以弗所書 2 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

以弗所書 2:1-22

靠恩典、憑信心

1你們從前死在過犯和罪惡之中。 2那時,你們隨從今世的風俗,順服在空中掌權的魔鬼,就是如今在一切叛逆上帝之人心中運行的邪靈。 3我們以前也在他們當中隨從罪惡的本性2·3 罪惡的本性」希臘文是「肉體」。,放縱肉體和心中的私慾,與其他人一樣本是惹上帝發怒的人。

4然而上帝有豐富的憐憫,祂深愛我們, 5儘管我們死在過犯之中,祂仍然使我們和基督一同活了過來。你們得救是因為上帝的恩典。 6在基督耶穌裡,上帝使我們與基督一同復活,一同坐在天上, 7好藉著祂在基督耶穌裡向我們所施的恩慈,向後世顯明祂無可比擬的豐富恩典。 8你們得救是靠恩典,憑信心。這不是出於你們自己,而是上帝的禮物; 9也不是由於你們的行為,以免有人自誇。 10我們是上帝的傑作,是在基督耶穌裡創造的,為要叫我們做祂預先安排給我們的美善之事。

在基督裡合而為一

11因此,你們要記住,從前按照肉體來說你們是外族人,那些肉體上受過人手所行割禮的以色列人稱你們為「沒有受過割禮的」。 12那時,你們與基督無關,又不是以色列人,在上帝應許的諸約上是局外人,你們活在世上沒有盼望,沒有上帝。 13但你們這些從前遠離上帝的人,如今在基督耶穌裡,靠著祂所流的血已經被帶到上帝面前。 14因為基督耶穌親自給我們帶來了和平,以自己的身體拆毀了以色列人和外族人之間充滿敵意的隔牆,使雙方合而為一, 15並廢除了以誡命和規條為內容的律法制度。祂這樣做是為了在自己裡面把雙方造成一個新人,成就和平, 16並藉著十字架消滅彼此間的敵意,使雙方藉著一個身體與上帝和好。 17祂來傳揚這平安的福音給你們這些離上帝很遠的外族人,也給我們這些離上帝很近的以色列人。 18我們雙方都是靠著祂在同一位聖靈的引導下來到父上帝面前。

19從此,你們不再是外人或過客,你們與眾聖徒一樣是天國的子民,是上帝家裡的人了。 20你們已被建立在眾使徒和先知們的基礎上,基督耶穌自己是房角石。 21整座建築的各部分都靠祂巧妙地連接在一起,逐漸成為主的聖殿。 22你們也靠著祂被建造在一起,成為上帝藉著聖靈居住的地方。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waefeso 2:1-22

Tumefanywa Kuwa Hai Ndani Ya Kristo

12:1 Kol 2:13; Yn 5:24; Kol 2:13; Efe 2:5; 4:18Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu, 22:2 Tit 3:3; Yn 12:31; Efe 5:6ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii. 32:3 Gal 5:16-24; Kol 3:6; Tit 3:3; 1Pet 4:3; Gal 5:16; Za 51:5; Rum 5:12, 14Sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani, tukitimiza tamaa za asili yetu ya dhambi na kufuata tamaa zake na mawazo yake. Nasi kwa asili tulikuwa wana wa ghadhabu, kama mtu mwingine yeyote. 42:4 Yn 3:16; Rum 10:12; Efe 1:7; 2:7Lakini Mungu kwa upendo wake mwingi kwetu sisi, ambaye ni mwingi wa rehema, 52:5 Efe 2:1; 2:8; Za 103:12; Yn 5:24; Mdo 15:11hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, yaani, mmeokolewa kwa neema. 62:6 Efe 1:3, 20; Rum 8:10; Flp 3:20Mungu alitufufua pamoja na Kristo na kutuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu, 72:7 Tit 3:4; Efe 1:7; Rum 2:4ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu. 82:8 Rum 4:2; 2Tim 1:9; Tit 3:5Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani, wala si kwa matendo yenu mema. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu, 92:9 Kum 9:5; 1Kor 1:29si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu. 102:10 Efe 4:24; Tit 2:14; Isa 29:23; 43:7; 60:21; Tit 2:14Kwa maana sisi ni kazi ya mikono ya Mungu, tulioumbwa katika Kristo Yesu, ili tupate kutenda matendo mema, ambayo Mungu alitangulia kuyaandaa tupate kuishi katika hayo.

Wamoja Katika Kristo

112:11 Kol 2:11; Efe 5:8; 2:2Kwa hiyo kumbukeni kwamba ninyi ambao hapo awali mlikuwa watu wa Mataifa kwa kuzaliwa na kuitwa “wasiotahiriwa” na wale wanaojiita “waliotahiriwa” (yaani tohara ifanyikayo katika mwili kwa mikono ya wanadamu), 122:12 Gal 3:17; 1The 4:13kumbukeni kwamba wakati ule mlikuwa mbali na Kristo, mkiwa mmetengwa kutoka jumuiya ya Israeli, na mkiwa wageni katika yale maagano ya ahadi, nanyi mkiwa hamna tumaini wala Mungu duniani. 132:13 Mdo 2:39; Kol 1:20Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi ambao hapo kwanza mlikuwa mbali na Mungu, sasa mmeletwa karibu kwa njia ya damu ya Kristo.

142:14 1Kor 12:13; Isa 9:5; Gal 3:28; Kol 2:14Kwa maana yeye mwenyewe ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi tuliokuwa wawili, yaani, Wayahudi na watu wa Mataifa, tuwe wamoja kwa kuvunja kizuizi na kubomoa ule ukuta wa uadui uliokuwa kati yetu, 152:15 Kol 1:21-22; 2:14; Gal 3:28kwa kuibatilisha ile sheria pamoja na amri zake na maagizo yake alipoutoa mwili wake, ili apate kufanya ndani yake mtu mmoja mpya badala ya hao wawili, hivyo akifanya amani, 162:16 Kol 1:20, 22; Rum 6:6; 8:3; Kol 2:14naye katika mwili huu mmoja awapatanishe wote wawili na Mungu kupitia msalaba, ili kwa huo msalaba akaangamiza uadui wao. 172:17 Za 148:14; Isa 57:19Alikuja na kuhubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na pia akahubiri amani kwao waliokuwa karibu. 182:18 Efe 3:12; Kol 1:12; 1Kor 12:13Kwa maana kwa kupitia kwake, sisi sote tunaweza kumkaribia Baba katika Roho mmoja.

192:19 Flp 3:20; Gal 6:10Hivyo basi, ninyi sasa si wageni tena wala wapitaji, bali mmekuwa wenyeji pamoja na watakatifu na pia jamaa wa nyumbani mwake Mungu. 202:20 Mt 16:18; 1Kor 3:10; 1Pet 2:4-8Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe kuu la pembeni. 212:21 1Kor 3:16-17Ndani yake jengo lote limeshikamanishwa pamoja na kusimamishwa ili kuwa Hekalu takatifu katika Bwana. 22Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu anaishi ndani yake kwa njia ya Roho wake.