诗篇 50 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 50:1-23

第 50 篇

真正的敬拜

亚萨的诗。

1从日出之地到日落之处,

大能的上帝耶和华召唤世人。

2上帝的光辉从完美的锡安发出。

3我们的上帝来临,

并非悄然无声,

祂前面有烈火燃烧,

周围有暴风怒吼。

4祂召唤天地,

为要审判祂的子民。

5祂说:“把我忠心的子民——那些借着献祭和我立约的人招聚到我这里。”

6诸天宣扬上帝的公义,

因为祂是审判官。(细拉)

7祂说:“我的子民啊,听我说!

以色列啊,我要指控你!

我是上帝,是你的上帝。

8我责怪你,不是因为你的祭物,

也不是因为你经常献给我的燔祭。

9我不需要你棚里的公牛和圈里的山羊,

10因为林中的百兽是我的,

群山上的牲畜是我的。

11山中的飞鸟和田野的动物都是我的。

12就是我饿了,也不用告诉你,

因为世界和其中的一切都是我的。

13难道我吃公牛的肉,

喝山羊的血吗?

14你要向上帝献上感恩祭,

向至高者恪守诺言,

15在患难中呼求我,

我必拯救你,你必尊崇我。”

16但上帝对恶人说:

“你怎能背诵我的律法,

谈论我的约?

17你憎恶我的管教,

把我的话抛在脑后。

18你见了盗贼就与他同流合污,

又喜欢与淫乱的人交往。

19你满口恶言,谎话连篇,

20肆意毁谤自己的同胞兄弟。

21我对你的所作所为默然不语,

你就以为我与你是同道。

现在我要责备你,

当面指出你的罪状。

22忘记上帝的人啊,

你们要省察,

免得我毁灭你们,

那时谁也救不了你们。

23向我献上感恩就是尊崇我,

我必拯救走正路的人。”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 50:1-23

Zaburi 50

Ibada Ya Kweli

Zaburi ya Asafu.

150:1 Yos 22:22; Za 113:3Mwenye Nguvu, Mungu, Bwana,

asema na kuiita dunia,

tangu mawio ya jua

hadi mahali pake liendapo kutua.

250:2 Za 2:6; 48:2; Mao 2:15; Kum 33:2Kutoka Sayuni, penye uzuri mkamilifu,

Mungu anaangaza.

350:3 Isa 30:28; 42:14; 64:12; 29:6; 65:6; Za 18:8; 107:25; 96:13; 83:15; 147:18; Ay 37:9; Yn 1:4; Nah 1:3Mungu wetu anakuja na hatakaa kimya,

moto uteketezao unamtangulia,

akiwa amezungukwa na tufani kali.

450:4 Kum 4:26; 31:26; Isa 1:2; Ebr 10:30; Mik 6:1, 2Anaziita mbingu zilizo juu,

na nchi, ili aweze kuwahukumu watu wake:

550:5 Kum 7:6; Za 18:25; Kut 24:7; 1Kor 6:2; 2Nya 6:11; Isa 13:3; 1The 3:13; Ebr 8:6; Yud 14; Mwa 24:7; Isa 59:20, 21“Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu,

waliofanya agano nami kwa dhabihu.”

650:6 Za 19:1; Ay 9:15; Mwa 16:5Nazo mbingu zinatangaza haki yake,

kwa maana Mungu mwenyewe ni hakimu.

750:7 Ebr 2:4; Kut 20:2; Za 48:14“Sikieni, enyi watu wangu, nami nitasema,

ee Israeli, nami nitashuhudia dhidi yenu:

Mimi ndimi Mungu, Mungu wenu.

850:8 2Sam 22:16; Za 40:6Sikukemei kwa sababu ya dhabihu zako,

au sadaka zako za kuteketezwa,

ambazo daima ziko mbele zangu.

950:9 Hes 32:16; Law 1:5; 16:5; Mdo 17:25; Mik 6:6; Isa 43:23Sina haja ya fahali wa banda lako,

au mbuzi wa zizi lako.

1050:10 Za 104:20, 24; Isa 56:9; Mik 5:8Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu,

na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.

1150:11 Mt 6:26; Za 8:7; 80:13Ninamjua kila ndege mlimani,

nao viumbe wa kondeni ni wangu.

1250:12 Kut 19:5; Kum 10:14; Ay 3:11; Za 24:1; 1Kor 10:26Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi,

kwa maana ulimwengu ni wangu,

pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.

13Je, mimi hula nyama ya mafahali

au kunywa damu ya mbuzi?

1450:14 Ezr 1:4; Za 27:6; 66:13; 76:11; 7:8; Hes 30:2Toa sadaka za shukrani kwa Mungu,

timiza nadhiri zako kwake Yeye Aliye Juu Sana,

1550:15 Zek 13:9; Isa 55:6; 58:9; Za 4:1; 3:7; 81:7; 69:17; 142:2; 86:7; 22:23; 107:6; Yak 5:13; Yn 15:8na uniite siku ya taabu;

nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”

1650:16 Za 25:10; Isa 29:13Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema:

“Una haki gani kunena sheria zangu

au kuchukua agano langu midomoni mwako?

1750:17 1Fal 14:9; Mit 1:22; 5:12, 13; Rum 2:21; 2The 2:10-12Unachukia mafundisho yangu

na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.

1850:18 Rum 1:32; 1Tim 5:22; Ay 22:15Unapomwona mwizi, unaungana naye,

unapiga kura yako pamoja na wazinzi.

1950:19 Za 10:7; 36:3; 52:2; 101:7Unakitumia kinywa chako kwa mabaya

na kuuongoza ulimi wako kwa hila.

2050:20 Mt 10:21Wanena daima dhidi ya ndugu yako

na kumsingizia mwana wa mama yako.

2150:21 Isa 57:11, 16; 62:1; 42:14; 64:12; 50:2; Mhu 8:11; Za 6:1; 18:15; 85:5; 76:6; 104:7; Rum 2:4Mambo haya unayafanya, nami nimekaa kimya,

ukafikiri Mimi nami ni kama wewe.

Lakini nitakukemea

na kuweka mashtaka mbele yako.

2250:22 Ay 8:13; Mik 5:8; Isa 17:10; Kum 32:39“Yatafakarini haya, ninyi mnaomsahau Mungu,

ama sivyo nitawararua vipande vipande,

wala hapatakuwepo na yeyote wa kuwaokoa:

2350:23 Za 85:13; 98:3; 9:14; 91:16; Isa 52:10Atoaye dhabihu za shukrani ananiheshimu mimi,

naye aiandaa njia yake

ili nimwonyeshe wokovu wa Mungu.”