箴言 3 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

箴言 3:1-35

信靠耶和华

1孩子啊,不要忘记我的训言,

要把我的诫命存在心里,

2因为这必使你延年益寿,

幸福平安。

3不要让慈爱和信实离开你,

要把他们系在你的颈项上,

刻在你的心坎上。

4这样,你必蒙上帝和世人的喜悦,

享有美誉。

5你要全心信靠耶和华,

不可倚靠自己的悟性。

6凡事都要寻求祂,

祂必指引你走正路。

7不要自以为有智慧,

要敬畏耶和华,远离恶事。

8这样可医治你的身体,

滋润你的筋骨。

9你要用自己的财富和一切初熟的物产来尊崇耶和华,

10祂必使你五谷满仓,

榨酒池溢出新酿。

11孩子啊,不可轻视耶和华的管教,

也不可厌烦祂的责备。

12因为耶和华责备祂所爱的人,

就像父亲责备他所疼爱的孩子。

13找到智慧、得到悟性的人有福了,

14因为智慧比银子更有价值,

比金子更有益处,

15比珠宝更珍贵;

你所喜爱的一切都难以相比。

16智慧的右手有长寿,

左手有富贵和尊荣。

17她的路上有福乐,

她的道上有平安。

18对持守智慧的人来说,

智慧是生命树,

紧握智慧的人必蒙祝福。

19耶和华以智慧奠立大地,

以悟性铺设诸天;

20祂的知识使深渊裂开,

使天上降下甘霖。

21孩子啊,你要守护智慧和明辨力,

别让她们离开你的视线。

22她们必给你带来生命,

作你颈项上华美的装饰。

23如此,你必步履稳健,不致失足;

24你必安然躺卧,睡得香甜。

25不要怕突来的灾祸,

不要怕恶人遭毁灭,

26因为耶和华是你的靠山,

祂使你的脚不陷入网罗。

27倘若有力量行善,

就当帮助有需要的人,不要推托。

28倘若可以帮忙,

就不可对有求于你的邻人说:

“回去吧,明天再来,我必给你!”

29邻舍在你附近安分居住,

不可谋害他。

30别人若没有害你,

不要无故与他相争。

31不要羡慕残暴之徒,

也不可步其后尘,

32因为耶和华憎恶邪僻之徒,

喜爱正直的人。

33耶和华咒诅恶人的家,

赐福义人的家。

34耶和华讥笑好讥诮的人,

恩待谦卑的人。

35智者得尊荣,

愚人受羞辱。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 3:1-35

Faida Nyingine Za Hekima

13:1 Kum 30:16; Za 44:17; Mit 4:5Mwanangu, usisahau mafundisho yangu,

bali zitunze amri zangu moyoni mwako,

23:2 Mit 9:6; 4:10kwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako

na kukuletea mafanikio.

33:3 Kum 6:8; Mit 6:21; 2Kor 3:3Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane nawe;

vifunge shingoni mwako,

viandike katika ubao wa moyo wako.

43:4 1Sam 2:26; Lk 2:52; Mdo 2:47Ndipo utapata kibali na jina zuri

mbele za Mungu na mwanadamu.

53:5 Za 4:5; Yer 9:23Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote

wala usizitegemee akili zako mwenyewe;

63:6 1Nya 28:9; Ay 33:11; Yer 42:3katika njia zako zote mkiri yeye,

naye atayanyoosha mapito yako.

73:7 Isa 5:21; Rum 12:16; Kum 4:6Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe;

mche Bwana ukajiepushe na uovu.

83:8 Za 38:3; Mit 4:22; Ay 21:24Hii itakuletea afya mwilini mwako,

na mafuta kwenye mifupa yako.

93:9 Kut 23:19; 26:1-15Mheshimu Bwana kwa mali zako na

kwa malimbuko ya mazao yako yote;

103:10 Kum 28:8; Za 144:13; Ay 22:21; Mal 3:10-12ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika,

viriba vyako vitafurika kwa mvinyo mpya.

113:11 Mit 1:8-9; Ay 5:17Mwanangu, usiidharau adhabu ya Bwana

na usichukie kukaripiwa naye,

123:12 Mit 13:24; Ufu 3:19; Ay 3:19; 5:17; Ebr 12:5-6kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao,

kama vile baba afanyavyo

kwa mwana apendezwaye naye.

133:13 Mit 8:34, 35Heri mtu yule aonaye hekima,

mtu yule apataye ufahamu,

143:14 Ay 28:15; Mit 16:16kwa maana hekima ana faida kuliko fedha

na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.

153:15 Ay 28:17-19Hekima ana thamani kuliko marijani;

hakuna chochote unachokitamani

kinachoweza kulinganishwa naye.

163:16 1Fal 3:13-14; Mit 8:18Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume;

katika mkono wake wa kushoto

kuna utajiri na heshima.

173:17 Mit 16:7; Mt 11:28-30Njia zake zinapendeza,

mapito yake yote ni amani.

183:18 Mwa 2:9; Ufu 2:7Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia;

wale wamshikao watabarikiwa.

193:19 Ay 28:25-27; Za 104:24; Mit 8:27-29Kwa hekima Bwana aliiweka misingi ya dunia,

kwa ufahamu aliziweka mbingu mahali pake;

203:20 Kum 33:28; Ay 36:28kwa maarifa yake vilindi viligawanywa,

nayo mawingu yanadondosha umande.

213:21 Mit 1:8-9; 6:20; 4:20-22Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara,

usiache vitoke machoni pako;

223:22 Kum 30:20; Mit 4:20-22ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako

na pambo la neema shingoni mwako.

23Kisha utaenda katika njia yako salama,

wala mguu wako hautajikwaa;

243:24 Law 26:6; Za 3:5; Ay 11:18; Yer 31:25ulalapo, hautaogopa;

ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu.

253:25 Za 91:5; 112:7Usiogope maafa ya ghafula

au maangamizi yanayowapata waovu,

263:26 1Sam 2:9kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako

na kuepusha mguu wako kunaswa katika mtego.

273:27 Rum 13:7; Gal 6:10Usizuie wema kwa wale wanaostahili

ikiwa katika uwezo wako kutenda.

283:28 Law 19:13; Lk 10:25-37; Kum 24:15Usimwambie jirani yako,

“Njoo baadaye, nitakupa kesho”:

wakati wewe unacho kitu kile karibu nawe.

293:29 Zek 8:17Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako,

ambaye anaishi karibu na wewe akikuamini.

303:30 Rum 12:18Usimshtaki mtu bila sababu,

wakati hajakutenda dhara lolote.

313:31 Za 37:1; Mit 24:1-2Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri

wala kuchagua njia yake iwayo yote,

323:32 Za 101:4; Ay 29:4kwa kuwa Bwana humchukia mtu mpotovu,

lakini siri yake iko kwa mwenye haki.

333:33 Ay 5:3; Mal 2:2; Zek 5:4Laana ya Bwana i juu ya nyumba ya mwovu,

lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki.

343:34 Za 18:25-27; Mt 23:12Huwadhihaki wale wanaodhihaki,

lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.

35Wenye hekima hurithi heshima,

bali huwaaibisha wapumbavu.