约伯记 32 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

约伯记 32:1-22

以利户的回答

1三人见约伯自以为义,便不再回答他。 2那时,族的布西巴拉迦的儿子以利户约伯很恼火,因为约伯自以为义,不承认上帝的公义。 3他对约伯的三个朋友也很恼火,因为他们说约伯有罪,却无法回答约伯的质问32:3 因为他们说约伯有罪,却无法回答约伯的质问”有古卷作“因为他们无法回答约伯的质问,因而置上帝于不公”。4由于不及他们年长,以利户便等他们说完才向约伯发言。 5他见三人无法回答约伯,很恼火, 6就说:

“我年纪轻,你们是长辈,

所以我畏惧,不敢陈明观点。

7我想,前辈当先发言,

长者当传授智慧。

8但只有人里面的灵——

全能者的气息赐人悟性。

9长者不一定有智慧,

年老不一定明白是非。

10因此,请听我说,

我也要陈明观点。

11看啊,我一直等候你们发言,

倾听你们的理论,

等你们斟词酌句。

12我仔细聆听,

发现你们无人能驳倒约伯

无人能答复他。

13你们不要说,‘我们找到了智慧,

使他折服的是上帝而非人。’

14约伯没有与我辩论,

我也不会用你们的理论答复他。

15“他们惊慌失措,无言以对,

再也说不出话来。

16难道他们不说话,站在那里无言以对,

我就要等下去吗?

17我也要作出答复,

陈明我的观点。

18因为我心里积满了话,

我里面的灵催促我说出来。

19我里面像盛满了酒,却没有出口,

又如将要破裂的新酒袋。

20我要一吐为快,

我要开口答复。

21我不看人的情面,

也不奉承人。

22我不善奉承,

否则,造物主会很快把我除掉。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 32:1-22

Sehemu Ya Tatu: Mazungumzo Ya Elihu

(Ayubu 32–37)

Elihu Awakemea Rafiki Za Ayubu

132:1 Ay 2:3; 10:7Basi watu hawa watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa kuwa alikuwa mwadilifu machoni pake mwenyewe. 232:2 Mwa 22:21; Ay 13:19; 35:2Lakini Elihu mwana wa Barakeli, wa kabila la Buzi wa jamaa ya Ramu, akamkasirikia sana Ayubu, kwa sababu ya kujihesabia haki mwenyewe badala ya Mungu. 332:3 Ay 42:7; 32:12-13; 15:13Pia aliwakasirikia hao rafiki watatu wa Ayubu, kwa sababu hawakuweza kupata njia ya kuthibitisha ya kuwa hayo maneno ya Ayubu hayakuwa ya kweli, nao bado walikuwa wamemlaumu. 432:4 Law 19:32Basi Elihu alikuwa amesubiri kwanza waongee na Ayubu kwa sababu walikuwa na umri mkubwa kumliko yeye. 5Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.

632:6 Ay 15:10Basi Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi akasema:

“Mimi ni mdogo kwa umri,

nanyi ni wazee;

ndiyo sababu niliogopa,

sikuthubutu kuwaambia kile ninachojua.

732:7 1Nya 29:15; 2Nya 10:6Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme,

nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’

832:8 Ay 27:3; 33:4; Mit 2:6; 1Fal 3:9Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu,

pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo yeye ufahamu.

932:9 1Kor 1:21-26Sio wazee peke yao walio na hekima,

sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.

1032:10 Ay 33:1; 31:33; Za 34:11; Ay 5:27“Kwa hiyo nasema: Nisikilizeni mimi;

mimi nami nitawaambia lile ninalojua.

11Nilingojea mlipokuwa mnaongea,

nilizisikiliza hoja zenu;

mlipokuwa mkitafuta maneno ya kusema,

1232:12 Ay 32:3niliwasikiliza kwa makini.

Lakini hakuna hata mmoja wenu

aliyethibitisha kwamba Ayubu amekosa;

hakuna hata mmoja wenu

aliyeweza kujibu hoja zake.

1332:13 Mhu 9:11; Yer 9:23Msiseme, ‘Tumepata hekima;

Mungu na amthibitishe kuwa mwongo,

wala si mwanadamu.’

1432:14 Ay 23:4Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu,

nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.

1532:15 Ay 32:1“Wametiwa hofu na hawana la zaidi la kusema;

maneno yamewaishia.

16Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya,

kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?

1732:17 Ay 5:27; 33:3; 36:4Mimi nami nitakuwa na la kusema;

mimi nami nitasema lile nilijualo.

1832:18 Mdo 4:20; 1Kor 9:16; 2Kor 5:14Kwa kuwa nimejawa na maneno,

nayo Roho iliyomo ndani yangu yanisukuma;

1932:19 Yer 20:9; Amo 3:8; Mt 9:17ndani yangu niko kama chupa iliyojazwa divai,

kama kiriba kipya cha divai kilicho tayari kupasuka.

2032:20 Ay 4:2; Yer 6:11Ni lazima niseme ili niweze kutulia;

ni lazima nifumbue midomo yangu nipate kujibu.

2132:21 Law 19:15; 2Nya 19:7; Mt 22:16Sitampendelea mtu yeyote,

wala sitajipendekeza kwa mtu yeyote;

2232:22 Ay 4:17; 9:9; Za 12:2-4kwa kuwa kama ningekuwa stadi wa kujipendekeza,

Muumba wangu angeniondolea mbali kwa upesi.