诗篇 107 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 107:1-43

卷五:诗篇107—150

第 107 篇

称谢上帝的美善

1你们要称谢耶和华,

因为祂是美善的;

祂的慈爱永远长存。

2-3耶和华救赎的人,

就是祂从敌人手中救赎出来、

从东西南北招聚的人,

都要称谢祂。

4他们在旷野中飘泊,居无定所,

5又饥又渴,陷入绝境。

6他们在危难中呼求耶和华,

祂就拯救他们脱离困境,

7带领他们走直路,

到可居住的城邑。

8他们当称谢耶和华的慈爱,

称谢祂为世人所行的奇事。

9因为祂满足干渴的人,

以美食喂饱饥饿的人。

10有些人坐在黑暗里,

在死亡的阴影下,

被铁链捆绑,

痛苦不堪。

11因为他们违背上帝的话,

藐视至高者的旨意,

12所以上帝用苦役使他们顺服,

他们跌倒也无人扶助。

13于是,他们在患难中呼求耶和华,

耶和华就拯救他们脱离困境。

14祂带领他们脱离黑暗和死亡的阴影,

断开他们的锁链。

15他们当称谢耶和华的慈爱,

称谢祂为世人所行的奇事。

16因为祂打碎了铜门,

砍断了铁闩。

17有些人愚顽,

因自己的悖逆和罪恶而受苦,

18食欲全消,几近死亡。

19于是,他们在患难中呼求耶和华,

耶和华便拯救他们脱离困境。

20祂一发令,就医治了他们,

救他们脱离死亡。

21他们当称谢耶和华的慈爱,

称谢祂为世人所行的奇事。

22他们当向祂献上感恩祭,

欢然歌颂祂的作为。

23有些人乘船在汪洋大海上经商,

24他们看见了耶和华的作为,

看见了祂在深海所行的奇事。

25祂一声令下,

狂风大作,巨浪滔天。

26他们的船只忽而被抛向半空,

忽而落入深渊,

他们吓得面无人色,

27东倒西歪,如同醉汉,

束手无策。

28于是,他们在患难中呼求耶和华,

耶和华便拯救他们脱离困境。

29祂使狂风止息,海浪平静。

30他们因风平浪静而欢喜,

祂带领他们到所向往的港湾。

31他们当称谢耶和华的慈爱,

称谢祂为世人所行的奇事。

32他们当在众人面前尊崇祂,

在众首领面前赞美祂。

33祂使江河变成荒漠,

水泉变成干地,

34叫沃土变成荒凉的盐碱地,

因为那里的居民邪恶。

35祂叫荒漠水塘遍布,

使旱地甘泉涌流。

36祂使饥饿的人住在那里,

建造可安居的城邑,

37耕种田地,栽植葡萄园,

收成丰硕。

38祂赐福给他们,

使他们人丁兴旺,

牲口有增无减。

39后来他们在压迫、患难和痛苦的煎熬下人口减少,

地位卑下。

40祂使贵族蒙羞受辱,

漂流在荒芜之地。

41但祂搭救贫苦的人脱离苦难,

使他们家族兴旺,多如羊群。

42正直人看见就欢喜,

邪恶人都哑口无言。

43有智慧的人都当留心这些事,

思想耶和华的慈爱。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 107:1-43

KITABU CHA TANO

(Zaburi 107–150)

Zaburi 107

Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake

1107:1 1Nya 16:8; 2Nya 5:13; 7:3; Mt 19:17Mshukuruni Bwana, kwa kuwa yeye ni mwema,

upendo wake wadumu milele.

2107:2 Za 106:10; Isa 35:9Waliokombolewa wa Bwana na waseme hivi,

wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,

3107:3 Za 106:47; Isa 49:12; Hes 1:9; Yer 29:14; Eze 39:27wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali,

kutoka mashariki na magharibi,

kutoka kaskazini na kusini.

4107:4 Yos 5:6; Za 107:36Baadhi yao walitangatanga jangwani,

hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.

5107:5 Kut 16:3; 15:22; 17:2Walikuwa na njaa na kiu,

nafsi zao zikadhoofika.

6107:6 Kut 14:10; Za 50:15; Isa 41:17; Hos 5:15; Yer 29:12-14Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

naye akawaokoa kutoka taabu yao.

7107:7 Ezr 8:21, 36; Isa 38:12Akawaongoza kwa njia iliyo sawa

hadi mji ambao wangeweza kuishi.

8107:8 Za 105:1; 6:4; 75:1Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,

9107:9 Za 22:26; 63:5; 23:1; 34:10; Mt 5:6; Yer 31:25; Lk 1:53; Isa 55:1; 58:11kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu,

na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.

