诗篇 143 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 143:1-12

第 143 篇

求上帝拯救

大卫的诗。

1耶和华啊,求你垂听我的祷告,

倾听我的呼求,

求你凭你的信实和公义应允我的祈求。

2求你不要审判你的仆人,

因为在你眼中没有一个义人。

3敌人迫害我,打垮我,

使我生活在黑暗中,

像死去很久的人。

4我心力交瘁,惊恐万分。

5我想起遥远的过去,

我思想你的一切作为,

回想你所做的事。

6我举手向你呼求,

我的心渴慕你如同干旱之地渴慕甘霖。(细拉)

7耶和华啊,求你快快应允我!

我已绝望,求你不要掩面不顾我,

不然我必和下坟墓的人无异。

8求你让我在清晨就听见你的慈言爱语,

因为我信靠你;

求你指示我当走的路,

因为我的心仰望你。

9耶和华啊,求你救我脱离仇敌,

我要到你那里寻求庇护。

10求你教导我遵行你的旨意,

因为你是我的上帝,

愿你良善的灵引导我走平坦的路。

11耶和华啊,

求你为自己名的缘故拯救我,

凭你的公义救我脱离患难。

12求你铲除我的仇敌,

因为你爱我。

求你消灭一切迫害我的人,

因为我是你的仆人。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 143:1-12

Zaburi 143

Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Adui

Zaburi ya Daudi.

1143:1 Za 141:1; 28:2; 130:2; 89:1-2Ee Bwana, sikia sala yangu,

sikiliza kilio changu unihurumie;

katika uaminifu na haki yako

njoo unisaidie.

2143:2 Za 14:3; Rum 3:10; Ay 14:3; 4:17; Mhu 7:20; Gal 2:16Usimhukumu mtumishi wako,

kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.

3143:3 Za 107:10; 7:1, 2; Law 3:6Adui hunifuatilia,

hunipondaponda chini;

hunifanya niishi gizani

kama wale waliokufa zamani.

4143:4 Za 30:7Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu,

moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.

5143:5 Za 77:6; 77:5, 11; Mwa 24:63Nakumbuka siku za zamani;

natafakari juu ya kazi zako zote,

naangalia juu ya kazi

ambazo mikono yako imezifanya.

6143:6 Kut 9:29; Ay 11:13; Za 28:2Nanyoosha mikono yangu kwako,

nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.

7143:7 Za 69:17; 142:3; 22:24; 27:9; 30:7Ee Bwana, unijibu haraka,

roho yangu inazimia.

Usinifiche uso wako,

ama sivyo nitafanana na wale washukao shimoni.

8143:8 Kut 33:13; Ay 34:32; Za 6:4; 90:14; 27:11; 32:8; 25:1-2; 86:4Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma,

kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako.

Nionyeshe njia nitakayoiendea,

kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.

9143:9 Za 140:1; 18:17; 31:15Ee Bwana, uniokoe na adui zangu,

kwa kuwa nimejificha kwako.

10143:10 Za 119:12; 31:14; 25:4-5; 26:11; Neh 9:20; Yn 14:26; Rum 5:5; Efe 4:30; Gal 5:22, 23Nifundishe kufanya mapenzi yako,

kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu,

Roho wako mwema na aniongoze

katika nchi tambarare.

11143:11 Za 25:11; 41:2; 31:1; 71:2Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu,

kwa haki yako nitoe katika taabu.

12143:12 Za 8:2; 54:5; 116:16Kwa upendo wako usiokoma,

nyamazisha adui zangu;

waangamize watesi wangu wote,

kwa kuwa mimi ni mtumishi wako.