诗篇 37 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 37:1-40

第 37 篇

义人和恶人的结局

大卫的诗。

1不要因为恶人而烦恼,

也不要羡慕作恶之人,

2因为他们如瞬息枯萎的草芥,

又如转眼消逝的绿草。

3要信靠耶和华,要行善,

要在这片土地上安然度日。

4要以耶和华为乐,

祂必成全你的愿望。

5要把一切交托给耶和华,

信靠祂,祂必帮助你,

6使你的公义如晨光照耀,

你的仁义如日中天。

7要在耶和华面前安静,

耐心等候祂,

不要因恶人道路通达、阴谋得逞而愤愤不平。

8你要抑制怒气,除掉愤怒;

不要心怀不平,

那会导致你作恶。

9因为作恶的终必灭亡,

但等候耶和华的必承受土地。

10再过片刻,恶人必不复存在,

无处可寻。

11但谦卑人必承受土地,

得享太平。

12恶人谋害义人,

对他们咬牙切齿。

13但耶和华嗤笑邪恶人,

因为祂知道他们末日将临。

14恶人拔剑张弓要消灭穷苦人,

杀戮正直人,

15但他们的剑必刺穿自己的心,

他们的弓必被折断。

16义人淡泊一生强过恶人财富如山。

17因为恶人的势力终必瓦解,

耶和华必扶持义人。

18耶和华天天看顾纯全无过的人,

他们的产业永远长存。

19他们在灾难中不致绝望,

在饥荒时仍得饱足。

20但恶人必灭亡,

上帝的仇敌必像野地枯萎的花草,

消逝如烟。

21恶人借债不还,

义人慷慨给予。

22蒙耶和华赐福的人必承受土地,

被耶和华咒诅的人必遭铲除。

23耶和华引领义人的脚步,

喜悦他们所走的路。

24他们即使失脚,也不会跌倒,

因为耶和华的手扶持他们。

25从幼年到老年,

我从未见过义人遭弃,

也未见其后人讨饭。

26他们乐善好施,

后代都蒙祝福。

27你要离恶行善,

就必永远安居。

28因为耶和华喜爱正义,

不丢弃信靠祂的人,

永远保护他们。

恶人的后代必被铲除。

29义人必承受土地,

在地上永远安居。

30义人口出智慧,诉说正义,

31铭记上帝的律法,

从不失脚。

32恶人窥探义人,

伺机谋害。

33但耶和华不会让恶人得逞,

也不会让义人在审判时被定罪。

34要等候耶和华,

坚守祂的道,

祂必赐你土地,使你有尊荣。

你必亲眼看见恶人被铲除。

35我见过邪恶残暴之人,

乍看如葱茏的黎巴嫩香柏树,

36再一看,

他已经消失得无影无踪,

无处可寻。

37你看那纯全正直、爱好和平的人,

他们前途美好。

38罪人必遭毁灭,

恶人必被铲除。

39耶和华拯救义人,

患难时作他们的庇护所。

40耶和华帮助他们,

拯救他们脱离恶人,

因为他们投靠祂。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 37:1-40

Zaburi 3737 Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Mwisho Wa Mwovu Na Urithi Wa Mwenye Haki

Zaburi ya Daudi.

137:1 Mit 3:31; 3:17, 18; 24:19Usisumbuke kwa ajili ya watendao maovu,

wala usiwaonee wivu watendao mabaya,

237:2 2Fal 19:26; Ay 14:2; Za 92:7; 102:4; 90:6; Yak 1:10; Isa 40:7; Za 37:38kwa maana kama majani watanyauka mara,

kama mimea ya kijani watakufa mara.

337:3 Kum 30:20; Yn 10:9; Eze 34:14Mtumaini Bwana na utende yaliyo mema;

Kaa katika nchi ukafurahie malisho salama.

437:4 Ay 27:10; 7:6; Wim 2:3; Za 21:2; 145:19; Mit 6:33; Isa 58:14; 1Pet 1:8Jifurahishe katika Bwana

naye atakupa haja za moyo wako.

537:5 Za 4:5; 57:10; Mt 6:25; 1Pet 5:7Mkabidhi Bwana njia yako,

mtumaini yeye, naye atatenda hili:

637:6 Ay 11:8; 7:20; 11:17; Rum 11:33; Za 145:9; 18:24; 103:17; 112:3; Mik 7:9Yeye atafanya haki yako ingʼae kama mapambazuko,

na hukumu ya shauri lako kama jua la adhuhuri.

737:7 Kut 14:14; Yer 12:1; Isa 41:1; 38:13; Za 119:150; 40:1; 27:14; 21:11; 26:10; 130:5; Hab 3:16; Rum 8:25Tulia mbele za Bwana

na umngojee kwa uvumilivu;

usisumbuke watu wanapofanikiwa katika njia zao,

wanapotekeleza mipango yao miovu.

837:8 Efe 4:26, 31; Ay 5:2; Kol 3:8; Mit 14:29; Za 73:3; Yak 1:19Epuka hasira na uache ghadhabu,

usihangaike: itakuongoza tu kutenda uovu.

937:9 Za 31:22; 101:8; 25:13; Mit 2:22; Isa 57:13; 40:31; 51:5, 22; 49:8, 23; 25:9; 26:8; Mt 5:5Kwa maana waovu watakatiliwa mbali,

bali wale wanaomtumaini Bwana watairithi nchi.

1037:10 Ay 7:10; Eze 27:30Bado kitambo kidogo, nao waovu hawataonekana,

ingawa utawatafuta, hawataonekana.

