诗篇 10 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 10:1-18

第 10 篇

求上帝惩治恶人

1耶和华啊,你为何远远站着?

为何在我遭难时隐藏起来?

2恶人狂妄地追逼穷苦人,

愿他们落入自己所设的圈套。

3恶人夸耀自己的贪欲,

贪婪的人憎恨、咒诅耶和华。

4他们狂傲自大,心中没有上帝,

从不寻求耶和华。

5他们凡事顺利,

对你的审判不屑一顾,

对所有的仇敌嗤之以鼻。

6他们自以为可以屹立不倒,

世世代代永不遭殃。

7他们满口咒诅、谎话和恐吓之言,

舌头沾满祸害和邪恶。

8他们埋伏在村庄,

暗中监视受害者,杀害无辜。

9他们像狮子埋伏在暗处,

猎取无助的人,

用网罗拖走他们。

10不幸的人被击垮,

倒在他们的暴力下。

11他们自言自语:“上帝忘记了,

祂掩面不理这些事!”

12耶和华啊,求你起来!

上帝啊,求你举手施罚,

不要忘记无助的人!

13恶人为何轻视上帝,

以为上帝不会追究呢?

14但你已看到世人的疾苦,

随时伸出援手。

困苦无助的人投靠你,

你是孤儿的帮助。

15求你打断恶人的臂膀,

彻底追究他们的罪恶。

16耶和华永永远远是君王,

列邦必从祂的土地上灭亡。

17耶和华啊,

你知道困苦人的愿望,

你必垂听他们的呼求,

安慰他们。

18你为孤儿和受欺压的人申冤,

使渺小的世人不能再恐吓他们。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 10:1-18

Zaburi 1010 Zaburi hii ikiunganishwa na ya 9 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Sala Kwa Ajili Ya Haki

110:1 Za 13:1; 22:1, 11; 35:22; 38:21; 71:12Kwa nini, Ee Bwana, unasimama mbali?

Kwa nini unajificha wakati wa shida?

210:2 Ay 20:19; Mit 5:22; 10:3; Za 49:6; 94:4; Yer 48:30; Ay 1:5Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini,

waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.

3Hujivunia tamaa za moyo wake;

humbariki mlafi na kumtukana Bwana.

410:4 Za 12:3-5; 36:1; 2Fal 18:35; Ay 21:15Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu,

katika mawazo yake yote

hakuna nafasi ya Mungu.

510:5 Za 18:27; 105:5; Mit 6:17; Isa 13:11; Yer 48:29Njia zake daima hufanikiwa;

hujivuna na amri zako ziko mbali naye,

huwacheka kwa dharau adui zake wote.

610:6 Ufu 18:7Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa,

daima nitakuwa na furaha,

kamwe sitakuwa na shida.”

710:7 Mhu 4:1; Rum 3:14; Isa 30:12; Ay 20:12; Za 73:8; 119:134Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho;

shida na ubaya viko chini ya ulimi wake.

810:8 Za 37:32; 59:3; 71:10; Mit 1:11; Yer 5:26; Mik 7:2; Hos 6:9Huvizia karibu na vijiji;

kutoka mafichoni huwanasa wasio na hatia,

akivizia wapitaji.

910:9 Ay 18:8Huvizia kama simba aliye mawindoni;

huvizia kumkamata mnyonge,

huwakamata wanyonge na kuwaburuza

katika wavu wake.

1010:10 Ay 9:17Mateka wake hupondwa, huzimia;

wanaanguka katika nguvu zake.

1110:11 Ay 22:13; 22:14; Za 42:9; 77:9Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau,

huficha uso wake na haoni kabisa.”

1210:12 Za 3:7; 9:12, 13; 17:7; 20:6; 106:26; Isa 26:11; Mik 5:9Inuka Bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu.

Usiwasahau wanyonge.

1310:13 Ay 31:14Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?

Kwa nini anajiambia mwenyewe,

“Hataniita nitoe hesabu?”

1410:14 Za 22:11; 37:5; Kum 33:29Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,

umekubali kuyapokea mkononi mwako.

Mhanga anajisalimisha kwako,

wewe ni msaada wa yatima.

1510:15 Ay 31:22Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya,

mwite atoe hesabu ya maovu yake

ambayo yasingejulikana.

1610:16 Kut 15:18; Kum 8:20Bwana ni Mfalme milele na milele,

mataifa wataangamia watoke nchini mwake.

1710:17 Za 9:12; Kut 22:23Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa,

wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,

1810:18 Kum 24:17; Za 146:9; 9:9ukiwatetea yatima na walioonewa,

ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.