约翰一书 4 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

约翰一书 4:1-21

灵的分辨

1亲爱的弟兄姊妹,不要什么灵都信,总要试验那些灵是否出于上帝,因为世上已经出现了许多假先知! 2任何灵若承认耶稣基督曾降世为人,就是从上帝来的,你们可以凭这一点认出上帝的灵。 3任何灵若不承认耶稣,就不是从上帝来的,而是敌基督者的灵。以前你们听说敌基督者要来,现在他已经在世上了。

4孩子们,你们属于上帝,你们已经胜过了那些假先知,因为在你们里面的圣灵比在世上运行的邪灵更有能力。 5他们属于世界,所以他们谈论的都是世俗的事,世人也听从他们。 6我们属于上帝,认识上帝的人听从我们,不属于上帝的人不听从我们。这样,我们就可以分辨真理的灵和错谬的灵。

上帝是爱

7亲爱的弟兄姊妹,我们应当彼此相爱,因为爱是从上帝来的。凡有爱心的人都是从上帝生的,并且认识上帝。 8没有爱心的人不认识上帝,因为上帝就是爱。 9上帝差遣祂独一的儿子到世上来,是为了叫我们靠着祂得到生命。这就显明了上帝对我们的爱。 10不是我们爱上帝,而是上帝爱我们,并且差遣祂儿子为我们的罪作了赎罪祭,这就是爱。

11亲爱的弟兄姊妹,上帝既然这样爱我们,我们也应该彼此相爱。 12从来没有人见过上帝,如果我们彼此相爱,上帝就住在我们里面,祂的爱就在我们里面得到成全。

13上帝将祂的灵赐给了我们,所以我们知道自己住在祂里面,祂也住在我们里面。 14我们看见过,现在做见证:父差遣了祂的儿子成为世人的救主。 15无论是谁,他若承认耶稣是上帝的儿子,上帝必住在他里面,他也住在上帝里面。 16我们已经认识并且相信了上帝对我们的爱。

上帝就是爱,住在爱中的,就是住在上帝里面,上帝也住在他里面。 17这样,爱在我们里面得到成全,使我们在审判的日子可以坦然无惧,因为我们在这世上以基督为榜样。 18爱里没有恐惧,纯全的爱能驱除恐惧,因为恐惧意味着怕受惩罚。人若心里恐惧,就表示他尚未明白那纯全的爱。

19我们爱,因为上帝先爱了我们。 20若有人说“我爱上帝”,却恨自己的弟兄姊妹,这人就是说谎话,因为人若不爱看得见的弟兄姊妹,又怎能爱看不见的上帝呢? 21爱上帝的人也应该爱弟兄姊妹,这是上帝给我们的命令。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Yohana 4:1-21

Zijaribuni Hizo Roho

14:1 Mt 7:15; 1Kor 10:14; Yer 29:9; 1Kor 12:10; 2The 2:2; 1Yn 2:18Wapendwa, msiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho mwone kama zimetoka kwa Mungu, kwa sababu manabii wengi wa uongo wametokea ulimwenguni. 24:2 Yn 1:4; 1Yn 2:23; 1Kor 12:3Hivi ndivyo mnavyoweza kutambua Roho wa Mungu: Kila roho inayokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatoka kwa Mungu. 34:3 1Yn 2:22; 2Yn 7; 1Yn 2:18Lakini kila roho ambayo haimkubali Yesu haitoki kwa Mungu. Hii ndiyo roho ya mpinga Kristo, ambayo mmesikia kwamba inakuja na sasa tayari iko ulimwenguni.

44:4 Rum 8:31; 2Fal 6:16Watoto wapendwa, ninyi mmetokana na Mungu, nanyi mmewashinda kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika ulimwengu. 54:5 Yn 17:14, 16Wao wanatokana na ulimwengu na kwa hiyo hunena yaliyo ya ulimwengu, hivyo ulimwengu huwasikiliza. 64:6 Yn 8:47; 14:17Sisi twatokana na Mungu na yeyote anayemjua Mungu hutusikiliza, lakini asiyetokana na Mungu hatusikilizi. Hivi ndivyo tunavyoweza kutambua Roho wa Kweli na roho ya upotovu.

Mungu Ni Pendo

74:7 1Yn 3:11; 2:4Wapendwa, tupendane, kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu. Kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu. 84:8 1Yn 4:7, 16; 2:4; 3:6Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni pendo. 94:9 Yn 3:16; 17; 1Yn 5:11Hivi ndivyo Mungu alivyoonyesha pendo lake kwetu: Mungu alimtuma Mwanawe wa pekee ulimwenguni, ili tupate uzima kupitia kwake. 104:10 Rum 5:8, 10; 1Yn 2:2Hili ndilo pendo: si kwamba tulimpenda Mungu, bali yeye alitupenda, akamtuma Mwanawe, ili yeye awe dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu. 114:11 Yak 3:16; 1Yn 2:25; Yn 1:4; 1Yn 4:9Marafiki wapendwa, kama Mungu alivyotupenda sisi, imetupasa na sisi kupendana. 124:12 Yn 1:18; 1Tim 6:16Hakuna mtu yeyote aliyemwona Mungu wakati wowote. Lakini tukipendana, Mungu anakaa ndani yetu, na pendo lake limekamilika ndani yetu.

134:13 1Yn 3:24; 2:3Tunajua kwamba twakaa ndani yake na yeye ndani yetu, kwa sababu ametupa sisi sehemu ya Roho wake. 144:14 Yn 15:27; Lk 2:10Nasi tumeona na kushuhudia kwamba Baba amemtuma Mwanawe ili awe Mwokozi wa ulimwengu. 154:15 1Yn 5:5; Rum 10:9Kila akiriye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, basi Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya Mungu. 164:16 1Yn 4:8, 12, 13; 3:24Hivyo nasi twajua na kulitumainia pendo la Mungu alilo nalo kwa ajili yetu.

Mungu ni Upendo. Kila akaaye katika upendo hukaa ndani ya Mungu na Mungu hukaa ndani yake. 174:17 1Yn 4:12; 2:5; Efe 3:12; Mt 10:15Kwa njia hii, pendo hukamilishwa miongoni mwetu ili tupate kuwa na ujasiri katika siku ya hukumu, kwa sababu kama alivyo ndivyo tulivyo sisi katika ulimwengu huu. 184:18 Rum 8:15; 1Yn 4:12Katika pendo hakuna hofu. Lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu, kwa sababu hofu inahusika na adhabu. Kila mwenye hofu hakukamilika katika pendo.

194:19 1Yn 4:10Twampenda yeye kwa sababu yeye alitupenda kwanza. 204:20 1Yn 2:9; 3:17; Yn 1:18Ikiwa mtu atasema, “Nampenda Mungu,” lakini anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo. Kwa maana kila mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, atampendaje Mungu asiyemuona? 21Naye ametupa amri hii: Yeyote anayempenda Mungu lazima pia ampende ndugu yake.