诗篇 109 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 109:1-31

第 109 篇

患难中的苦诉

大卫的诗歌,交给乐长。

1我所赞美的上帝啊,

求你不要沉默不语。

2因为邪恶和诡诈的人开口攻击我,

用谎言毁谤我。

3他们恶言恶语地围着我,

无缘无故地攻击我。

4我爱他们,他们却控告我,

但我为他们祷告。

5他们对我以恶报善,

以恨报爱。

6求你差恶人攻击我的仇敌,

派人站在他右边控告他。

7当他受审时,

愿他被判为有罪,

他的祷告也算为罪过。

8愿他的年日短少,

愿别人取代他的职位。

9愿他的孩子失去父亲,

妻子成为寡妇。

10愿他的孩子流浪行乞,

被赶出自己破败的家。

11愿债主夺取他所有的财产,

陌生人抢走他的劳动成果。

12愿无人向他施恩,

无人同情他的孤儿。

13愿他断子绝孙,

他的姓氏传不到下一代。

14愿耶和华记住他祖辈的罪恶,

不除去他母亲的罪过。

15愿耶和华永不忘记他的罪恶,

把他从世上铲除。

16因为他毫无仁慈,

迫害困苦、贫穷和伤心的人,

置他们于死地。

17他喜欢咒诅人,

愿咒诅临到他;

他不喜欢祝福人,

愿祝福远离他。

18他咒诅成性,

愿咒诅如水侵入他的身体,

如油浸透他的骨头。

19愿咒诅不离其身,

如同身上的衣服和腰间的带子。

20愿耶和华这样报应那些诬告我,

以恶言攻击我的人。

21主耶和华啊,

求你因自己的名恩待我,

因你的美善和慈爱拯救我。

22因为我贫穷困苦,

内心饱受创伤。

23我像黄昏的日影一样消逝,

如蝗虫一般被抖落。

24禁食使我双腿发软,

瘦骨嶙峋。

25仇敌都嘲笑我,

他们看见我就连连摇头。

26我的上帝耶和华啊,

求你帮助我,施慈爱拯救我,

27让他们都看见这是你耶和华的作为。

28任凭他们咒诅吧,

你必赐福给我。

攻击我的人必蒙羞,

你的仆人必欢喜。

29愿诬告我的人满面羞辱,

无地自容。

30我要竭力颂扬耶和华,

在众人面前赞美祂。

31因为祂保护贫穷的人,

拯救他们脱离置他们于死地的人。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 109:1-31

Zaburi 109

Lalamiko La Mtu Aliyeko Kwenye Shida

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

1109:1 Kut 15:2; Yer 17:14; Ay 34:29; Za 83:1Ee Mungu, ambaye ninakusifu,

usiwe kimya,

2109:2 Za 43:1; 52:4kwa maana watu waovu na wadanganyifu

wamefungua vinywa vyao dhidi yangu;

wasema dhidi yangu

kwa ndimi za udanganyifu.

3109:3 Za 69:4; 35:7; 35:7, 10; Yn 15:25; 1Sam 19:4, 5Wamenizunguka kwa maneno ya chuki,

wananishambulia bila sababu.

4109:4 Za 69:13; 141:5Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki,

lakini mimi ninawaombea.

5109:5 Mwa 44:4; Za 38:20Wananilipiza mabaya kwa mema,

chuki badala ya urafiki wangu.

6109:6 1Nya 21:1; Ay 1:6; Zek 3:1Agiza mtu mwovu ampinge,

mshtaki109:6 Mshtaki hapa maana yake ni Shetani. asimame mkono wake wa kuume.

7109:7 Za 1:5; Mit 28:9; Zek 3:1Anapohukumiwa, apatikane na hatia,

nayo maombi yake yamhukumu.

8109:8 Ay 15:32; Mdo 1:20Siku zake za kuishi na ziwe chache,

nafasi yake ya uongozi ichukuliwe na mtu mwingine.

