约伯记 13 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

约伯记 13:1-28

1“这一切,我亲眼见过,

亲耳听过,且已明白。

2你们知道的我也知道,

我不比你们逊色。

3我想和全能者对话,

我渴望跟上帝理论。

4而你们只会编造谎言,

都是无用的庸医。

5但愿你们闭口不言,

那样还算你们明智。

6请听我的申辩,

留心听我的争讼。

7你们要为上帝说谎,

为祂说诡诈的话吗?

8你们要偏袒上帝吗?

你们要替祂辩护吗?

9祂查问你们时岂会有好结果?

你们岂能像欺骗人一样欺骗祂?

10你们若暗中偏袒,

祂必责备你们。

11难道你们不怕祂的威严,

不对祂充满恐惧吗?

12你们的名言是无用的灰尘,

你们的雄辩是土筑的营垒。

13“你们住口,让我发言;

我愿承担一切后果。

14我已经豁出性命,

不惜冒生命危险。

15祂必杀我,我毫无指望,13:15 祂必杀我,我毫无指望”或译“即使祂杀我,我也信靠祂”。

但我仍要在祂面前申辩。

16这样我才能得救,

因为不信上帝的人无法到祂面前。

17请留心听我说话,

侧耳听我发言。

18看啊,我已准备好辩词,

我知道自己有理。

19若有人能指控我,

我就缄默,情愿死去。

20上帝啊,只要你应允两件事,

我就不躲避你的面,

21求你把手从我身上挪开,

不要用你的威严惊吓我。

22这样,你传唤我,我必回应;

或者让我陈述,你来回答。

23我究竟有什么过错和罪恶?

求你指出我的过犯和罪愆。

24你为何掩面不看我?

为何把我当作仇敌?

25你要恐吓一片风中的落叶吗?

你要追赶一根枯干的茅草吗?

26你记下指控我的罪状,

让我承担幼年的罪恶。

27你给我上了脚镣,

监视我的一举一动,

为我的脚掌设界限。

28我消逝如朽烂之物,

又如虫蛀的衣服。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 13:1-28

113:1 Ay 9:24“Macho yangu yameona hili lote,

masikio yangu yamesikia na kulielewa.

213:2 Ay 12:3Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua;

mimi si mtu duni kuliko ninyi.

313:3 Ay 5:8; 23:3-4; 5:17; 40:2Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi

na kuhojiana shauri langu na Mungu.

413:4 Isa 9:15; Yer 23:32; Za 119:69; Yer 8:22; Ay 6:15Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo;

ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!

513:5 Mit 17:28; Amo 5:13; Ay 13:13; Amu 18:19; Mhu 5:3; Yak 1:19Laiti wote mngenyamaza kimya!

Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.

613:6 Ay 33:1; 36:4Sikieni sasa hoja yangu;

sikilizeni kusihi kwangu.

713:7 Ay 16:17; 36:4; 17:5; Rum 3:5-8Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu?

Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?

813:8 Law 19:15; Mit 24:23Mtamwonyesha upendeleo?

Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?

913:9 Ay 12:16; 9:3; Gal 6:7Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi?

Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?

1013:10 Law 19:15; 2Nya 19:7Hakika angewakemea

kama mkiwapendelea watu kwa siri.

1113:11 Ay 31:23; Kut 3:6Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi?

Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?

1213:12 Neh 4:2-3Maneno yenu ni mithali za majivu;

utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.

1313:13 Ay 13:5; 7:11; 9:21“Nyamazeni kimya nipate kusema;

kisha na yanipate yatakayonipata.

1413:14 Amu 9:17; Za 119:109Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari

na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?

1513:15 Za 27:1; Dan 3:28; Ay 5:8; 27:5; Mit 14:32; Rum 8:38-39Ingawa ataniua, bado nitamtumaini;

hakika nitazitetea njia zangu mbele zake.

1613:16 Hos 14:4; Flp 1:19; Isa 12:1-2Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu,

kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu

atakayethubutu kuja mbele yake!

1713:17 Ay 21:2Sikilizeni maneno yangu kwa makini;

nayo masikio yenu yaingize kile nisemacho.

1813:18 Ay 13:3; 23:4; 37:19; 2:3; 9:21Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu,

ninajua mimi nitahesabiwa kuwa na haki.

1913:19 Isa 50:8; Rum 8:33; Ay 3:13; 40:4; 9:15Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu?

Kama ndivyo, nitanyamaza kimya na nife.

20“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili,

nami sitajificha uso wako:

2113:21 Za 39:10; Ebr 10:31; Kut 9:3; Ay 6:4Ondoa mkono wako uwe mbali nami,

nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.

2213:22 Ay 9:35; 14:15Niite kwenye shauri nami nitajibu,

au niache niseme, nawe upate kujibu.

2313:23 1Sam 26:18; Ay 7:21; 9:21; 14:17; 33:9Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda?

Nionyeshe kosa langu na dhambi yangu.

2413:24 Isa 8:17; Za 88:14-15; Yer 30:14Kwa nini kuuficha uso wako

na kunihesabu mimi kuwa adui yako?

2513:25 Law 26:36; Isa 43:17; Hos 13:3Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo?

Je, utayasaka makapi makavu?

2613:26 Ay 21:23; Za 25:7Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu

na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.

2713:27 Mwa 40:15; Mdo 16:24Umeifunga miguu yangu kwenye pingu.

Unazichunga kwa makini njia zangu zote

kwa kutia alama kwenye nyayo za miguu yangu.

2813:28 Hos 5:12; Yak 5:2“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza,

kama vazi lililoliwa na nondo.