卷五:诗篇107—150
第 107 篇
称谢上帝的美善
1你们要称谢耶和华,
因为祂是美善的;
祂的慈爱永远长存。
2-3耶和华救赎的人,
就是祂从敌人手中救赎出来、
从东西南北招聚的人,
都要称谢祂。
4他们在旷野中飘泊,居无定所,
5又饥又渴,陷入绝境。
6他们在危难中呼求耶和华,
祂就拯救他们脱离困境,
7带领他们走直路,
到可居住的城邑。
8他们当称谢耶和华的慈爱,
称谢祂为世人所行的奇事。
9因为祂满足干渴的人,
以美食喂饱饥饿的人。
10有些人坐在黑暗里,
在死亡的阴影下,
被铁链捆绑,
痛苦不堪。
11因为他们违背上帝的话,
藐视至高者的旨意,
12所以上帝用苦役使他们顺服,
他们跌倒也无人扶助。
13于是,他们在患难中呼求耶和华,
耶和华就拯救他们脱离困境。
14祂带领他们脱离黑暗和死亡的阴影,
断开他们的锁链。
15他们当称谢耶和华的慈爱,
称谢祂为世人所行的奇事。
16因为祂打碎了铜门,
砍断了铁闩。
17有些人愚顽,
因自己的悖逆和罪恶而受苦,
18食欲全消,几近死亡。
19于是,他们在患难中呼求耶和华,
耶和华便拯救他们脱离困境。
20祂一发令,就医治了他们,
救他们脱离死亡。
21他们当称谢耶和华的慈爱,
称谢祂为世人所行的奇事。
22他们当向祂献上感恩祭,
欢然歌颂祂的作为。
23有些人乘船在汪洋大海上经商,
24他们看见了耶和华的作为,
看见了祂在深海所行的奇事。
25祂一声令下,
狂风大作,巨浪滔天。
26他们的船只忽而被抛向半空,
忽而落入深渊,
他们吓得面无人色,
27东倒西歪,如同醉汉,
束手无策。
28于是,他们在患难中呼求耶和华,
耶和华便拯救他们脱离困境。
29祂使狂风止息,海浪平静。
30他们因风平浪静而欢喜,
祂带领他们到所向往的港湾。
31他们当称谢耶和华的慈爱,
称谢祂为世人所行的奇事。
32他们当在众人面前尊崇祂,
在众首领面前赞美祂。
33祂使江河变成荒漠,
水泉变成干地,
34叫沃土变成荒凉的盐碱地,
因为那里的居民邪恶。
35祂叫荒漠水塘遍布,
使旱地甘泉涌流。
36祂使饥饿的人住在那里,
建造可安居的城邑,
37耕种田地,栽植葡萄园,
收成丰硕。
38祂赐福给他们,
使他们人丁兴旺,
牲口有增无减。
39后来他们在压迫、患难和痛苦的煎熬下人口减少,
地位卑下。
40祂使贵族蒙羞受辱,
漂流在荒芜之地。
41但祂搭救贫苦的人脱离苦难,
使他们家族兴旺,多如羊群。
42正直人看见就欢喜,
邪恶人都哑口无言。
43有智慧的人都当留心这些事,
思想耶和华的慈爱。
KITABU CHA TANO
(Zaburi 107–150)
Zaburi 107
Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake
1107:1 1Nya 16:8; 2Nya 5:13; 7:3; Mt 19:17Mshukuruni Bwana, kwa kuwa yeye ni mwema,
upendo wake wadumu milele.
2107:2 Za 106:10; Isa 35:9Waliokombolewa wa Bwana na waseme hivi,
wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,
3107:3 Za 106:47; Isa 49:12; Hes 1:9; Yer 29:14; Eze 39:27wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali,
kutoka mashariki na magharibi,
kutoka kaskazini na kusini.
4107:4 Yos 5:6; Za 107:36Baadhi yao walitangatanga jangwani,
hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.
5107:5 Kut 16:3; 15:22; 17:2Walikuwa na njaa na kiu,
nafsi zao zikadhoofika.
6107:6 Kut 14:10; Za 50:15; Isa 41:17; Hos 5:15; Yer 29:12-14Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,
naye akawaokoa kutoka taabu yao.
7107:7 Ezr 8:21, 36; Isa 38:12Akawaongoza kwa njia iliyo sawa
hadi mji ambao wangeweza kuishi.
8107:8 Za 105:1; 6:4; 75:1Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,
na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
9107:9 Za 22:26; 63:5; 23:1; 34:10; Mt 5:6; Yer 31:25; Lk 1:53; Isa 55:1; 58:11kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu,
na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.
