耶利米哀歌 3 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

耶利米哀歌 3:1-66

刑罚、悔改和盼望

1我在耶和华烈怒的杖下受尽痛苦。

2祂把我赶进黑暗,

使我不见光明,

3又屡屡攻击我,终日不断。

4祂使我皮肉枯槁,

祂折断我的骨头。

5祂使我四面受困,

尝尽痛苦艰辛。

6祂使我住在幽暗中,

像久已死去的人。

7祂围困我,使我无法逃脱,

祂给我戴上沉重的铜链。

8即使我哀哭呼求,

祂也掩耳不听。

9祂用凿好的石头阻挡我的去路,

使我的道路曲折难行。

10祂像埋伏的巨熊,

又像伺机突袭的猛狮,

11把我拖离大路,

将我撕成碎片,一片凄凉。

12祂弯弓搭箭,把我当箭靶,

13用箭袋中的箭射穿我的心脏。

14我成了万人的笑柄,

他们终日唱歌讽刺我。

15祂使我饱受苦楚,尝尽苦涩。

16祂用石头打断我的牙齿,

把我践踏在尘土中。

17我失去平安,

忘记了什么是快乐。

18我说:“我精疲力竭,

对耶和华失去盼望。”

19想起我的痛苦和漂泊流离,

就如苦艾和胆汁一样苦涩。

20那情景萦绕心头,

使我心情沉重。

21然而,我想起这事,

便有了盼望,

22就是耶和华的慈爱永不终止,

祂的怜悯永无穷尽。

23祂的慈爱和怜悯每天早晨都是新的,

祂的信实无比伟大!

24我心里知道,

耶和华是我的产业,

我要仰望祂。

25耶和华必赐福给那些等候和寻求祂的人,

26因此,默然等候耶和华的拯救是美好的。

27年轻时负轭受苦是有益的。

28受耶和华管教时,

要默然独坐。

29要谦卑,脸伏于地,

或许还有希望。

30要任人打脸,甘心忍受凌辱。

31因为主不会永远撇弃人。

32主尽管使人忧伤,

祂依然怜悯人,

因为祂有无限的慈爱。

33祂不愿使人忧伤、痛苦。

34将囚犯踩在脚下,

35在至高者面前冤枉他人,

36审理案件时颠倒是非,

都是主所不容许的。

37若非主许可,

谁的话可以兑现呢?

38祸福岂不都出自至高者的口吗?

39世人因自己的罪受罚,

又何必怨天尤人呢?

40我们要省察自己的行为,

重新归向耶和华。

41让我们举起双手,

诚心向天上的上帝祷告说:

42“我们犯罪、背叛,

你没有赦免我们。

43“你满怀愤怒地追赶我们,

毫不留情地杀戮我们。

44你以密云遮盖自己,

以致祷告达不到你那里。

45你使我们在列国中沦为废物、渣滓。

46“我们的仇敌都幸灾乐祸。

47我们充满恐惧,

面临陷阱、残害和毁灭。”

48因同胞被毁灭,我泪流成河。

49我的眼泪涌流不息,

50直到耶和华从天上垂顾。

51目睹城中妇女的遭遇,

我痛苦不已。

52敌人无故地追捕我,

如同捕猎飞鸟。

53他们把我推进坑里,

又用石头砸我。

54水已经漫过我的头,

我想我要灭亡了。

55耶和华啊,

我在深渊呼求你的名。

56你曾垂听我的呼求,

求你现在不要掩耳不听我的祈祷。

57我向你呼求的时候,

你曾走近我身旁,

安慰我说:“不用害怕!”

58主啊,你为我申了冤,

救赎了我的性命。

59耶和华啊,你已明察我的冤情,

求你为我主持公道。

60你看见了他们怎样仇恨我、

谋害我。

61你听见了他们怎样辱骂我、

谋害我。

62他们整天诽谤我,图谋害我。

63你看!他们或坐下或起来,

都唱歌讽刺我。

64耶和华啊,

求你按照他们的所作所为报应他们!

65求你使他们心里顽固,

好让你的咒诅落在他们身上!

66求你发怒追赶他们,

从世上铲除他们!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Maombolezo 3:1-66

3 Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22. 13:1 Ay 19:21; Za 88:7; Yer 15:17-18Mimi ndiye mtu aliyeona mateso

kwa fimbo ya ghadhabu yake.

