约伯的回答
1约伯回答说:
2“你们要折磨我多久?
用言语压碎我到何时?
3你们侮辱我已有十次之多,
苦待我也不以为耻。
4即使我真有过错,
也由我独自承担。
5你们若真要妄自尊大,
利用我的耻辱来指责我,
6也该知道是上帝冤枉了我,
用网罗套住我。
7我喊冤,却无人回应;
我呼救,却不见公道。
8上帝筑起墙垒,阻断我的路,
祂使黑暗笼罩我的路途。
9祂剥去我的荣耀,
摘走我头上的冠冕。
10祂从四面攻击我,直到我消逝;
祂把我的希望像树一样连根拔除。
11祂向我发烈怒,
视我为仇敌。
12祂的大军蜂拥而来,
在我帐篷四周扎营,
将我团团围住。
13“祂使我的弟兄远离我,
我的熟人完全背弃我。
14我的亲属离开我,
我的挚友忘记我。
15我的客人和婢女都视我如陌路,
把我当作外族人。
16我呼唤仆人,他却不回应;
我哀求他,他也不理睬。
17我妻子厌恶我的气息,
我的手足都嫌弃我。
18连小孩子都鄙视我;
我一出现,他们就嘲笑我。
19我的密友都憎恶我,
我爱的人也反对我。
20我瘦得只剩下皮包骨,
我离死亡仅一线之隔19:20 “我离死亡仅一线之隔”希伯来文是“我只剩牙皮逃脱”。。
21“我的朋友啊,可怜我吧!可怜我吧!
因为上帝的手击打我。
22你们为何像上帝一样逼我?
为何吃了我的肉还不满足?
23但愿把我的话写下来,
记录在书卷上,
24用铁笔和铅镌刻在磐石上,
直存到永远。
25我知道我的救赎主活着,
最后祂必站在地上。
26我的皮肉虽然要朽烂,
但我必活着19:26 “活着”或译“在肉体之外”。见上帝。
27我要亲自见祂,
我要亲眼见祂。
我心中充满渴望!
28你们说祸根在我身上,
还想继续迫害我。
29你们自己应当畏惧刀剑,
因为烈怒会带来刀剑的惩罚,
那时你们将知道有审判。”
Hotuba Ya Sita Ya Ayubu
Ayubu Anajibu: Najua Mkombozi Wangu Yu Hai
1Ndipo Ayubu akajibu:
219:2 1Sam 1:6; Za 6:2, 3; Ay 6:9; 13:25“Je, mtaendelea kunitesa mpaka lini,
na kuniponda kwa maneno yenu?
319:3 Mwa 31:7; Ay 20:3Mara kumi hizi mmenishutumu;
bila aibu mnanishambulia.
419:4 Ay 6:24; Za 19:12; Eze 18:4Kama ni kweli nimepotoka,
kosa langu ninabaki kuhusika nalo mwenyewe.
519:5 Za 38:16; 55:12; Mik 7:8Kama kweli mngejitukuza wenyewe juu yangu,
na kutumia unyonge wangu dhidi yangu,
619:6 Ay 6:29; 18:8; 10:3basi jueni kuwa Mungu amenitendea yaliyo mabaya,
naye amekokota wavu wake kunizunguka.
719:7 Ay 9:24; 30:20; Za 22:2; Hab 1:2-4“Ingawa ninalia, ‘Nimetendewa mabaya!’ sipati jibu;
ingawa ninaomba msaada, hakuna haki.
819:8 Mao 3:7; Hos 2:6; Mhu 6:4; Yer 14:19Yeye ameizuia njia yangu hivyo siwezi kupita;
ameyafunika mapito yangu na giza.
919:9 Ay 12:17; Za 89:39-44; Mao 5:16Amenivua heshima yangu,
na kuniondolea taji kichwani pangu.
1019:10 Ay 12:14; 7:6; 14:7Amenibomoa kila upande hadi nimeisha;
amelingʼoa tegemeo langu kama mti.
1119:11 Ay 16:9; 13:14Hasira yake imewaka juu yangu;
amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.
1219:12 Ay 16:13; 16:10; 3:23Majeshi yake yananisogelea kwa nguvu;
yamenizingira,
yamepiga kambi kulizunguka hema langu.
1319:13 Ay 16:10-13; 30:12; Mt 26:56; 2Tim 4:16“Amewatenga ndugu zangu mbali nami;
wale tunaojuana nao wamefarakana nami kabisa.
1419:14 Ay 19:19; 2Sam 15:12; Ay 12:4; 16:20; Za 88:18; Yer 20:10; 38:22Watu wa jamaa yangu wamekwenda mbali;
rafiki zangu wamenisahau.
1519:15 Mwa 14:14; Mhu 2:7Wageni wangu na watumishi wangu wa kike wananiona kama mgeni;
wananitazama kama mgeni.
16Namwita mtumishi wangu, wala haitiki,
ingawa namwomba kwa kinywa changu mwenyewe.
1719:17 Za 38:5Pumzi ya kinywa changu ni kinyaa kwa mke wangu;
nimekuwa chukizo mno kwa ndugu zangu mwenyewe.
1819:18 2Fal 2:23; Ay 13:25Hata watoto wadogo hunidhihaki;
ninapojitokeza, hunifanyia mzaha.
1919:19 Za 38:11; 55:12-13; Ay 3:10Rafiki zangu wa moyoni wote wananichukia kabisa;
wale niwapendao wamekuwa kinyume nami.
2019:20 Ay 2:5Mimi nimebaki mifupa na ngozi tu;
nimeponea nikiwa karibu kufa.
2119:21 Ay 6:14; Amu 2:15; Ay 4:5; 10:3; Mao 3:1“Nihurumieni, rafiki zangu, kuweni na huruma,
kwa kuwa mkono wa Mungu umenipiga.
2219:22 Ay 13:25; 16:11; Mit 30:14; Isa 53:4Kwa nini mnanifuatia kama Mungu afanyavyo?
Hamtosheki kamwe na mwili wangu?
2319:23 Kut 17:16; Isa 30:8“Laiti maneno yangu yangewekwa kwenye kumbukumbu,
laiti kwamba yangeandikwa kwenye kitabu,
2419:24 Yer 17:1; Ay 16:18kwamba yangechorwa kwenye risasi kwa kifaa cha chuma,
au kuyachonga juu ya mwamba milele!
2519:25 Law 25:25; Mit 23:11; 1Sam 14:39; Ay 16:19Ninajua kwamba Mkombozi19:25 Au: Mtetezi. wangu yu hai,
naye kwamba mwishoni atasimama juu ya nchi.
2619:26 Hes 12:8; 1Yn 3:2Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa,
bado nikiwa na mwili huu nitamwona Mungu;
2719:27 Lk 2:30; Za 42:1; 63:1; 54:2mimi nitamwona kwa macho yangu mwenyewe:
mimi, wala si mwingine.
Tazama jinsi moyo wangu unavyomtamani sana!
28“Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda,
maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’
2919:29 Ay 15:22; Za 58:11; Mhu 12:14ninyi wenyewe uogopeni upanga,
kwa kuwa ghadhabu italeta adhabu kwa upanga,
nanyi ndipo mtakapojua kwamba kuna hukumu.”