第 10 篇
求上帝惩治恶人
1耶和华啊,你为何远远站着?
为何在我遭难时隐藏起来?
2恶人狂妄地追逼穷苦人,
愿他们落入自己所设的圈套。
3恶人夸耀自己的贪欲,
贪婪的人憎恨、咒诅耶和华。
4他们狂傲自大,心中没有上帝,
从不寻求耶和华。
5他们凡事顺利,
对你的审判不屑一顾,
对所有的仇敌嗤之以鼻。
6他们自以为可以屹立不倒,
世世代代永不遭殃。
7他们满口咒诅、谎话和恐吓之言,
舌头沾满祸害和邪恶。
8他们埋伏在村庄,
暗中监视受害者,杀害无辜。
9他们像狮子埋伏在暗处,
猎取无助的人,
用网罗拖走他们。
10不幸的人被击垮,
倒在他们的暴力下。
11他们自言自语:“上帝忘记了,
祂掩面不理这些事!”
12耶和华啊,求你起来!
上帝啊,求你举手施罚,
不要忘记无助的人!
13恶人为何轻视上帝,
以为上帝不会追究呢?
14但你已看到世人的疾苦,
随时伸出援手。
困苦无助的人投靠你,
你是孤儿的帮助。
15求你打断恶人的臂膀,
彻底追究他们的罪恶。
16耶和华永永远远是君王,
列邦必从祂的土地上灭亡。
17耶和华啊,
你知道困苦人的愿望,
你必垂听他们的呼求,
安慰他们。
18你为孤儿和受欺压的人申冤,
使渺小的世人不能再恐吓他们。
Zaburi 1010 Zaburi hii ikiunganishwa na ya 9 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
Sala Kwa Ajili Ya Haki
110:1 Za 13:1; 22:1, 11; 35:22; 38:21; 71:12Kwa nini, Ee Bwana, unasimama mbali?
Kwa nini unajificha wakati wa shida?
210:2 Ay 20:19; Mit 5:22; 10:3; Za 49:6; 94:4; Yer 48:30; Ay 1:5Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini,
waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.
3Hujivunia tamaa za moyo wake;
humbariki mlafi na kumtukana Bwana.
410:4 Za 12:3-5; 36:1; 2Fal 18:35; Ay 21:15Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu,
katika mawazo yake yote
hakuna nafasi ya Mungu.
510:5 Za 18:27; 105:5; Mit 6:17; Isa 13:11; Yer 48:29Njia zake daima hufanikiwa;
hujivuna na amri zako ziko mbali naye,
huwacheka kwa dharau adui zake wote.
610:6 Ufu 18:7Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa,
daima nitakuwa na furaha,
kamwe sitakuwa na shida.”
710:7 Mhu 4:1; Rum 3:14; Isa 30:12; Ay 20:12; Za 73:8; 119:134Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho;
shida na ubaya viko chini ya ulimi wake.
810:8 Za 37:32; 59:3; 71:10; Mit 1:11; Yer 5:26; Mik 7:2; Hos 6:9Huvizia karibu na vijiji;
kutoka mafichoni huwanasa wasio na hatia,
akivizia wapitaji.
910:9 Ay 18:8Huvizia kama simba aliye mawindoni;
huvizia kumkamata mnyonge,
huwakamata wanyonge na kuwaburuza
katika wavu wake.
1010:10 Ay 9:17Mateka wake hupondwa, huzimia;
wanaanguka katika nguvu zake.
1110:11 Ay 22:13; 22:14; Za 42:9; 77:9Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau,
huficha uso wake na haoni kabisa.”
1210:12 Za 3:7; 9:12, 13; 17:7; 20:6; 106:26; Isa 26:11; Mik 5:9Inuka Bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu.
Usiwasahau wanyonge.
1310:13 Ay 31:14Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?
Kwa nini anajiambia mwenyewe,
“Hataniita nitoe hesabu?”
1410:14 Za 22:11; 37:5; Kum 33:29Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,
umekubali kuyapokea mkononi mwako.
Mhanga anajisalimisha kwako,
wewe ni msaada wa yatima.
1510:15 Ay 31:22Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya,
mwite atoe hesabu ya maovu yake
ambayo yasingejulikana.
1610:16 Kut 15:18; Kum 8:20Bwana ni Mfalme milele na milele,
mataifa wataangamia watoke nchini mwake.
1710:17 Za 9:12; Kut 22:23Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa,
wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,
1810:18 Kum 24:17; Za 146:9; 9:9ukiwatetea yatima na walioonewa,
ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.