23:2 Ay 19:8; Za 82:5; Yer 4:23Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee

gizani wala si katika nuru;

33:3 Isa 5:25; Za 38:2hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu

tena na tena, mchana kutwa.

43:4 Za 51:8; Isa 38:13; Yer 50:17; Ay 30:30; Mao 4:8Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa

na ameivunja mifupa yangu.

53:5 Yer 23:15Amenizingira na kunizunguka

kwa uchungu na taabu.

63:6 Isa 59:10; Za 143:3; 88:5-6Amenifanya niishi gizani

kama wale waliokufa.

73:7 Ay 3:23; Yer 40:4Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka,

amenifunga kwa minyororo mizito.

83:8 Kum 1:45; Ay 30:20; Za 22:2; 5:2Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada,

anakataa kupokea maombi yangu.

93:9 Ay 9:24; Hos 2:6; Isa 63:17Ameizuia njia yangu kwa mapande ya mawe,

amepotosha njia zangu.

103:10 Ay 10:16; Hos 13:8; Amo 5:18-19Kama dubu aviziaye,

kama simba mafichoni,

11ameniburuta kutoka njia,

akanirarua na kuniacha bila msaada.

123:12 Mao 2:4; Ay 16:12; Za 38:2; 34:2Amevuta upinde wake

na kunifanya mimi niwe lengo

kwa ajili ya mishale yake.

13Alinichoma moyo wangu kwa mishale

iliyotoka kwenye podo lake.

143:14 Mwa 38:23; Za 22:6-7; Ay 30:9; Neh 4:2-4; Mt 27:29-31; Yer 20:7Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote,

wananidhihaki kwa wimbo mchana kutwa.

153:15 Yer 9:15Amenijaza kwa majani machungu

na kunishibisha kwa nyongo.

163:16 Mit 20:17Amevunja meno yangu kwa changarawe,

amenikanyagia mavumbini.

17Amani yangu imeondolewa,

nimesahau kufanikiwa ni nini.

183:18 Ay 17:15; Za 31:22Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka

na yale yote niliyokuwa nimetarajia kutoka kwa Bwana.”

19Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu,

uchungu na nyongo.

203:20 Za 42:5; 43:5Ninayakumbuka vyema,

nayo nafsi yangu imezimia ndani yangu.

21Hata hivyo najikumbusha neno hili

na kwa hiyo ninalo tumaini.

223:22 Za 130:7; Mt 3:6; Neh 9:31; Ay 34:15; Za 130:1; Hos 11:9; Za 78:38; 57:10; Mal 3:6Kwa sababu ya upendo mkuu wa Bwana, hatuangamii,

kwa kuwa huruma zake hazikomi kamwe.

233:23 Kut 34:6; Isa 33:2; Ebr 10:23Ni mpya kila asubuhi,

uaminifu wako ni mkuu.

243:24 Za 16:5Nimeiambia nafsi yangu, “Bwana ni fungu langu,

kwa hiyo nitamngojea.”

253:25 Za 33:18; Isa 25:9; 30:18; Za 130:6Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,

kwa yule ambaye humtafuta;

263:26 Za 37:7ni vyema kungojea kwa utulivu

kwa ajili ya wokovu wa Bwana.

273:27 Za 90:12Ni vyema mtu kuchukua nira

bado angali kijana.

283:28 Yer 15:17Na akae peke yake awe kimya,

kwa maana Bwana ameiweka juu yake.

293:29 Yer 31:17; Ay 2:8; 42:6Na azike uso wake mavumbini

bado panawezekana kuwa na matumaini.

303:30 Ay 16:10; Isa 50:6; Mik 5:1; Mt 5:39Na atoe shavu lake kwa yule ampigaye,

na ajazwe na aibu.

313:31 Za 94:14; Isa 54:7Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali

na Bwana milele.

323:32 Za 106:43-45; Nah 1:12; Hos 11:8Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma,

kwa kuwa upendo wake usiokoma ni mkuu.

333:33 Ay 37:23; Ebr 12:10; Yer 31:20; Eze 18:23Kwa maana hapendi kuwaletea mateso

au huzuni watoto wa wanadamu.

