诗篇 57 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 57:1-11

第 57 篇

被围困中的呼求

大卫作的诗,交给乐长,调用“休要毁坏”。当时他因逃避扫罗躲进了洞里。

1上帝啊,求你怜悯我,怜悯我,

因为我投靠你。

我要在你翅膀下得到荫庇,

直到灾难结束。

2我向至高的上帝,

向为我成就一切的上帝呼求。

3上帝从天上施助、拯救我,

使迫害我的人蒙羞。

上帝必彰显祂的慈爱和信实。

4我被狮子包围,

躺卧在吃人的野兽中。

他们的牙齿是矛和箭,

舌头是尖刀。

5上帝啊,

愿人对你的尊崇超过诸天,

愿你的荣耀覆盖大地。

6我的仇敌设下网罗,

我心中沮丧。

他们在我走的路上挖了陷阱,

自己却掉了进去。(细拉)

7上帝啊,我心坚定,我心坚定,

我要唱诗赞美你。

8我的心啊,要振奋起来!

琴瑟啊,弹奏吧!

我要唤醒黎明!

9主啊,我要在列邦称谢你,

在列国歌颂你。

10因为你的慈爱高达诸天,

你的信实广及穹苍。

11上帝啊,

愿你得到的尊崇超过诸天,

愿你的荣耀覆盖大地。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 57:1-11

Zaburi 57

Kuomba Msaada

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.

157:1 Isa 26:20Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie,

kwa maana nafsi yangu inakukimbilia.

Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia

mpaka maafa yapite.

257:2 Za 138:8Namlilia Mungu Aliye Juu Sana,

Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.

357:3 Za 18:9, 16; 69:14; 142:5, 7; 56:1; 25:10; 40:11; 115:1Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa,

akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali;

Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.

457:4 Za 35:17; 55:21; 64:3; Mit 30:14Niko katikati ya simba,

nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu:

watu ambao meno yao ni mikuki na mishale,

ambao ndimi zao ni panga kali.

557:5 Za 108:5Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

utukufu wako na uenee duniani kote.

657:6 Es 6:13; Za 31:4; 9:15; 140:5; 7:15; 38:6; 10:9; 145:14; Mit 28:10; Mhu 10:8Waliitegea miguu yangu nyavu,

nikainamishwa chini na dhiki.

Wamechimba shimo katika njia yangu,

lakini wametumbukia humo wao wenyewe.

757:7 Za 112:7; 108:1Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

857:8 Za 33:2; 149:3; 150:3; Amu 5:12Amka, nafsi yangu!

Amka, kinubi na zeze!

Nitayaamsha mapambazuko.

9Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;

nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.

1057:10 Za 36:5; 108:4Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni,

uaminifu wako unazifikia anga.

1157:11 Za 8:1; 149:3; 150:3; Amu 5:12Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni,

utukufu wako na uwe duniani pote.