9109:9 Kut 22:24; Yer 18:21Watoto wake na waachwe yatima,

mke wake na awe mjane.

10109:10 Mwa 4:12Watoto wake na watangetange wakiomba,

na wafukuzwe kwenye magofu ya nyumba zao.

11109:11 Hes 14:3; Isa 1:7; 6:11; 36:1; Mao 5:2; Neh 5:3; Ay 20:18; 18:9Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo,

matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni.

12109:12 Ay 5:4Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema

wala wa kuwahurumia yatima wake.

13109:13 Za 21:10; 9:5; 37:28; Hes 14:12; Mit 10:7; Ay 18:19Uzao wake na ukatiliwe mbali,

majina yao yafutike katika kizazi kifuatacho.

14109:14 Kut 20:5Maovu ya baba zake na yakumbukwe

mbele za Bwana,

dhambi ya mama yake

isifutwe kamwe.

15109:15 Za 90:8; Kut 17:14; Kum 32:26; Ay 18:17Dhambi zao na zibaki daima mbele za Bwana,

ili apate kukatilia mbali kumbukumbu lao duniani.

16109:16 Ay 20:19; Za 35:10; 34:18Kwa maana kamwe hakuweza kutenda wema,

bali alimfukuza mnyonge na mhitaji,

aliwafanyia jeuri wahitaji na waliovunjika moyo.

17109:17 Mit 28:27; Mt 7:2Alipenda kulaani,

nayo laana ikampata;

hakupenda kubariki,

kwa hiyo baraka na ikae mbali naye.

18109:18 Za 10:7; Hes 5:22Alivaa kulaani kama vazi lake,

nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji,

kwenye mifupa yake kama mafuta.

19109:19 Za 109:29; 73:6; Eze 7:27Na iwe kama joho alilozungushiwa,

kama mshipi aliofungiwa daima.

20109:20 Kut 32:34; Za 54:5; 94:23; 7:10; Isa 3:11; 2Tim 4:14Haya na yawe malipo ya Bwana kwa washtaki wangu,

kwa wale wanaoninenea mabaya.

21109:21 Kut 9:16; Za 3:7; 23:3; 69:16Lakini wewe, Ee Bwana Mwenyezi,

unitendee wema kwa ajili ya jina lako,

uniokoe kwa wema wa pendo lako.

22Maana mimi ni maskini na mhitaji,

moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.

23109:23 Ay 14:2Ninafifia kama kivuli cha jioni,

nimerushwa-rushwa kama nzige.

24109:24 Ebr 12:12; Ay 16:8; Za 35:13Magoti yangu yamelegea kwa kufunga,

mwili wangu umedhoofika na kukonda.

25109:25 Za 22:6; Ay 16:4; Mt 27:39; Mk 15:29; Isa 37:22Nimekuwa kitu cha kudharauliwa kwa washtaki wangu,

wanionapo, hutikisa vichwa vyao.

26109:26 Za 12:1; 119:86Ee Bwana, Mungu wangu nisaidie,

niokoe sawasawa na upendo wako.

27109:27 Ay 37:7Watu na wafahamu kuwa ni mkono wako,

kwamba wewe, Ee Bwana, umetenda hili.

28109:28 2Sam 16:12; Za 66:4; Isa 35:10; 51:11; 54:1; 65:14; Hes 22:12Wanaweza kulaani, lakini wewe utabariki,

watakaposhambulia wataaibishwa,

lakini mtumishi wako atashangilia.

29109:29 Za 35:26Washtaki wangu watavikwa fedheha,

na kufunikwa na aibu kama joho.

30109:30 Za 35:18Kwa kinywa changu nitamtukuza sana Bwana,

katika umati mkubwa nitamsifu.

31109:31 Za 16:8; 108:6Kwa maana husimama mkono wa kuume wa mhitaji,

kuokoa maisha yake kutoka kwa wale wanaomhukumu.