第 30 篇
感恩的祷告
大卫的诗,作献殿之歌。
1耶和华啊,我要赞美你,
因为你救我脱离危难,
不让我的仇敌幸灾乐祸。
2我的上帝耶和华啊,
我呼求你,你就医治了我。
3耶和华啊,你从阴间把我救出,
没有让我落入坟墓。
4耶和华忠心的子民啊,
你们要歌颂祂,
赞美祂的圣名。
5因为祂的怒气瞬间消逝,
祂的恩惠却持续一生。
我们虽然整夜哭泣,
早晨必定欢呼。
6我在顺境中曾说:
“我永不动摇。”
7耶和华啊,
你向我施恩,我便稳固如山;
你掩面不理我,我就惊慌失措。
8耶和华啊,我向你呼求,
恳求你怜悯,说:
9“耶和华啊,
我被毁灭、落入坟墓有何益处?
我归于尘土,还能赞美你、
宣扬你的信实吗?
10耶和华啊,求你垂听我的呼求,怜悯我!
耶和华啊,求你帮助我!”
11你把我的哀哭变成了舞步,
为我脱下悲伤的麻衣,
披上喜乐的外袍,
12好叫我从心底歌颂你,
不致默然无声。
我的上帝耶和华啊,
我要永远向你感恩!
Zaburi 30
Maombi Ya Shukrani
Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi.
130:1 Kut 15:2; Isa 14:15; Ay 11:8; Mit 9:18; Za 63:9; 107:26; 22:17Nitakutukuza wewe, Ee Bwana,
kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi,
na hukuacha adui zangu
washangilie juu yangu.
230:2 Za 5:2; 88:13; 6:2-4; Hes 12:13Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie
na wewe umeniponya.
330:3 Za 40:1, 2; 16:10; 56:13; 28:1; 55:23; 69:15; 86:13; 143:7; Mit 1:12; Isa 38:17; Yon 2:6Ee Bwana, umenitoa Kuzimu,
umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti.
430:4 Za 33:1; 47:7; 68:4; 16:3; 33:21; 103:1; 145:21; Kut 3:15Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake;
lisifuni jina lake takatifu.
530:5 Za 103:9; 126:6; 6:6; 2Sam 15:30; 2Kor 4:17; Ezr 3:1; Ay 14:13; Yer 31:6Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi,
bali upendo wake hudumu siku zote.
Inawezekana kilio kiwepo usiku kucha,
lakini asubuhi kukawa na furaha.
630:6 Ay 29:18Nilipofanikiwa nilisema,
“Sitatikiswa kamwe.”
730:7 Kum 31:17; Za 104:29Ee Bwana, uliponijalia,
uliuimarisha mlima wangu,
lakini ulipouficha uso wako
nilifadhaika.
8Kwako wewe, Ee Bwana, niliita,
kwa Bwana niliomba rehema:
930:9 Ay 33:18; Isa 38:18; Za 6:5; 88:11; 115:17“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu?
Katika kushuka kwangu shimoni?
Je, mavumbi yatakusifu?
Je, yatatangaza uaminifu wako?
1030:10 Za 17:1; 4:1; 20:2Ee Bwana, unisikie na kunihurumia,
Ee Bwana, uwe msaada wangu.”
1130:11 2Sam 3:31; 6:14; Es 4:1; Kut 15:20; Za 35:13; 16:9; Kum 16:15Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,
ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe,
1230:12 Za 35:18; 75:1; 118:21; 44:8; 52:9; Ufu 11:17ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.
Ee Bwana Mungu wangu, nitakushukuru milele.