雅歌 1 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

雅歌 1:1-17

1这是所罗门的歌,是歌中最美妙的歌。

女子:

2深深地吻我吧!

因为你的爱情比美酒更香甜。

3你的美名如此芬芳,

如同倒出来的香膏,

难怪少女们都爱慕你。

4你带我走,让我们一起奔跑吧!

王啊,把我带进你的寝宫吧!

耶路撒冷的少女:

我们为你欢喜快乐,

我们要颂扬你那胜似美酒的爱情。

女子:

难怪少女们都爱慕你!

5耶路撒冷的少女啊!

我虽然黑似基达的帐篷,

却美如所罗门的锦帐。

6不要因为我被太阳晒黑就看不起我。

这是因为我的兄弟恼恨我,

要我在烈日之下看守葡萄园,

使我无暇照顾自己1:6 我无暇照顾自己”希伯来文是“我却无法照料自己的葡萄园。”

7我心爱的人啊,告诉我吧,

你在哪里牧羊?

中午带羊去哪里歇息?

我何必在你同伴的羊群旁流浪,

像风尘女子一样呢?

耶路撒冷的少女:

8绝色佳人啊!

要是你不知道,

就跟着羊群的足迹,

到牧人的帐篷边喂养你的山羊羔吧。

男子:

9我的爱人啊,

你好比法老战车上套的牝马,

引人注目。

10耳环辉映你的脸颊,

珠链轻衬你的颈项。

11我们要为你打造镶有银珠的金饰。

女子:

12王坐席的时候,

我身上的哪哒香膏芬芳四溢。

13我的良人靠在我怀中,

如同一袋没药。

14我的良人在我眼中,

好像隐·基底葡萄园中的凤仙花。

男子:

15我的爱人啊!

你真是美极了!美极了!

你的眼神纯情专一,好像鸽子的眼睛。

女子:

16我的良人啊!

你真英俊!真可爱!

我们以青草作床榻,

17以香柏树作屋梁,

以松树作椽子。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wimbo 1:1-17

11:1 1Fal 4:32; Za 45Wimbo ulio bora wa Solomoni.

Shairi La Kwanza

Mpendwa

21:2 Wim 8:6; Mwa 14:18; Amu 9:13; Wim 4:10Unibusu kwa busu la kinywa chako,

kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.

31:3 Es 2:12; Za 45:8-14; Mhu 7:1Manukato yako yananukia vizuri,

jina lako ni kama manukato yaliyomiminwa.

Ndiyo sababu wanawali wanakupenda!

41:4 Yer 31:3; Flp 3:12; Wim 2:3Nichukue twende nawe, na tufanye haraka!

Mfalme na anilete ndani ya vyumba vyake.

Marafiki

Tunakushangilia na kukufurahia,

tutasifu upendo wako zaidi kuliko divai.

Mpendwa

Tazama jinsi ilivyo bora wakupende!

51:5 Wim 2:14; 2:7; 5:16; 4:3; Mwa 25:13Mimi ni mweusi, lakini napendeza,

enyi binti za Yerusalemu,

mweusi kama mahema ya Kedari,

kama mapazia ya hema la Solomoni.

61:6 Za 69:8; Wim 7:12; 8:12; 2:15Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi,

kwa sababu nimefanywa mweusi na jua.

Wana wa mama yangu walinikasirikia

na kunifanya niwe mtunza mashamba ya mizabibu.

Shamba langu mwenyewe la mizabibu nimeliacha.

71:7 Wim 3:1-4; Isa 13:20; Mwa 24:65Niambie, wewe ambaye ninakupenda,

unalisha wapi kundi lako la kondoo

na ni wapi unapowapumzisha kondoo wako adhuhuri.

Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefunikwa shela

karibu na makundi ya rafiki zako?

Marafiki

81:8 Wim 5:9; 6:1Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote,

fuata nyayo za kondoo,

na kulisha wana-mbuzi wako

karibu na hema za wachungaji.

Mpenzi

91:9 Wim 2:2; 2Nya 1:16-17Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike

aliyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.

101:10 Eze 16:11; Isa 61:10; Wim 5:13Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli,

shingo yako ikiwa na mikufu ya vito.

11Tutakufanyia vipuli vya dhahabu,

vyenye kupambwa kwa fedha.

Mpendwa

121:12 Wim 4:11-14Wakati mfalme alipokuwa mezani pake,

manukato yangu yalisambaza harufu yake nzuri.

131:13 Mwa 37:25Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane

kati ya matiti yangu.

141:14 Wim 4:13; 1Sam 23:291:14 2Nya 20:2; Wim 2:3; 5:8Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina

kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.

Mpenzi

151:15 Wim 4:7; 7:6; Za 74:19; Yer 48:28Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!

Tazama jinsi ulivyo mzuri!

Macho yako ni kama ya hua.

Mpendwa

16Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!

Ee, tazama jinsi unavyopendeza!

Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.

Mpenzi

171:17 1Fal 6:9Nguzo za nyumba yetu ni mierezi,

na mapao yetu ni miberoshi.