1约伯接着说:
2“我凭不给我公道的永恒上帝,
凭使我灵魂陷入痛苦的全能者起誓,
3只要我一息尚存,
鼻中还有上帝之气,
4我的嘴唇决不说恶语,
舌头决不讲谎话。
5我决不承认你们有理,
我至死坚信自己无辜。
6我坚守自己的公义,决不放弃,
我有生之年都问心无愧。
7“愿我仇敌的下场和恶人一样,
愿我对头的结局和罪人相同。
8因为不敬虔的人将被铲除,上帝将夺去他的性命。
那时,他还有何指望?
9患难临到他时,
上帝岂会垂听他的呼求?
10他岂会以全能者为乐,
时时求告上帝?
11“我要教导你们有关上帝的能力,
我不会隐瞒全能者的作为。
12其实你们也曾亲眼目睹,
为何还讲这些虚妄之言?
13“以下是上帝给恶人定的结局,
全能者赐给残暴之徒的归宿。
14他的儿女再多也难逃杀戮,
他的子孙永远吃不饱。
15他幸存的后人被瘟疫吞噬,
生还的寡妇也不哀哭。
16尽管他堆积的银子多如尘沙,
储存的衣服高若土堆,
17但义人将穿他储存的衣服,
清白的人将分他堆积的银子。
18他建的房子像蛾茧,
像守望者搭的草棚。
19他睡前还是富翁,
醒来后财富已空。
20恐惧如洪水般淹没他,
暴风在夜间把他卷去。
21东风把他刮走,
吹得无影无踪。
22狂风27:22 “狂风”希伯来文指代不清,也可译作“祂”,指上帝,23节同。毫不留情地击打他,
他拼命地逃离风的威力。
23狂风向他拍掌,
呼啸着吹走他。
Hotuba Ya Mwisho Ya Ayubu
Ayubu Anadumisha Uadilifu Wake
127:1 Ay 29:1Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
227:2 Ay 9:18; 34:5; Isa 45:9; 1Sam 1:10“Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu,
Mwenyezi ambaye amenifanya
nionje uchungu wa nafsi,
327:3 Mwa 2:7; Za 144:4kwa muda wote nitakaokuwa na uhai ndani yangu,
nayo pumzi ya Mungu ikiwa puani mwangu,
427:4 Ay 6:28; 12:16; 16:17midomo yangu haitanena uovu,
wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.
527:5 Ay 2:9; 10:7; 32:2Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi;
hadi nife, sitakana uadilifu wangu.
627:6 Ay 29:14; Za 119:121; Isa 59:17; 61:10; Rum 2:15Nitadumisha haki yangu wala sitaiacha;
dhamiri yangu haitanisuta muda wote ninaoishi.
7“Watesi wangu wawe kama waovu,
nao adui zangu wawe kama wasio haki!
827:8 Ay 8:13; Hes 16:22; Lk 12:20; Mt 16:26Kwa maana mtu asiyemcha Mungu
analo tegemeo gani anapokatiliwa mbali,
Mungu anapouondoa uhai wake?
927:9 Zek 7:13; Mik 3:4; 1Sam 8:18Je, Mungu husikiliza kilio chake,
shida zimjiapo?
1027:10 Ay 22:26Je, anaweza kumfurahia Mwenyezi?
Je, atamwita Mungu nyakati zote?
1127:11 Ay 36:23; 27:13“Nitawafundisha juu ya uweza wa Mungu;
njia za Mwenyezi sitazificha.
12Ninyi nyote mmeona hili wenyewe.
Ni ya nini basi mazungumzo haya yasiyo na maana?
1327:13 Ay 15:20; 16:19“Hili ndilo fungu ambalo Mungu humpa mtu mwovu,
urithi ule mtu mdhalimu anapokea kutoka kwa Mwenyezi:
1427:14 Mao 2:22; Es 9:10; Hos 9:13; Ay 20:10; 2Fal 10:6-10Hata kama watoto wake watakuwa wengi kiasi gani,
fungu lao ni kuuawa kwa upanga;
wazao wake hawatakuwa kamwe
na chakula cha kuwatosha.
1527:15 Za 78:64Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao,
nao wajane wao hawatawaombolezea.
1627:16 Zek 9:3Ajapokusanya fedha nyingi kama mavumbi,
na mavazi kama malundo ya udongo wa mfinyanzi,
1727:17 Mit 13:22; Mhu 2:26yale yote mtu mwovu aliyojiwekea akiba, mwenye haki atayavaa,
naye asiye na hatia ataigawanya fedha yake.
1827:18 Ay 8:14; Isa 1:8; 24:20; Mao 2:6Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui,
kama kibanda alichotengeneza mlinzi.
1927:19 Ay 3:13; Hes 20:26Yeye hulala akiwa tajiri, lakini ndiyo mara ya mwisho;
afunguapo macho yake, yote yametoweka.
2027:20 Ay 15:21; 20:8Vitisho humjia kama mafuriko;
dhoruba humkumba ghafula usiku.
2127:21 Ay 38:24; Yer 13:24; Ay 30:22; 7:10; Yer 22:22Upepo mkali wa mashariki humchukua, naye hutoweka;
humzoa kutoka mahali pake.
2227:22 Yer 13:14; Eze 5:11; Ay 11:20Humvurumisha bila huruma,
huku akikimbia kasi kukwepa nguvu zake.
2327:23 Ay 7:10; 18:18Upepo humpigia makofi kwa dharau,
na kumfukuza atoke mahali pake.