诗篇 103 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 103:1-22

第 103 篇

上帝的慈爱

大卫的诗。

1我的心啊,要称颂耶和华,

我要全心全意地称颂祂的圣名。

2我的心啊,要称颂耶和华,

不要忘记祂的一切恩惠。

3祂赦免我一切的罪恶,

医治我一切的疾病。

4祂救赎我的生命脱离死亡,

以慈爱和怜悯环绕我。

5祂以美物满足我的愿望,

使我如鹰一般恢复青春。

6耶和华为一切受欺压的人伸张正义,主持公道。

7祂让摩西明白自己的旨意,

以色列人彰显自己的作为。

8耶和华有怜悯和恩典,

不轻易发怒,充满慈爱。

9祂不永久责备人,

也不永远怀怒。

10祂没有按我们的过犯对待我们,

也没有照我们的罪恶惩罚我们。

11因为天离地有多高,

祂对敬畏祂之人的爱也多大!

12东离西有多远,

祂叫我们的过犯离我们也多远!

13耶和华怜爱敬畏祂的人,

如同慈父怜爱自己的儿女。

14因为祂知道我们的本源,

顾念我们不过是尘土。

15世人的年日如同草芥,

如野地茂盛的花,

16一经风吹,便无影无踪,

永远消逝。

17耶和华永永远远爱敬畏祂的人,

以公义待他们的子子孙孙,

18就是那些守祂的约、

一心遵行祂命令的人。

19耶和华在天上设立了宝座,

祂的王权无所不及。

20听从耶和华的命令、遵行祂吩咐的大能天使啊,

你们要称颂祂!

21事奉耶和华、遵从祂旨意的天军啊,

你们要称颂祂!

22耶和华所造的万物啊,

要在祂掌管的各处称颂祂。

我的心啊,要称颂耶和华!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 103:1-22

Zaburi 103

Upendo Wa Mungu

Zaburi ya Daudi.

1103:1 Za 28:6; 104:1; 30:4Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.

Vyote vilivyomo ndani yangu

vilihimidi jina lake takatifu.

2103:2 Za 106:1; 117:1; Kum 6:12; Za 77:11Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana,

wala usisahau wema wake wote,

3103:3 Kut 34:7; 15:26; Kol 3:13; 1Pet 2:24; 1Yn 1:9akusamehe dhambi zako zote,

akuponya magonjwa yako yote,

4103:4 Za 34:22; 56:13; 8:5; 23:6; Isa 43:1aukomboa uhai wako na kaburi,

akuvika taji ya upendo na huruma,

5103:5 Ay 33:25; Za 90:14; 104:28; 119:25, 93; 2Kor 4:16; Kut 19:4atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema,

ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.

6103:6 Za 9:8; 74:21; 65:5; Isa 9:7; Lk 4:10Bwana hutenda haki,

naye huwapa hukumu ya haki wote wanaoonewa.

7103:7 Za 99:7; 147:19; 106:22; Kut 33:13Alijulisha Mose njia zake,

na wana wa Israeli matendo yake.

8103:8 Kut 22:27; 34:6; Za 86:15; Mik 7:18-19; Yak 5:11; Kum 5:10; Hes 14:18Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema;

si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.

9103:9 Yer 3:5, 12; Mik 7:18; Isa 57:16; Za 30:5; 79:5Yeye hatalaumu siku zote,

wala haweki hasira yake milele,

10103:10 Ezr 9:13; Rum 6:23yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu

wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.

11103:11 Efe 3:18; Za 13:5; 57:10; 100:5; 106:45; 117:2; Mao 3:22; 2Nya 6:31Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana,

ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;

12103:12 2Sam 12:13; Rum 4:7; Efe 1:7; 2:5; Isa 43:25kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,

ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.

13103:13 Mal 3:17; Kum 8:5; 1Yn 3:1; Isa 63:15, 16Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake,

ndivyo Bwana anavyowahurumia wale wanaomcha;

14103:14 Za 119:73; 139:13-15; 146:4; Isa 29:16; Mwa 2:7kwa kuwa anajua tulivyoumbwa,

anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.

15103:15 Za 37:2; 90:5; 102:11; Yak 1:10; Isa 40:6; Ay 14:2Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani,

anachanua kama ua la shambani;

16103:16 Isa 40:7; Hag 1:9; Ay 7:8upepo huvuma juu yake nalo hutoweka,

mahali pake hapalikumbuki tena.

17103:17 Mwa 48:11; Ezr 9:12; Kut 20:6Lakini kutoka milele hata milele

upendo wa Bwana uko kwa wale wamchao,

nayo haki yake kwa watoto wa watoto wao:

18103:18 Yn 14:15; Kum 7:9; 28:9; Za 119:52; Hes 15:40; Za 47:8; 80:1; 113:5; 22:28; 66:7; Dan 4:17kwa wale walishikao agano lake

na kukumbuka kuyatii mausia yake.

19Bwana ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni,

ufalme wake unatawala juu ya vyote.

20103:20 Neh 9:6; Lk 2:13; Ebr 1:14; Za 29:1; 28:6; 107:25; 135:7; 148:8; Mt 6:10Mhimidini Bwana, enyi malaika zake,

ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake,

ninyi mnaotii neno lake.

21103:21 1Fal 22:19; Neh 7:73; Dan 7:9; Mwa 32:2Mhimidini Bwana, ninyi jeshi lake lote la mbinguni,

ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.

22103:22 Za 104:1; 67:3; 19:1; 145:10; 150:1, 6Mhimidini Bwana, kazi zake zote

kila mahali katika milki yake.

Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.