约伯的回答
1约伯回答说:
2“你真是帮了软弱者的大忙!
救了臂膀无力的人!
3无智慧的人真多亏你的指教!
承蒙你的真知灼见!
4谁帮你想出这些点子?
谁的灵在借着你发言?
5“阴魂和水族在水底战抖,
6阴间在祂面前裸露,
冥府毫无遮掩。
7祂将北极铺在空中,
将地悬在虚无中;
8祂将水卷在密云中,
云负重却不裂开。
9祂遮盖自己的宝座26:9 “宝座”或译“满月”。,
把云彩铺在上面。
10祂在海面上画出地平线,
作为光明与黑暗的交界。
11祂的斥责使天柱震动惊骇,
12祂的能力使大海平静,
祂运用智慧击碎海怪。
13祂吹散天上的阴霾,
挥手刺穿逃跑的蛇。
14看啊,这不过是祂作为的一斑,
是我们听到的少许回音!
谁能领悟祂的雷霆万钧?”
Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu
Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki
1Kisha Ayubu akajibu:
226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!
Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?
Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?
Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,
wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;
Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.
726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;
naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,
hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,
akitandaza mawingu juu yake.
1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,
ameweka mpaka wa nuru na giza.
1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,
zinatishika anapozikemea.
1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;
kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.
1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;
kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;
tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!
Ni nani basi awezaye kuelewa
ngurumo za nguvu zake?”