34Kuwaponda chini ya nyayo

wafungwa wote katika nchi,

353:35 Mwa 14:18-22Kumnyima mtu haki zake

mbele za Aliye Juu Sana,

363:36 Za 140:12; Mit 17:15; Hab 1:13; Yer 22:3kumnyima mtu haki:

Je, Bwana asione mambo kama haya?

373:37 Mit 19:21; Za 33:9-11; Mit 21:30Nani awezaye kusema nalo likatendeka

kama Bwana hajaamuru?

383:38 Ay 2:10; Isa 45:7; Yer 32:42Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana

ndiko yatokako maafa na mambo mema?

393:39 Yer 30:15; Mik 7:9Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika

wakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake?

403:40 2Kor 13:5; Za 119:59; 139:23-24Tuzichunguze njia zetu na kuzijaribu,

na tumrudie Bwana Mungu.

413:41 Dan 9:5; Yer 14:20; 2Fal 24:4; Yer 5:7-9; Za 86:4Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu

kwa Mungu mbinguni, na tuseme:

423:42 Dan 9:5“Tumetenda dhambi na kuasi

nawe hujasamehe.

433:43 Mao 2:2, 17, 21; Za 35:6“Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia;

umetuchinja bila huruma.

443:44 Mao 2:1; Zek 7:13; Za 97:2; Isa 58:4Unajifunika mwenyewe kwa wingu,

ili pasiwe na ombi

litakaloweza kupenya.

453:45 1Kor 4:13Umetufanya takataka na uchafu

miongoni mwa mataifa.

463:46 Za 22:13; Mao 2:16“Adui zetu wote wamefumbua vinywa vyao

wazi dhidi yetu.

473:47 Yer 48:43; Isa 24:17-18; 51:19Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula,

uharibifu na maangamizi.”

483:48 Yer 9:1; Mao 2:18Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu,

kwa sababu watu wangu wameangamizwa.

49Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma,

bila kupata nafuu,

503:50 Za 14:2; 80:14; Isa 63:15hadi Bwana atazame chini

kutoka mbinguni na kuona.

51Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini

kwa sababu ya wanawake wote wa mji wangu.

523:52 Za 35:7; 69:4Wale waliokuwa adui zangu bila sababu

wameniwinda kama ndege.

533:53 Yer 38:6; 37:16; Dan 6:17Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo

na kunitupia mawe;

543:54 Za 69:2; Yon 2:3-5; Eze 37:11; Za 88:5maji yalifunika juu ya kichwa changu,

nami nikafikiri nilikuwa karibu

kukatiliwa mbali.

553:55 Za 130:1; 2Nya 33:12; Yon 2:2; Za 18:5, 6Nililiitia jina lako, Ee Bwana,

kutoka vina vya shimo.

563:56 Rum 8:26; Za 116:1-2; 6:8Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako

kilio changu nikuombapo msaada.”

573:57 Isa 41:10; Yak 4:8; Za 46:1; 69:18; Isa 58:9Ulikuja karibu nilipokuita,

nawe ukasema, “Usiogope.”

583:58 Yer 51:36; Za 34:22; Yer 50:34; 1Sam 25:39Ee Bwana, ulichukua shauri langu,

ukaukomboa uhai wangu.

593:59 Yer 18:19; Za 35:23Umeona, Ee Bwana, ubaya niliotendewa.

Tetea shauri langu!

603:60 Yer 11:20; 18:18Umeona kina cha kisasi chao,

mashauri yao yote mabaya dhidi yangu.

61Ee Bwana, umesikia matukano yao,

mashauri yao yote mabaya dhidi yangu:

623:62 Eze 36:3kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikia

dhidi yangu mchana kutwa.

633:63 Ay 30:9; Za 139:2Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama,

wananidhihaki katika nyimbo zao.

643:64 Za 28:4; Yer 51:6; 2Tim 4:14; Yer 11:20; Ufu 6:10Uwalipe kile wanachostahili, Ee Bwana,

kwa yale ambayo mikono yao imetenda.

653:65 Kut 14:8; Kum 2:30; Isa 6:10; Za 8:3Weka pazia juu ya mioyo yao,

laana yako na iwe juu yao!

66Wafuatilie katika hasira na uwaangamize

kutoka chini ya mbingu za Bwana.