1137:11 Hes 6:26; 14:24; Mt 5:5; Law 26:6Bali wanyenyekevu watairithi nchi

na wafurahie amani tele.

1237:12 Ay 16:9; Za 2:1; 31:13; 35:16; 112:10Waovu hula njama dhidi ya wenye haki

na kuwasagia meno,

1337:13 1Sam 26:10; Za 11:2; 35:10; 22:20; Eze 12:23bali Bwana huwacheka waovu,

kwa sababu anajua siku yao inakuja.

1437:14 Za 22:20; 11:2; 35:10Waovu huchomoa upanga

na kupinda upinde,

ili wawaangushe maskini na wahitaji,

kuwachinja wale ambao njia zao ni nyofu.

1537:15 1Sam 2:4; Yer 49:35; Za 9:16; 46:9Lakini panga zao zitachoma mioyo yao wenyewe,

na pinde zao zitavunjwa.

1637:16 Mit 15:16; 16:8; 1Tim 6:6Bora kidogo walicho nacho wenye haki

kuliko wingi wa mali wa waovu wengi;

1737:17 Za 10:15; 41:12; 140:12; 145:14; 146:7; Ay 38:15kwa maana nguvu za waovu zitavunjwa,

lakini Bwana humtegemeza mwenye haki.

1837:18 Ay 23:10; Za 44:21; 37:27, 29Bwana anazifahamu siku za wanyofu,

na urithi wao utadumu milele.

1937:19 Ay 5:20Siku za maafa hawatanyauka,

siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.

2037:20 Za 34:21; 68:2; 102:3; Isa 51:6Lakini waovu wataangamia:

Adui za Bwana watakuwa

kama uzuri wa mashamba,

watatoweka,

watatoweka kama moshi.

2137:21 Law 25:35; Za 112:5Waovu hukopa na hawalipi,

bali wenye haki hutoa kwa ukarimu.

2237:22 Ay 5:3; Mit 3:33Wale wanaobarikiwa na Bwana watairithi nchi,

bali wale anaowalaani watakatiliwa mbali.

2337:23 Za 66:9; 121:3; 7:9; 147:11; Mit 16:9; Hes 14:8; Ay 11:15Kama Bwana akipendezwa na njia ya mtu,

yeye huimarisha hatua zake,

2437:24 Za 13:4; 55:22; 119:165; 145:14; 38:17; 41:12; 27:2; Mit 3:23; 10:9; 2Nya 9:8ajapojikwaa, hataanguka,

kwa maana Bwana

humtegemeza kwa mkono wake.

2537:25 Mwa 15:1; Za 111:5; 145:15; Ebr 13:5; Mk 10:46Nilikuwa kijana na sasa ni mzee,

lakini sijaona kamwe wenye haki wameachwa

au watoto wao wakiombaomba chakula.

2637:26 Law 25:35; Kum 28:4; Za 112:2Wakati wote ni wakarimu na hukopesha bila masharti.

Watoto wao watabarikiwa.

2737:27 Za 34:14; Yn 1:11; Hes 24:21Acha ubaya na utende wema,

nawe utaishi katika nchi milele.

2837:28 Za 11:7; 18:25; 97:10; Mwa 17:14; Kum 7:6; 32:26; Mit 2:22Kwa kuwa Bwana huwapenda wenye haki

naye hatawaacha waaminifu wake.

Watalindwa milele,

lakini uzao wa waovu utakatiliwa mbali.

2937:29 Mit 2:21; Isa 34:17Wenye haki watairithi nchi,

na kuishi humo milele.

3037:30 Za 49:3; Mit 10:13Kinywa cha mwenye haki hutamka hekima,

nao ulimi wake huzungumza lililo haki.

3137:31 Kum 6:6; 32:35; Ay 22:22Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake;

nyayo zake hazitelezi.

3237:32 Za 10:8; 11:5Watu waovu huvizia wenye haki,

wakitafuta kuwaua;

3337:33 Ay 32:3; 2Pet 2:9; Za 109:31; 34:22; 79:11; 2:9lakini Bwana hatawaacha mikononi mwao

wala hatawaacha wahukumiwe

kuwa wakosa wanaposhtakiwa.

3437:34 Za 27:14; 18:21; 52:6Mngojee Bwana,

na uishike njia yake.

Naye atakutukuza uirithi nchi,

waovu watakapokatiliwa mbali,

utaliona hilo.

3537:35 Ay 5:3Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi

kama mwerezi wa Lebanoni,

3637:36 Za 37:10; Dan 11:19; Mit 12:7; Isa 41:12lakini alitoweka mara na hakuonekana,

ingawa nilimtafuta, hakupatikana.

3737:37 Mwa 6:9; Za 11:7; 18:25; Isa 57:1-2Watafakari watu wasio na hatia,

wachunguze watu wakamilifu,

kuna mafanikio kwa mtu apendaye amani.

3837:38 Za 1:1, 2; 73:9, 19; Ay 1:1; 1The 4:17; Lk 2:25-30; Mdo 7:59, 60; 2Pet 1:14; Isa 32:17; 2Tim 4:6-8Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa,

mafanikio yao yatakatiliwa mbali.

3937:39 Isa 12:2; Yon 2:8; Za 3:8; 9:9Wokovu wa wenye haki hutoka kwa Bwana,

yeye ni ngome yao wakati wa shida.

4037:40 1Nya 5:20; Dan 3:17; Za 20:2; 18:48; 2:12; 34:7Bwana huwasaidia na kuwaokoa,

huwaokoa kutoka kwa waovu na kuwahifadhi,

kwa maana wanamkimbilia.