诗篇 72 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 72:1-20

第 72 篇

为君王祈祷

所罗门的诗。

1上帝啊,

求你将你的公正赐给王,

将你的公义赐给王的儿子。

2让他凭公义审判你的子民,

按公平对待那些贫苦的人。

3愿大山给百姓带来繁荣,

小山带来公义。

4愿他保护百姓中受苦的人,

拯救贫穷的人,打倒欺压者。

5只要日月尚存,

愿百姓永远敬畏你。

6愿他的统治如春雨降在新割过的草场上,

又像甘霖滋润大地。

7在他统治之下,

愿义人兴旺,国富民强,

如月长存。

8愿他的疆域横跨洋海,

幼发拉底河直到地极。

9愿旷野的居民都来向他下拜,

敌人都扑倒在尘土中。

10他施示巴西巴的君王都来纳贡称臣。

11愿君王都敬拜他,

万国都事奉他。

12贫穷人呼求,他便搭救;

困苦人无助,他就伸出援手。

13他怜悯软弱和贫困的人,

拯救贫困人的性命。

14他要救他们脱离别人的压迫和暴力,

因为他爱惜他们的生命。

15愿王寿命长久,

愿人们将示巴的金子献给他,

不断为他祷告,

终日称颂他。

16愿遍地五谷丰登,

山顶上出产丰富,

黎巴嫩的密林。

愿各城人口稠密如原野的青草。

17愿他的名流芳百世,如日长存。

愿万国都因他而蒙福,

都称颂他。

18以色列的上帝耶和华当受称颂,

唯有祂行奇妙的事。

19愿祂荣耀的名永受称颂!

愿普天下充满祂的荣耀。

阿们!阿们!

20耶西的儿子大卫的祷告结束。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 72:1-20

Zaburi 72

Maombi Kwa Ajili Ya Mfalme

Zaburi ya Solomoni.

172:1 Kum 1:16; Za 9:8Ee Mungu, mjalie mfalme aamue kwa haki yako,

mwana wa mfalme kwa haki yako.

272:2 Isa 11:2, 4, 5; 16:5; 9:7; Yer 23:5; 33:15Atawaamua watu wako kwa haki,

watu wako walioonewa kwa haki.

3Milima italeta mafanikio kwa watu,

vilima tunda la haki.

472:4 Za 27:11; 76:9; 9:12; Isa 49:13; 11:4; 29:19; 32:7Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu

na atawaokoa watoto wa wahitaji,

ataponda mdhalimu.

572:5 1Sam 13:13; Za 33:11Atadumu kama jua lidumuvyo, kama mwezi, vizazi vyote.

672:6 Kum 32:2Atakuwa kama mvua inyeshayo juu ya shamba lililofyekwa,

kama manyunyu yanyeshayo ardhi.

772:7 Za 92:12; Mit 14:11Katika siku zake wenye haki watastawi;

mafanikio yatakuwepo mpaka mwezi utakapokoma.

872:8 Kut 23:31; 1Fal 4:21; Zek 9:10Atatawala kutoka bahari hadi bahari

na kutoka Mto72:8 Yaani Mto Frati. mpaka miisho ya dunia.

9Makabila ya jangwani watamsujudia,

na adui zake wataramba mavumbi.

1072:10 Mwa 10:4, 7; Es 10:1; 1Fal 9:16; 2Nya 9:24Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali

watamletea kodi;

wafalme wa Sheba na Seba

watampa zawadi.

1172:11 Mwa 27:29; Ezr 1:2Wafalme wote watamsujudia

na mataifa yote yatamtumikia.

12Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia,

aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.

1372:13 Isa 60:10; Yoe 2:18; Lk 10:33Atawahurumia wanyonge na wahitaji

na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.

1472:14 Za 69:18; Eze 13:23; 34:10; 1Sam 26:21Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili,

kwani damu yao ni ya thamani machoni pake.

1572:15 Mwa 10:7; Za 35:28Aishi maisha marefu!

Na apewe dhahabu ya Sheba.

Watu wamwombee daima

na kumbariki mchana kutwa.

1672:16 Eze 34:27; Isa 4:2; 27:6; 44:4; 58:11; 66:14; Mwa 27:18; Hes 22:4; Za 4:7; 92:12; 104:16Nafaka ijae tele katika nchi yote,

juu ya vilele vya vilima na istawi.

Tunda lake na listawi kama Lebanoni,

listawi kama majani ya kondeni.

1772:17 Kut 3:15; Lk 1:48; Za 89:36; Mwa 12:3Jina lake na lidumu milele,

na lidumu kama jua.

Mataifa yote yatabarikiwa kupitia kwake,

nao watamwita aliyebarikiwa.

1872:18 1Nya 29:10; Za 41:13; 106:48; Lk 1:68; Ay 5:9Bwana Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa,

yeye ambaye peke yake hutenda mambo ya ajabu.

1972:19 2Sam 7:26; Hes 14:21; Za 41:13Jina lake tukufu lisifiwe milele,

ulimwengu wote ujae utukufu wake.

Amen na Amen.

2072:20 Rut 4:17Huu ndio mwisho wa maombi ya Daudi mwana wa Yese.