 11:36; 1Kor 12:6; Mal 2:10; 1Kor 8:6; 12:6; Rum 11:36Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.

74:7 1Kor 12:7, 11; Rum 12:3Lakini kila mmoja wetu amepewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa cha Kristo. 84:8 Kol 2:15; Za 68:18Kwa hiyo husema:

“Alipopaa juu zaidi, 4:8 Juu zaidi hapa ina maana mbingu za mbingu.

aliteka mateka,

akawapa wanadamu vipawa.”

94:9 Yn 3:13; 6:33, 62(Asemapo “alipaa juu,” maana yake nini isipokuwa ni kusema pia kwamba Kristo alishuka pande za chini sana za dunia?4:9 Pande za chini sana za dunia hapa maana yake Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu. 104:10 Mdo 1:9, 11; 1Tim 3:16; Ebr 4:14; 7:26; 9:24; Mdo 2:13; Mit 30:1-4; Efe 1:23Yeye aliyeshuka ndiye alipaa juu zaidi kupita mbingu zote, ili apate kuujaza ulimwengu wote.) 114:11 2Pet 3:2; Mdo 21:8Ndiye aliweka wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na walimu, 124:12 1Kor 12:27; 1Pet 2:5; 2Tim 3:17kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa 134:13 Kol 1:28mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Kristo.

144:14 1Kor 14:20; Yn 1:6; Efe 6:11Ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila za watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu. 154:15 Efe 1:22Badala yake, tukiambiana kweli kwa upendo, katika mambo yote tukue, hata tumfikie yeye aliye kichwa, yaani, Kristo. 164:16 Kol 2:19Kutoka kwake, mwili wote ukiwa umeungamanishwa na kushikamanishwa pamoja kwa msaada wa kila kiungo, hukua na kujijenga wenyewe katika upendo, wakati kila kiungo kinafanya kazi yake.

Maisha Ya Zamani Na Maisha Mapya

174:17 Rum 1:21Hivyo nawaambia hivi, nami nasisitiza katika Bwana kwamba, msiishi tena kama watu wa Mataifa waishivyo, katika ubatili wa mawazo yao. 184:18 Rum 1:21; Efe 2:12; 2Kor 3:14Watu hao akili zao zimetiwa giza na wametengwa mbali na uzima wa Mungu kwa sababu ya ujinga wao kutokana na ugumu wa mioyo yao. 194:19 1Tim 4:2; Rum 1:24; Kol 3:5Wakiisha kufa ganzi, wamejitia katika mambo ya ufisadi na kupendelea kila aina ya uchafu, wakiendelea kutamani zaidi.

20Lakini ninyi, hivyo sivyo mlivyojifunza Kristo. 214:21 Efe 1:13Kama hivyo ndivyo ilivyo, ninyi mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile kweli ilivyo katika Yesu. 224:22 1Pet 2:1; Rum 6:6Mlifundishwa kuuvua mwenendo wenu wa zamani, utu wenu wa kale, ulioharibiwa na tamaa zake za udanganyifu, 234:23 Kol 3:10ili mfanywe upya roho na nia zenu, 244:24 Rum 6:4; Efe 2:10mkajivike utu mpya, ulioumbwa sawasawa na mfano wa Mungu katika haki yote na utakatifu.

Kanuni Za Maisha Mapya

254:25 Law 19:11; Rum 12:15Kwa hiyo kila mmoja wenu avue uongo na kuambiana kweli mtu na jirani yake, kwa maana sisi sote tu viungo vya mwili mmoja. 264:26 Za 4:4; Yak 1:19, 20; Mt 5:22Mkikasirika, msitende dhambi, wala jua lisichwe mkiwa bado mmekasirika, 274:27 Yak 4:7; 1Pet 5:9wala msimpe ibilisi nafasi. 284:28 Mdo 20:35; 1The 4:11; Lk 3:11Yeye ambaye amekuwa akiiba, asiibe tena, lakini lazima ajishughulishe, afanye kitu kifaacho kwa mikono yake mwenyewe, ili awe na kitu cha kuwagawia wahitaji.

294:29 Kol 3:8; Mt 12:36; Efe 5:4; Kol 3:8; 4:6; 1The 5:11Maneno mabaya yasitoke vinywani mwenu, bali yale yafaayo kwa ajili ya kuwajenga wengine kulingana na mahitaji yao, ili yawafae wale wasikiao. 304:30 1The 5:19; Rum 8:23Wala msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye kwake mlitiwa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi. 314:31 Kol 3:8; Tit 3:2; Yak 4:11; 1Pet 2:1; Tit 3:3Ondoeni kabisa uchungu, ghadhabu, hasira, makelele na masingizio pamoja na kila aina ya uovu. 324:32 Mt 6:14, 15Kuweni wafadhili na wenye kuhurumiana ninyi kwa ninyi, mkisameheana, kama vile naye Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.