诗篇 53 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 53:1-6

第 53 篇

人的邪恶

大卫作的训诲诗,交给乐长,调用“麻哈拉”。

1愚昧人心里想:

“没有上帝。”

他们全然败坏,行为邪恶,

无人行善。

2上帝从天上俯视人间,

要看世上有没有明智者,

有没有寻求祂的人。

3人们都背弃祂,

都败坏不堪,无人行善,

连一个都没有!

4恶人吞吃我的百姓如同吃饭,

他们不求告上帝。

难道他们无知吗?

5因此,他们必陷入空前的惊恐。

上帝必使攻击你的仇敌粉身碎骨,

你必使他们蒙羞受辱,

因为上帝弃绝了他们。

6以色列的拯救来自锡安

上帝救回祂被掳的子民时,

雅各要欢喜,以色列要快乐。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 53:1-6

Zaburi 53

Uovu Wa Wanadamu

(Zaburi 14)

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.

153:1 Za 107:17; 74:22; 10:4; Mit 10:23; Rum 3:10Mpumbavu anasema moyoni mwake,

“Hakuna Mungu.”

Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa,

hakuna hata mmoja atendaye mema.

253:2 Za 33:13; 82:5; Yer 4:22; 8:8; 2Nya 15:2Mungu anawachungulia wanadamu chini

kutoka mbinguni

aone kama wako wenye akili,

wowote wanaomtafuta Mungu.

353:3 Rum 3:10-12; Mhu 7:29Kila mmoja amegeukia mbali,

wameharibika wote pamoja,

hakuna atendaye mema.

Naam, hakuna hata mmoja!

453:4 Yer 4:22Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

wale ambao huwala watu wangu

kama watu walavyo mkate,

hao ambao hawamwiti Mungu?

553:5 Law 26:17; Eze 6:5; 2Fal 17:20; 23:14; Za 141:7; Mao 5:22; Yer 6:30; 14:19; 8:1; Ay 8:22Hapo waliingiwa na hofu kuu,

ambapo hapakuwa cha kutetemesha.

Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia;

uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.

6Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni!

Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake,

Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!