10107:10 Za 107:14; 88:6; 143:3; 102:20; Isa 9:2; 42:7, 16; 49:9; 61:1; Mik 7:9; Ay 36:8Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu,
wafungwa wakiteseka katika minyororo,
11107:11 Za 5:10; Hes 14:11; 1Fal 22:5; 2Nya 36:16kwa sababu walikuwa wameasi
dhidi ya maneno ya Mungu
na kudharau shauri
la Aliye Juu Sana.
12107:12 Isa 63:5; Za 72:12; 2Fal 14:26Aliwatumikisha kwa kazi ngumu;
walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia.
13107:13 Za 106:8Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,
naye akawaokoa kutoka taabu yao.
14107:14 Isa 9:2; 42:7; 59:9; 50:10; 60:2; 29:18; Ay 36:8; Lk 1:79; Za 86:13; 116:16; 146:7; Mdo 12:7Akawatoa katika giza na huzuni kuu
na akavunja minyororo yao.
15107:15 Za 107:8, 21, 31; 105:1; 6:4; 75:1Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,
na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
16107:16 Isa 45:2kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba
na kukata mapingo ya chuma.
17107:17 Za 53:1; 25:7; Law 14:1; 26:16; Isa 65:6, 7; Yer 30:14, 15; Gal 6:7, 8; Mt 1:22; Mao 3:39Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao,
wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.
18107:18 Ay 3:24; 6:6; 17:16; 33:22Wakachukia kabisa vyakula vyote,
wakakaribia malango ya mauti.
19107:19 Za 107:13; 5:2; 34:4Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,
naye akawaokoa kutoka taabu yao.
20107:20 Kum 32:2; Mt 8:8; 2Fal 20:4; Lk 7:7; Kut 15:26; Hes 21:8; Za 30:3; 16:10; 56:13; 147:15; Ay 33:28Akalituma neno lake na kuwaponya,
akawaokoa kutoka maangamizo yao.
21107:21 Za 107:15; 6:4; 75:1Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,
na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
22107:22 Law 7:12; Za 9:11; 73:28; 65:8; 50:14; 118:17; Ay 8:21; Ebr 13:15Na watoe dhabihu za kushukuru,
na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.
23107:23 Isa 42:10; Za 104:26Wengine walisafiri baharini kwa meli,
walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.
24107:24 Za 64:9; 111:2; 143:5Waliziona kazi za Bwana,
matendo yake ya ajabu kilindini.
25107:25 Za 105:31; 50:3; 93:3Kwa maana alisema na kuamsha tufani
iliyoinua mawimbi juu.
26107:26 Za 22:14; Isa 13:7; Nah 2:10; Lk 8:23; Yos 2:11Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini,
katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.
27107:27 Isa 19:14; 24:20; 28:7Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi,
ujanja wao ukafikia ukomo.
28107:28 Za 107:19; 4:1; Yon 1:6Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,
naye akawatoa kwenye taabu yao.
29107:29 Lk 8:24; Za 93:3; 65:7; Mk 4:39-41; Yon 1:15; Isa 50:2; Mt 8:26Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,
mawimbi ya bahari yakatulia.
30107:30 Za 107:7Walifurahi ilipokuwa shwari,
naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.
31107:31 Za 107:15; 6:4; 75:1; 106:2Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,
na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
32107:32 Za 30:1; 34:3; 99:5; 1:5; 22:22; 26:12; 35:18Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu,
na wamsifu katika baraza la wazee.
33107:33 1Fal 17:1; Yoe 1:20; Isa 41:15; 42:15; 50:2; 34:9, 10; Eze 30:12; Nah 1:4; Za 74:15; 104:10Yeye aligeuza mito kuwa jangwa,
chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu,
34107:34 Mwa 13:10nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa,
kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo.
35107:35 2Fal 3:17; Za 105:41; 126:4; Isa 43:19; 51:3; 35:7; Ay 38:26Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji,
nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;
36107:36 Mdo 17:26aliwaleta wenye njaa wakaishi humo,
nao wakajenga mji wangeweza kuishi.
37107:37 2Fal 19:29; Isa 37:30Walilima mashamba na kupanda mizabibu,
nayo ikazaa matunda mengi,
38107:38 Mwa 12:2; 49:25; Kum 7:13Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana,
wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.
39107:39 2Fal 10:32; Eze 5:12; Za 44:9Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa
kwa kuonewa, maafa na huzuni.
40107:40 Ay 12:18, 21; Kum 32:10Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu,
aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia.
41107:41 1Sam 2:8; 2Sam 7:8; Za 113:7-9; Ay 21:11; 8:7Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao,
na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo.
42107:42 Ay 22:19; 5:16; Mit 10:11; Rum 3:19; Za 97:10-12Wanyofu wataona na kufurahi,
lakini waovu wote watafunga vinywa vyao.
43107:43 Yer 9:12; Hos 14:9; Za 103:11; Dan 12:10Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya,
na atafakari upendo mkuu wa Bwana.