10107:10 Za 107:14; 88:6; 143:3; 102:20; Isa 9:2; 42:7, 16; 49:9; 61:1; Mik 7:9; Ay 36:8Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu,

wafungwa wakiteseka katika minyororo,

11107:11 Za 5:10; Hes 14:11; 1Fal 22:5; 2Nya 36:16kwa sababu walikuwa wameasi

dhidi ya maneno ya Mungu

na kudharau shauri

la Aliye Juu Sana.

12107:12 Isa 63:5; Za 72:12; 2Fal 14:26Aliwatumikisha kwa kazi ngumu;

walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia.

13107:13 Za 106:8Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

naye akawaokoa kutoka taabu yao.

14107:14 Isa 9:2; 42:7; 59:9; 50:10; 60:2; 29:18; Ay 36:8; Lk 1:79; Za 86:13; 116:16; 146:7; Mdo 12:7Akawatoa katika giza na huzuni kuu

na akavunja minyororo yao.

15107:15 Za 107:8, 21, 31; 105:1; 6:4; 75:1Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,

16107:16 Isa 45:2kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba

na kukata mapingo ya chuma.

17107:17 Za 53:1; 25:7; Law 14:1; 26:16; Isa 65:6, 7; Yer 30:14, 15; Gal 6:7, 8; Mt 1:22; Mao 3:39Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao,

wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.

18107:18 Ay 3:24; 6:6; 17:16; 33:22Wakachukia kabisa vyakula vyote,

wakakaribia malango ya mauti.

19107:19 Za 107:13; 5:2; 34:4Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

naye akawaokoa kutoka taabu yao.

20107:20 Kum 32:2; Mt 8:8; 2Fal 20:4; Lk 7:7; Kut 15:26; Hes 21:8; Za 30:3; 16:10; 56:13; 147:15; Ay 33:28Akalituma neno lake na kuwaponya,

akawaokoa kutoka maangamizo yao.

21107:21 Za 107:15; 6:4; 75:1Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

22107:22 Law 7:12; Za 9:11; 73:28; 65:8; 50:14; 118:17; Ay 8:21; Ebr 13:15Na watoe dhabihu za kushukuru,

na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.

23107:23 Isa 42:10; Za 104:26Wengine walisafiri baharini kwa meli,

walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.

24107:24 Za 64:9; 111:2; 143:5Waliziona kazi za Bwana,

matendo yake ya ajabu kilindini.

25107:25 Za 105:31; 50:3; 93:3Kwa maana alisema na kuamsha tufani

iliyoinua mawimbi juu.

26107:26 Za 22:14; Isa 13:7; Nah 2:10; Lk 8:23; Yos 2:11Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini,

katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.

27107:27 Isa 19:14; 24:20; 28:7Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi,

ujanja wao ukafikia ukomo.

28107:28 Za 107:19; 4:1; Yon 1:6Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

naye akawatoa kwenye taabu yao.

29107:29 Lk 8:24; Za 93:3; 65:7; Mk 4:39-41; Yon 1:15; Isa 50:2; Mt 8:26Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,

mawimbi ya bahari yakatulia.

30107:30 Za 107:7Walifurahi ilipokuwa shwari,

naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.

31107:31 Za 107:15; 6:4; 75:1; 106:2Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

32107:32 Za 30:1; 34:3; 99:5; 1:5; 22:22; 26:12; 35:18Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu,

na wamsifu katika baraza la wazee.

33107:33 1Fal 17:1; Yoe 1:20; Isa 41:15; 42:15; 50:2; 34:9, 10; Eze 30:12; Nah 1:4; Za 74:15; 104:10Yeye aligeuza mito kuwa jangwa,

chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu,

34107:34 Mwa 13:10nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa,

kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo.

35107:35 2Fal 3:17; Za 105:41; 126:4; Isa 43:19; 51:3; 35:7; Ay 38:26Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji,

nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;

36107:36 Mdo 17:26aliwaleta wenye njaa wakaishi humo,

nao wakajenga mji wangeweza kuishi.

37107:37 2Fal 19:29; Isa 37:30Walilima mashamba na kupanda mizabibu,

nayo ikazaa matunda mengi,

38107:38 Mwa 12:2; 49:25; Kum 7:13Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana,

wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.

39107:39 2Fal 10:32; Eze 5:12; Za 44:9Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa

kwa kuonewa, maafa na huzuni.

40107:40 Ay 12:18, 21; Kum 32:10Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu,

aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia.

41107:41 1Sam 2:8; 2Sam 7:8; Za 113:7-9; Ay 21:11; 8:7Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao,

na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo.

42107:42 Ay 22:19; 5:16; Mit 10:11; Rum 3:19; Za 97:10-12Wanyofu wataona na kufurahi,

lakini waovu wote watafunga vinywa vyao.

43107:43 Yer 9:12; Hos 14:9; Za 103:11; Dan 12:10Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya,

na atafakari upendo mkuu wa Bwana.