第 50 篇
真正的敬拜
亚萨的诗。
1从日出之地到日落之处,
大能的上帝耶和华召唤世人。
2上帝的光辉从完美的锡安发出。
3我们的上帝来临,
并非悄然无声,
祂前面有烈火燃烧,
周围有暴风怒吼。
4祂召唤天地,
为要审判祂的子民。
5祂说:“把我忠心的子民——那些借着献祭和我立约的人招聚到我这里。”
6诸天宣扬上帝的公义,
因为祂是审判官。(细拉)
7祂说:“我的子民啊,听我说!
以色列啊,我要指控你!
我是上帝,是你的上帝。
8我责怪你,不是因为你的祭物,
也不是因为你经常献给我的燔祭。
9我不需要你棚里的公牛和圈里的山羊,
10因为林中的百兽是我的,
群山上的牲畜是我的。
11山中的飞鸟和田野的动物都是我的。
12就是我饿了,也不用告诉你,
因为世界和其中的一切都是我的。
13难道我吃公牛的肉,
喝山羊的血吗?
14你要向上帝献上感恩祭,
向至高者恪守诺言,
15在患难中呼求我,
我必拯救你,你必尊崇我。”
16但上帝对恶人说:
“你怎能背诵我的律法,
谈论我的约?
17你憎恶我的管教,
把我的话抛在脑后。
18你见了盗贼就与他同流合污,
又喜欢与淫乱的人交往。
19你满口恶言,谎话连篇,
20肆意毁谤自己的同胞兄弟。
21我对你的所作所为默然不语,
你就以为我与你是同道。
现在我要责备你,
当面指出你的罪状。
22忘记上帝的人啊,
你们要省察,
免得我毁灭你们,
那时谁也救不了你们。
23向我献上感恩就是尊崇我,
我必拯救走正路的人。”
Zaburi 50
Ibada Ya Kweli
Zaburi ya Asafu.
150:1 Yos 22:22; Za 113:3Mwenye Nguvu, Mungu, Bwana,
asema na kuiita dunia,
tangu mawio ya jua
hadi mahali pake liendapo kutua.
250:2 Za 2:6; 48:2; Mao 2:15; Kum 33:2Kutoka Sayuni, penye uzuri mkamilifu,
Mungu anaangaza.
350:3 Isa 30:28; 42:14; 64:12; 29:6; 65:6; Za 18:8; 107:25; 96:13; 83:15; 147:18; Ay 37:9; Yn 1:4; Nah 1:3Mungu wetu anakuja na hatakaa kimya,
moto uteketezao unamtangulia,
akiwa amezungukwa na tufani kali.
450:4 Kum 4:26; 31:26; Isa 1:2; Ebr 10:30; Mik 6:1, 2Anaziita mbingu zilizo juu,
na nchi, ili aweze kuwahukumu watu wake:
550:5 Kum 7:6; Za 18:25; Kut 24:7; 1Kor 6:2; 2Nya 6:11; Isa 13:3; 1The 3:13; Ebr 8:6; Yud 14; Mwa 24:7; Isa 59:20, 21“Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu,
waliofanya agano nami kwa dhabihu.”
650:6 Za 19:1; Ay 9:15; Mwa 16:5Nazo mbingu zinatangaza haki yake,
kwa maana Mungu mwenyewe ni hakimu.
750:7 Ebr 2:4; Kut 20:2; Za 48:14“Sikieni, enyi watu wangu, nami nitasema,
ee Israeli, nami nitashuhudia dhidi yenu:
Mimi ndimi Mungu, Mungu wenu.
850:8 2Sam 22:16; Za 40:6Sikukemei kwa sababu ya dhabihu zako,
au sadaka zako za kuteketezwa,
ambazo daima ziko mbele zangu.
950:9 Hes 32:16; Law 1:5; 16:5; Mdo 17:25; Mik 6:6; Isa 43:23Sina haja ya fahali wa banda lako,
au mbuzi wa zizi lako.
1050:10 Za 104:20, 24; Isa 56:9; Mik 5:8Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu,
na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.
1150:11 Mt 6:26; Za 8:7; 80:13Ninamjua kila ndege mlimani,
nao viumbe wa kondeni ni wangu.
1250:12 Kut 19:5; Kum 10:14; Ay 3:11; Za 24:1; 1Kor 10:26Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi,
kwa maana ulimwengu ni wangu,
pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.
13Je, mimi hula nyama ya mafahali
au kunywa damu ya mbuzi?
1450:14 Ezr 1:4; Za 27:6; 66:13; 76:11; 7:8; Hes 30:2Toa sadaka za shukrani kwa Mungu,
timiza nadhiri zako kwake Yeye Aliye Juu Sana,
1550:15 Zek 13:9; Isa 55:6; 58:9; Za 4:1; 3:7; 81:7; 69:17; 142:2; 86:7; 22:23; 107:6; Yak 5:13; Yn 15:8na uniite siku ya taabu;
nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”
1650:16 Za 25:10; Isa 29:13Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema:
“Una haki gani kunena sheria zangu
au kuchukua agano langu midomoni mwako?
1750:17 1Fal 14:9; Mit 1:22; 5:12, 13; Rum 2:21; 2The 2:10-12Unachukia mafundisho yangu
na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.
1850:18 Rum 1:32; 1Tim 5:22; Ay 22:15Unapomwona mwizi, unaungana naye,
unapiga kura yako pamoja na wazinzi.
1950:19 Za 10:7; 36:3; 52:2; 101:7Unakitumia kinywa chako kwa mabaya
na kuuongoza ulimi wako kwa hila.
2050:20 Mt 10:21Wanena daima dhidi ya ndugu yako
na kumsingizia mwana wa mama yako.
2150:21 Isa 57:11, 16; 62:1; 42:14; 64:12; 50:2; Mhu 8:11; Za 6:1; 18:15; 85:5; 76:6; 104:7; Rum 2:4Mambo haya unayafanya, nami nimekaa kimya,
ukafikiri Mimi nami ni kama wewe.
Lakini nitakukemea
na kuweka mashtaka mbele yako.
2250:22 Ay 8:13; Mik 5:8; Isa 17:10; Kum 32:39“Yatafakarini haya, ninyi mnaomsahau Mungu,
ama sivyo nitawararua vipande vipande,
wala hapatakuwepo na yeyote wa kuwaokoa:
2350:23 Za 85:13; 98:3; 9:14; 91:16; Isa 52:10Atoaye dhabihu za shukrani ananiheshimu mimi,
naye aiandaa njia yake
ili nimwonyeshe wokovu wa Mungu.”