第 135 篇
赞美之歌
(平行经文:诗篇115:4-11)
1-2你们要赞美耶和华!
赞美祂的名!
耶和华的仆人啊,
在耶和华的殿中,
在我们上帝的院宇中事奉的人啊,
你们要赞美祂!
3你们要赞美耶和华,
因为祂是美善的;
你们要歌颂祂的名,
因为祂的名美好无比。
4祂拣选雅各做祂的子民,
拣选以色列作祂的产业。
5我知道耶和华伟大,
我们的主超越一切神明。
6耶和华在天上、地下、海洋、
深渊按自己的旨意行事。
7祂使云雾从地极上升,
发出电光,带来雨水,
从祂的仓库带出风来。
8祂击杀了埃及人的长子和头胎的牲畜。
9祂在埃及行神迹奇事,
惩罚法老和他的一切臣仆。
10祂毁灭列国,
杀戮强大的君王:
11亚摩利王西宏、巴珊王噩和迦南所有的君王。
12祂把这些国家的土地赐给祂的以色列子民,
作为他们的产业。
13耶和华啊,
你的名永远长存,
你的威名传到万代。
14因为耶和华必为祂的子民申冤,
怜悯祂的仆人。
15外族人的神像是人用金银造的。
16它们有口不能说,有眼不能看,
17有耳不能听,口中毫无气息。
18那些制造它们、信靠它们的人也会和它们一样。
19以色列人啊,
你们要称颂耶和华!
亚伦的子孙啊,
你们要称颂耶和华!
20利未的子孙啊,
你们要称颂耶和华!
你们敬畏耶和华的人都要称颂祂!135:15-20 平行经文:诗篇115:4-11。
21要赞美锡安的耶和华,
赞美住在耶路撒冷的耶和华。
你们要赞美耶和华!
Zaburi 135
Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu
1135:1 Neh 7:73Msifuni Bwana.
Lisifuni jina la Bwana,
msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2135:2 1Nya 15:2; Lk 2:37; Za 116:19ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana,
katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3135:3 1Nya 16:34; Za 119:68; 68:4; 92:1; 147:1Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema,
liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4135:4 Kut 19:5; Kum 7:6, 7; 10:15; Mal 3:17; Tit 2:14Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,
Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5135:5 Za 48:1; 145:3; Kut 12:12; 1Nya 16:25; Ay 21:22Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu,
kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6135:6 Za 115:3; Dan 4:35; Mt 6:10Bwana hufanya lolote apendalo,
mbinguni na duniani,
katika bahari na vilindi vyake vyote.
7135:7 Ay 5:10; Za 68:6; Isa 30:23; Amo 4:13; Yer 10:13; 51:16; Yoe 2:23; Zek 10:1; Kum 28:12; Mwa 2:6; Ay 28:25; 38:22Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;
hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua
na huleta upepo kutoka ghala zake.
8135:8 Kut 4:23; 12:12Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,
mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9135:9 Kut 7:9; Za 136:10-15Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,
dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10135:10 Hes 21:21-25; Yos 24:8-11; Za 44:2; 78:55; 136:17-21Aliyapiga mataifa mengi,
na akaua wafalme wenye nguvu:
11135:11 Hes 21:21, 26, 33; Yos 12:7-24Mfalme Sihoni na Waamori,
Ogu mfalme wa Bashani
na wafalme wote wa Kanaani:
12135:12 Kum 29:8akatoa nchi yao kuwa urithi,
urithi kwa watu wake Israeli.
13135:13 Kut 3:15; Za 102:12Ee Bwana, jina lako ladumu milele,
kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14135:14 1Sam 24:15; Ebr 10:30; Kum 32:36Maana Bwana atawathibitisha watu wake,
na kuwahurumia watumishi wake.
15135:15 Ufu 9:20; Isa 2:8; 31:7; 37:19; 40:19; Yer 1:16; 10:5; Za 96:5Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,
zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16135:16 1Fal 18:26Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,
zina macho, lakini haziwezi kuona;
17135:17 Yer 10:14; Hab 2:19zina masikio, lakini haziwezi kusikia,
wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19135:19 Za 22:23Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana;
ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana;
ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21135:21 Za 128:5; 134:3; 1Fal 8:13; 2Nya 6:2Msifuni Bwana kutoka Sayuni,
msifuni yeye aishiye Yerusalemu.
Msifuni Bwana.