第 37 篇
义人和恶人的结局
大卫的诗。
1不要因为恶人而烦恼,
也不要羡慕作恶之人,
2因为他们如瞬息枯萎的草芥,
又如转眼消逝的绿草。
3要信靠耶和华,要行善,
要在这片土地上安然度日。
4要以耶和华为乐,
祂必成全你的愿望。
5要把一切交托给耶和华,
信靠祂,祂必帮助你,
6使你的公义如晨光照耀,
你的仁义如日中天。
7要在耶和华面前安静,
耐心等候祂,
不要因恶人道路通达、阴谋得逞而愤愤不平。
8你要抑制怒气,除掉愤怒;
不要心怀不平,
那会导致你作恶。
9因为作恶的终必灭亡,
但等候耶和华的必承受土地。
10再过片刻,恶人必不复存在,
无处可寻。
11但谦卑人必承受土地,
得享太平。
12恶人谋害义人,
对他们咬牙切齿。
13但耶和华嗤笑邪恶人,
因为祂知道他们末日将临。
14恶人拔剑张弓要消灭穷苦人,
杀戮正直人,
15但他们的剑必刺穿自己的心,
他们的弓必被折断。
16义人淡泊一生强过恶人财富如山。
17因为恶人的势力终必瓦解,
耶和华必扶持义人。
18耶和华天天看顾纯全无过的人,
他们的产业永远长存。
19他们在灾难中不致绝望,
在饥荒时仍得饱足。
20但恶人必灭亡,
上帝的仇敌必像野地枯萎的花草,
消逝如烟。
21恶人借债不还,
义人慷慨给予。
22蒙耶和华赐福的人必承受土地,
被耶和华咒诅的人必遭铲除。
23耶和华引领义人的脚步,
喜悦他们所走的路。
24他们即使失脚,也不会跌倒,
因为耶和华的手扶持他们。
25从幼年到老年,
我从未见过义人遭弃,
也未见其后人讨饭。
26他们乐善好施,
后代都蒙祝福。
27你要离恶行善,
就必永远安居。
28因为耶和华喜爱正义,
不丢弃信靠祂的人,
永远保护他们。
恶人的后代必被铲除。
29义人必承受土地,
在地上永远安居。
30义人口出智慧,诉说正义,
31铭记上帝的律法,
从不失脚。
32恶人窥探义人,
伺机谋害。
33但耶和华不会让恶人得逞,
也不会让义人在审判时被定罪。
34要等候耶和华,
坚守祂的道,
祂必赐你土地,使你有尊荣。
你必亲眼看见恶人被铲除。
35我见过邪恶残暴之人,
乍看如葱茏的黎巴嫩香柏树,
36再一看,
他已经消失得无影无踪,
无处可寻。
37你看那纯全正直、爱好和平的人,
他们前途美好。
38罪人必遭毁灭,
恶人必被铲除。
39耶和华拯救义人,
患难时作他们的庇护所。
40耶和华帮助他们,
拯救他们脱离恶人,
因为他们投靠祂。
Zaburi 3737 Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
Mwisho Wa Mwovu Na Urithi Wa Mwenye Haki
Zaburi ya Daudi.
137:1 Mit 3:31; 3:17, 18; 24:19Usisumbuke kwa ajili ya watendao maovu,
wala usiwaonee wivu watendao mabaya,
237:2 2Fal 19:26; Ay 14:2; Za 92:7; 102:4; 90:6; Yak 1:10; Isa 40:7; Za 37:38kwa maana kama majani watanyauka mara,
kama mimea ya kijani watakufa mara.
337:3 Kum 30:20; Yn 10:9; Eze 34:14Mtumaini Bwana na utende yaliyo mema;
Kaa katika nchi ukafurahie malisho salama.
437:4 Ay 27:10; 7:6; Wim 2:3; Za 21:2; 145:19; Mit 6:33; Isa 58:14; 1Pet 1:8Jifurahishe katika Bwana
naye atakupa haja za moyo wako.
537:5 Za 4:5; 57:10; Mt 6:25; 1Pet 5:7Mkabidhi Bwana njia yako,
mtumaini yeye, naye atatenda hili:
637:6 Ay 11:8; 7:20; 11:17; Rum 11:33; Za 145:9; 18:24; 103:17; 112:3; Mik 7:9Yeye atafanya haki yako ingʼae kama mapambazuko,
na hukumu ya shauri lako kama jua la adhuhuri.
737:7 Kut 14:14; Yer 12:1; Isa 41:1; 38:13; Za 119:150; 40:1; 27:14; 21:11; 26:10; 130:5; Hab 3:16; Rum 8:25Tulia mbele za Bwana
na umngojee kwa uvumilivu;
usisumbuke watu wanapofanikiwa katika njia zao,
wanapotekeleza mipango yao miovu.
837:8 Efe 4:26, 31; Ay 5:2; Kol 3:8; Mit 14:29; Za 73:3; Yak 1:19Epuka hasira na uache ghadhabu,
usihangaike: itakuongoza tu kutenda uovu.
937:9 Za 31:22; 101:8; 25:13; Mit 2:22; Isa 57:13; 40:31; 51:5, 22; 49:8, 23; 25:9; 26:8; Mt 5:5Kwa maana waovu watakatiliwa mbali,
bali wale wanaomtumaini Bwana watairithi nchi.
1037:10 Ay 7:10; Eze 27:30Bado kitambo kidogo, nao waovu hawataonekana,
ingawa utawatafuta, hawataonekana.
