第 88 篇
求上帝眷顾
可拉后裔的诗,就是以斯拉人希幔的训诲诗,交给乐长,调用“麻哈拉利暗俄”88:0 “麻哈拉利暗俄”意为“受苦”。。
1耶和华,拯救我的上帝啊,
我昼夜不停地呼求你。
2求你垂听我的祷告,
倾听我的呼求。
3我饱经患难,
生命在死亡的边缘。
4我被列在下坟墓的人中,
我的精力耗尽。
5我被扔在死人中,
如同被杀的人躺在坟墓里,
被你遗忘,不再蒙你眷顾。
6你已经把我扔在漆黑的深渊。
7你的烈怒重重地压着我,
如汹涌波涛把我淹没。(细拉)
8你使我众叛亲离,遭人唾弃。
我陷入困境,无路可逃。
9我的眼睛因哭泣而视力模糊。
耶和华啊,我天天呼求你,
举手向你呼求。
10你要行神迹给死人看吗?
死人会起来赞美你吗?(细拉)
11坟墓里的死人怎能宣扬你的慈爱呢?
灭亡的人怎能传扬你的信实呢?
12黑暗之地有谁知道你的神迹呢?
在被遗忘之地有谁知道你的公义作为呢?
13耶和华啊,我向你呼求,
我在清晨向你祷告。
14耶和华啊,你为何弃绝我?
为何掩面不理我?
15我从小受苦,几乎丧命。
你使我惊恐不已,陷入绝望。
16你的烈怒吞噬了我,
你可怕的攻击毁灭了我。
17这些灾难如洪涛整天环绕我,
彻底围住我。
18你使我的亲朋好友离我而去,
只有黑暗与我相伴。
Zaburi 88
Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.
188:1 Za 51:14; 3:4; 22:2; Lk 18:7Ee Bwana, Mungu uniokoaye,
nimelia mbele zako usiku na mchana.
2Maombi yangu yafike mbele zako,
utegee kilio changu sikio lako.
388:3 Ay 33:22; Isa 38:10; Za 6:3; 25:17; 107:18Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu,
na maisha yangu yanakaribia kaburi.88:3 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
488:4 Za 31:12; 18:1Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni,
niko kama mtu asiye na nguvu.
588:5 Za 31:22Nimetengwa pamoja na wafu,
kama waliochinjwa walalao kaburini,
ambao huwakumbuki tena,
ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.
688:6 Za 30:1; 69:15; Mao 3:55; Yon 2:3Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana,
katika vina vya giza nene.
788:7 Za 7:11; 42:7Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu,
umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.
888:8 Ay 3:23; 19:13; Za 31:11; Yer 32:2; 33:1Umenitenga na rafiki zangu wa karibu
na kunifanya chukizo kwao.
Nimezuiliwa, wala siwezi kutoroka;
988:9 Za 38:10; 5:2; 143:6; Ay 11:13nuru ya macho yangu
imefifia kwa ajili ya huzuni.
Ee Bwana, ninakuita kila siku,
ninakunyooshea wewe mikono yangu.
1088:10 Za 6:5Je, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako?
Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?
1188:11 Za 30:9Je, upendo wako hutangazwa kaburini,
uaminifu wako katika Uharibifu?88:11 Yaani Abadon.
1288:12 Ay 10:21; 31:12; Mhu 8:10Je, maajabu yako hujulikana mahali pa giza,
au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?
1388:13 Za 30:2; 5:3; 55:17; 119:147Lakini ninakulilia wewe, Ee Bwana, unisaidie;
asubuhi maombi yangu huja mbele zako.
1488:14 Za 43:2; 13:1Ee Bwana, kwa nini unanikataa
na kunificha uso wako?
1588:15 Dan 9:26; Za 9:12; 129:1; Yer 22:21; Eze 16:22; Hos 2:15; Isa 53:8; Ay 6:4; 18:11; 2Kor 4:8Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo;
nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.
1688:16 Za 7:11; Ay 6:4Ghadhabu yako imepita juu yangu;
hofu zako zimeniangamiza.
1788:17 Za 124:4Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko;
zimenimeza kabisa.
1888:18 Za 88:8; 38:11; Ay 19:13Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu;
giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu kuliko wote.