约伯记 6 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

约伯记 6:1-30

约伯自述无辜

1约伯回答说:

2“要是能称量我的苦难,

把我的灾殃放在秤上,

3那将比海沙还重;

所以我言语鲁莽。

4因为全能者的箭射中我,

箭毒侵蚀我的灵,

祂使恐惧列队袭来。

5野驴有草岂会叫唤?

牛有饲料岂会哞叫?

6淡食无盐岂可下咽?

蛋白有什么滋味呢?

7我碰都不想碰,

它们令我恶心。

8唯愿我的祈求蒙应允,

愿上帝成全我的冀望,

9愿祂压碎我,

伸手毁灭我。

10这样,我还能感到欣慰,

在残酷的痛苦中雀跃,

因我没有违背圣者之言。

11我有何力量可以支撑下去?

有何前景让我忍耐下去?

12我的力量岂能坚如石?

我岂是铜造之躯?

13我毫无自救之力,

已到穷途末路。

14“即使绝望者抛弃对上帝的敬畏,

也应该得到朋友的恩待。

15我的弟兄难以信赖,如同季节河,

又像变化无常的河道——

16结冰后颜色发黑,

融雪后水流涨溢;

17水流在干季时消失,

河床在烈日下干涸。

18商队偏离原路来找水喝,

结果在荒漠中死去。

19提玛的商队来找水喝,

示巴的旅客指望解渴,

20结果希望化为泡影,

到了那里大失所望。

21同样,你们帮不了我,

你们看见灾祸便害怕。

22我何尝对你们说过,

‘请你们供应我,

把你们的财产给我一份,

23从仇敌手中拯救我,

从残暴之徒手中救赎我’?

24“请多赐教,我会闭口不言;

请指出我错在何处。

25忠言何等逆耳!

但你们的指责有何根据?

26你们既视绝望者的话如风,

还要来纠正吗?

27你们甚至抽签得孤儿,

把朋友当货物卖掉。

28恳请你们看着我,

我在你们面前撒过谎吗?

29请以仁慈为怀,公正一点;

请以仁慈为怀,因我诚实无过。

30我岂会说诡诈之言?

我岂会是非不辨?

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 6:1-30

Hotuba Ya Pili Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Malalamiko Yangu Ni Ya Haki

1Kisha Ayubu akajibu:

26:2 Ay 31:6; Mit 11:1; Dan 5:27“Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa,

nayo taabu yangu yote ingewekwa kwenye mizani!

36:3 Mit 27:3; Ay 21:4; 16:6; 2Fal 4:29; Ay 6:11, 26; 7:11; 16:6Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote,

kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.

46:4 Kum 32:23; Za 38:2; 88:15-18; Mao 3:12; Ay 16:12-14; Za 7:13; 18:14; 21:12; Mwa 17:1; Ay 7:20; 6:12, 13; Kum 32:32Mishale ya Mwenyezi iko ndani yangu,

roho yangu inakunywa sumu yake;

vitisho vya Mungu vimejipanga dhidi yangu.

56:5 Mwa 16:12; Ay 30:7; 30:24Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani,

au ngʼombe dume hulia akiwa na chakula?

66:6 Ay 33:20; Za 107:18Je, chakula kisicho na ladha huliwa bila chumvi,

au upo utamu katika ute mweupe wa yai?

76:7 Za 31:22Ninakataa kuvigusa;

vyakula vya aina hii hunichukiza.

8“Laiti ningepata haja yangu,

kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,

96:9 1Fal 19:4; Za 31:22kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda,

kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!

106:10 Mk 8:38; Za 119:102; Law 19:2; 2Fal 19:22; Ay 2:11; 15:11; Za 94:19; 38:17; Yer 4:19; 45:3; Ay 22:22; 23:12Ndipo bado ningekuwa na hii faraja,

furaha yangu katika maumivu makali:

kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu.

116:11 Ay 6:3“Ninazo nguvu gani, hata niendelee kutumaini?

Matazamio yangu ya mbele ni nini, hata niendelee kuwa mvumilivu?

126:12 Ay 26:2Je, mimi nina nguvu za jiwe?

Je, mwili wangu ni shaba?

136:13 Ay 26:2Je, ninao uwezo wowote wa kujisaidia mimi mwenyewe,

wakati ambapo mafanikio yamefukuziwa mbali nami?

146:14 Ay 4:5; 15:4; 1Sam 20:42; Za 38:11; 69:20; 1Yn 3:17; Mwa 17:1“Mtu anayekata tamaa angetazamia moyo wa kujitoa wa rafiki zake,

hata kama akiacha uchaji wa Mwenyezi.

156:15 Ay 13:4; 16:2; 21:34; Za 22:1; 38:11; Yer 15:18Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa,

ni kama vijito vya msimu,

ni kama vijito ambavyo hufurika

166:16 Za 147:18wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo,

ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,

176:17 Ay 24:19lakini hukauka majira ya ukame,

na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.

18Misafara hugeuka kutoka njia zake;

hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.

196:19 Mwa 25:15; Isa 21:14; Mwa 10:7, 28Misafara ya Tema inatafuta maji,

wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri

hutazama kwa matarajio.

206:20 Yer 14:3; Yoe 1:11Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini;

wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.

216:21 Za 38:11Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote;

mnaona jambo la kutisha, nanyi mnaogopa.

226:22 Mdo 20:33; Hes 35:31; Ay 33:24; Za 49:7; Yer 15:10Je, nimewahi kusema, ‘Toeni kitu kwa ajili yangu,

au mnilipie fidia kutoka mali zenu,

236:23 2Fal 19:19au niokoeni mikononi mwa adui,

au nikomboeni kutoka makucha ya wasio na huruma’?

246:24 Mit 17:27; Mhu 5:2; Ay 2:10; 33:33; Za 39:1; 141:3; 39:1; Mit 10:19“Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya;

nionyesheni nilikokosea.

256:25 Mhu 12:11; Isa 22:23Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli!

Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?

266:26 Mwa 41:6; Yer 5:13; Ay 6:3; 8:2; 15:3; 16:3Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema,

na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?

276:27 Nah 3:10; 2Pet 2:3; Eze 24:6; Yoe 3:3; Oba 1:11; Kut 22:22, 24; Isa 10:2; Ay 31:17Mngeweza hata kupiga kura kwa ajili ya yatima,

na kubadilishana rafiki yenu na mali.

286:28 Ay 9:15; 24:25; 27:4; 34:10; 33:1, 3; 34:6; 36:3, 4“Lakini sasa kuweni na huruma mkaniangalie mimi.

Je, ningeweza kusema uongo mbele zenu?

296:29 Za 66:10; Zek 13:9; Ay 19:6; 27:2; 40:8; Isa 40:27; Ay 2:3; 9:21; 10:7Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu;

angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.6:29 Au: haki yangu bado inasimama.

306:30 Ay 27:4; 33:8-12; Yak 3:13; Ay 12:11Je, pana uovu wowote midomoni mwangu?

Je, kinywa changu hakiwezi kupambanua hila?