1137:11 Hes 6:26; 14:24; Mt 5:5; Law 26:6Bali wanyenyekevu watairithi nchi
na wafurahie amani tele.
1237:12 Ay 16:9; Za 2:1; 31:13; 35:16; 112:10Waovu hula njama dhidi ya wenye haki
na kuwasagia meno,
1337:13 1Sam 26:10; Za 11:2; 35:10; 22:20; Eze 12:23bali Bwana huwacheka waovu,
kwa sababu anajua siku yao inakuja.
1437:14 Za 22:20; 11:2; 35:10Waovu huchomoa upanga
na kupinda upinde,
ili wawaangushe maskini na wahitaji,
kuwachinja wale ambao njia zao ni nyofu.
1537:15 1Sam 2:4; Yer 49:35; Za 9:16; 46:9Lakini panga zao zitachoma mioyo yao wenyewe,
na pinde zao zitavunjwa.
1637:16 Mit 15:16; 16:8; 1Tim 6:6Bora kidogo walicho nacho wenye haki
kuliko wingi wa mali wa waovu wengi;
1737:17 Za 10:15; 41:12; 140:12; 145:14; 146:7; Ay 38:15kwa maana nguvu za waovu zitavunjwa,
lakini Bwana humtegemeza mwenye haki.
1837:18 Ay 23:10; Za 44:21; 37:27, 29Bwana anazifahamu siku za wanyofu,
na urithi wao utadumu milele.
1937:19 Ay 5:20Siku za maafa hawatanyauka,
siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.
2037:20 Za 34:21; 68:2; 102:3; Isa 51:6Lakini waovu wataangamia:
Adui za Bwana watakuwa
kama uzuri wa mashamba,
watatoweka,
watatoweka kama moshi.
2137:21 Law 25:35; Za 112:5Waovu hukopa na hawalipi,
bali wenye haki hutoa kwa ukarimu.
2237:22 Ay 5:3; Mit 3:33Wale wanaobarikiwa na Bwana watairithi nchi,
bali wale anaowalaani watakatiliwa mbali.
2337:23 Za 66:9; 121:3; 7:9; 147:11; Mit 16:9; Hes 14:8; Ay 11:15Kama Bwana akipendezwa na njia ya mtu,
yeye huimarisha hatua zake,
2437:24 Za 13:4; 55:22; 119:165; 145:14; 38:17; 41:12; 27:2; Mit 3:23; 10:9; 2Nya 9:8ajapojikwaa, hataanguka,
kwa maana Bwana
humtegemeza kwa mkono wake.
2537:25 Mwa 15:1; Za 111:5; 145:15; Ebr 13:5; Mk 10:46Nilikuwa kijana na sasa ni mzee,
lakini sijaona kamwe wenye haki wameachwa
au watoto wao wakiombaomba chakula.
2637:26 Law 25:35; Kum 28:4; Za 112:2Wakati wote ni wakarimu na hukopesha bila masharti.
Watoto wao watabarikiwa.
2737:27 Za 34:14; Yn 1:11; Hes 24:21Acha ubaya na utende wema,
nawe utaishi katika nchi milele.
2837:28 Za 11:7; 18:25; 97:10; Mwa 17:14; Kum 7:6; 32:26; Mit 2:22Kwa kuwa Bwana huwapenda wenye haki
naye hatawaacha waaminifu wake.
Watalindwa milele,
lakini uzao wa waovu utakatiliwa mbali.
2937:29 Mit 2:21; Isa 34:17Wenye haki watairithi nchi,
na kuishi humo milele.
3037:30 Za 49:3; Mit 10:13Kinywa cha mwenye haki hutamka hekima,
nao ulimi wake huzungumza lililo haki.
3137:31 Kum 6:6; 32:35; Ay 22:22Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake;
nyayo zake hazitelezi.
3237:32 Za 10:8; 11:5Watu waovu huvizia wenye haki,
wakitafuta kuwaua;
3337:33 Ay 32:3; 2Pet 2:9; Za 109:31; 34:22; 79:11; 2:9lakini Bwana hatawaacha mikononi mwao
wala hatawaacha wahukumiwe
kuwa wakosa wanaposhtakiwa.
3437:34 Za 27:14; 18:21; 52:6Mngojee Bwana,
na uishike njia yake.
Naye atakutukuza uirithi nchi,
waovu watakapokatiliwa mbali,
utaliona hilo.
3537:35 Ay 5:3Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi
kama mwerezi wa Lebanoni,
3637:36 Za 37:10; Dan 11:19; Mit 12:7; Isa 41:12lakini alitoweka mara na hakuonekana,
ingawa nilimtafuta, hakupatikana.
3737:37 Mwa 6:9; Za 11:7; 18:25; Isa 57:1-2Watafakari watu wasio na hatia,
wachunguze watu wakamilifu,
kuna mafanikio kwa mtu apendaye amani.
3837:38 Za 1:1, 2; 73:9, 19; Ay 1:1; 1The 4:17; Lk 2:25-30; Mdo 7:59, 60; 2Pet 1:14; Isa 32:17; 2Tim 4:6-8Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa,
mafanikio yao yatakatiliwa mbali.
3937:39 Isa 12:2; Yon 2:8; Za 3:8; 9:9Wokovu wa wenye haki hutoka kwa Bwana,
yeye ni ngome yao wakati wa shida.
4037:40 1Nya 5:20; Dan 3:17; Za 20:2; 18:48; 2:12; 34:7Bwana huwasaidia na kuwaokoa,
huwaokoa kutoka kwa waovu na kuwahifadhi,
kwa maana wanamkimbilia.