约伯记 19 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

约伯记 19:1-29

约伯的回答

1约伯回答说:

2“你们要折磨我多久?

用言语压碎我到何时?

3你们侮辱我已有十次之多,

苦待我也不以为耻。

4即使我真有过错,

也由我独自承担。

5你们若真要妄自尊大,

利用我的耻辱来指责我,

6也该知道是上帝冤枉了我,

用网罗套住我。

7我喊冤,却无人回应;

我呼救,却不见公道。

8上帝筑起墙垒,阻断我的路,

祂使黑暗笼罩我的路途。

9祂剥去我的荣耀,

摘走我头上的冠冕。

10祂从四面攻击我,直到我消逝;

祂把我的希望像树一样连根拔除。

11祂向我发烈怒,

视我为仇敌。

12祂的大军蜂拥而来,

在我帐篷四周扎营,

将我团团围住。

13“祂使我的弟兄远离我,

我的熟人完全背弃我。

14我的亲属离开我,

我的挚友忘记我。

15我的客人和婢女都视我如陌路,

把我当作外族人。

16我呼唤仆人,他却不回应;

我哀求他,他也不理睬。

17我妻子厌恶我的气息,

我的手足都嫌弃我。

18连小孩子都鄙视我;

我一出现,他们就嘲笑我。

19我的密友都憎恶我,

我爱的人也反对我。

20我瘦得只剩下皮包骨,

我离死亡仅一线之隔19:20 我离死亡仅一线之隔”希伯来文是“我只剩牙皮逃脱”。

21“我的朋友啊,可怜我吧!可怜我吧!

因为上帝的手击打我。

22你们为何像上帝一样逼我?

为何吃了我的肉还不满足?

23但愿把我的话写下来,

记录在书卷上,

24用铁笔和铅镌刻在磐石上,

直存到永远。

25我知道我的救赎主活着,

最后祂必站在地上。

26我的皮肉虽然要朽烂,

但我必活着19:26 活着”或译“在肉体之外”。见上帝。

27我要亲自见祂,

我要亲眼见祂。

我心中充满渴望!

28你们说祸根在我身上,

还想继续迫害我。

29你们自己应当畏惧刀剑,

因为烈怒会带来刀剑的惩罚,

那时你们将知道有审判。”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 19:1-29

Hotuba Ya Sita Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Najua Mkombozi Wangu Yu Hai

1Ndipo Ayubu akajibu:

219:2 1Sam 1:6; Za 6:2, 3; Ay 6:9; 13:25“Je, mtaendelea kunitesa mpaka lini,

na kuniponda kwa maneno yenu?

319:3 Mwa 31:7; Ay 20:3Mara kumi hizi mmenishutumu;

bila aibu mnanishambulia.

419:4 Ay 6:24; Za 19:12; Eze 18:4Kama ni kweli nimepotoka,

kosa langu ninabaki kuhusika nalo mwenyewe.

519:5 Za 38:16; 55:12; Mik 7:8Kama kweli mngejitukuza wenyewe juu yangu,

na kutumia unyonge wangu dhidi yangu,

619:6 Ay 6:29; 18:8; 10:3basi jueni kuwa Mungu amenitendea yaliyo mabaya,

naye amekokota wavu wake kunizunguka.

719:7 Ay 9:24; 30:20; Za 22:2; Hab 1:2-4“Ingawa ninalia, ‘Nimetendewa mabaya!’ sipati jibu;

ingawa ninaomba msaada, hakuna haki.

819:8 Mao 3:7; Hos 2:6; Mhu 6:4; Yer 14:19Yeye ameizuia njia yangu hivyo siwezi kupita;

ameyafunika mapito yangu na giza.

919:9 Ay 12:17; Za 89:39-44; Mao 5:16Amenivua heshima yangu,

na kuniondolea taji kichwani pangu.

1019:10 Ay 12:14; 7:6; 14:7Amenibomoa kila upande hadi nimeisha;

amelingʼoa tegemeo langu kama mti.

1119:11 Ay 16:9; 13:14Hasira yake imewaka juu yangu;

amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.

1219:12 Ay 16:13; 16:10; 3:23Majeshi yake yananisogelea kwa nguvu;

yamenizingira,

yamepiga kambi kulizunguka hema langu.

1319:13 Ay 16:10-13; 30:12; Mt 26:56; 2Tim 4:16“Amewatenga ndugu zangu mbali nami;

wale tunaojuana nao wamefarakana nami kabisa.

1419:14 Ay 19:19; 2Sam 15:12; Ay 12:4; 16:20; Za 88:18; Yer 20:10; 38:22Watu wa jamaa yangu wamekwenda mbali;

rafiki zangu wamenisahau.

1519:15 Mwa 14:14; Mhu 2:7Wageni wangu na watumishi wangu wa kike wananiona kama mgeni;

wananitazama kama mgeni.

16Namwita mtumishi wangu, wala haitiki,

ingawa namwomba kwa kinywa changu mwenyewe.

1719:17 Za 38:5Pumzi ya kinywa changu ni kinyaa kwa mke wangu;

nimekuwa chukizo mno kwa ndugu zangu mwenyewe.

1819:18 2Fal 2:23; Ay 13:25Hata watoto wadogo hunidhihaki;

ninapojitokeza, hunifanyia mzaha.

1919:19 Za 38:11; 55:12-13; Ay 3:10Rafiki zangu wa moyoni wote wananichukia kabisa;

wale niwapendao wamekuwa kinyume nami.

2019:20 Ay 2:5Mimi nimebaki mifupa na ngozi tu;

nimeponea nikiwa karibu kufa.

2119:21 Ay 6:14; Amu 2:15; Ay 4:5; 10:3; Mao 3:1“Nihurumieni, rafiki zangu, kuweni na huruma,

kwa kuwa mkono wa Mungu umenipiga.

2219:22 Ay 13:25; 16:11; Mit 30:14; Isa 53:4Kwa nini mnanifuatia kama Mungu afanyavyo?

Hamtosheki kamwe na mwili wangu?

2319:23 Kut 17:16; Isa 30:8“Laiti maneno yangu yangewekwa kwenye kumbukumbu,

laiti kwamba yangeandikwa kwenye kitabu,

2419:24 Yer 17:1; Ay 16:18kwamba yangechorwa kwenye risasi kwa kifaa cha chuma,

au kuyachonga juu ya mwamba milele!

2519:25 Law 25:25; Mit 23:11; 1Sam 14:39; Ay 16:19Ninajua kwamba Mkombozi19:25 Au: Mtetezi. wangu yu hai,

naye kwamba mwishoni atasimama juu ya nchi.

2619:26 Hes 12:8; 1Yn 3:2Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa,

bado nikiwa na mwili huu nitamwona Mungu;

2719:27 Lk 2:30; Za 42:1; 63:1; 54:2mimi nitamwona kwa macho yangu mwenyewe:

mimi, wala si mwingine.

Tazama jinsi moyo wangu unavyomtamani sana!

28“Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda,

maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’

2919:29 Ay 15:22; Za 58:11; Mhu 12:14ninyi wenyewe uogopeni upanga,

kwa kuwa ghadhabu italeta adhabu kwa upanga,

nanyi ndipo mtakapojua kwamba kuna hukumu.”