申命记 31 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

申命记 31:1-30

立约书亚做摩西的接班人

1摩西继续对以色列人说: 2“我已经一百二十岁了,无法再继续带领你们,耶和华曾说我不得过约旦河。 3你们的上帝耶和华要亲自带领你们过河,在你们面前消灭那里的各族,使你们占领他们的土地。约书亚将做你们的首领,正如耶和华所言。 4耶和华要毁灭那里的各族,像毁灭亚摩利二王西宏及其国家一样。 5耶和华要把他们交给你们,你们要照我的一切吩咐处置他们。 6你们要刚强勇敢,不要怕他们,因为你们的上帝耶和华与你们同在,祂不会撇下你们,也不会离弃你们。”

7摩西约书亚叫来,当着全体以色列人的面对他说:“你要刚强勇敢!因为你要带领百姓进入耶和华起誓赐给他们祖先的土地,把土地分给他们。 8耶和华必带领你,与你同在。祂不会撇下你,也不会离弃你。不要害怕,也不要沮丧。”

每七年当众宣读律法一次

9摩西把这律法写好,交给抬耶和华约柜的利未祭司和以色列的众长老。 10摩西吩咐他们说:“每逢免除债务的第七年的住棚节, 11所有以色列人到你们的上帝耶和华选定的地方朝见祂时,你们要当众大声宣读这律法。 12要招聚所有男女、孩童以及住在你们中间的外族人,让他们聆听这律法,学习敬畏你们的上帝耶和华,谨遵律法上的一切话。 13这样,他们那些还不知道这律法的孩子便有机会听到律法,在你们将要占领的约旦河对岸的土地上,学习终生敬畏你们的上帝耶和华。”

上帝对摩西和约书亚的指示

14耶和华对摩西说:“你快要离世了。叫约书亚与你一起到会幕,我要委派他。”摩西约书亚就去了会幕。 15有云柱停在会幕入口的上方,耶和华在云柱中向他们显现。

16耶和华对摩西说:“你快要与祖先同眠了。这些百姓将很快在要占领的土地上与外族人的神明苟合,背弃我,违背我与他们所立的约。 17那时,我要向他们发怒,离弃他们,掩面不理他们。他们将被吞灭,遭遇许多祸患和灾难,以致他们会说,‘这些祸患临到我们岂不是因为上帝不在我们中间了吗?’ 18那时,我必掩面不理他们,因为他们祭拜别的神明,行为邪恶。

19“现在,你要写一首歌,教导以色列人,让他们背诵,作为我指控他们的证据。 20因为当我把他们带到我起誓应许他们祖先的奶蜜之乡后,当他们在那里吃饱喝足后,就会嫌弃我,违背我与他们所立的约,去供奉别的神明。 21当许多祸患和灾难临到他们的时候,这首歌就要成为指控他们的证据,因为这首歌要在他们的子孙中世代流传。虽然我还没有带领他们进入我起誓应许之地,我已经知道他们的心思意念。” 22当天,摩西就写下这首歌,传授给以色列人。

23耶和华嘱咐的儿子约书亚:“你要刚强勇敢,因为你要带领以色列人进入我起誓应许他们的土地,我必与你同在。”

24摩西把这律法都写在书上以后, 25就吩咐抬耶和华约柜的利未人: 26“把这律法书放在你们的上帝耶和华的约柜旁,作为指控你们的证据。 27我知道你们悖逆、顽固不化,我还活在你们中间的时候,你们尚且背叛上帝,何况我死后呢? 28把你们各支派的长老和首领招聚来,我要把这些话告诉他们,叫天地作证来指控他们。 29我知道,我死后你们会彻底堕落,偏离我吩咐你们行的道,做耶和华视为恶的事,惹祂发怒,将来祸患必临到你们。”

30然后,摩西把这首诗歌读给以色列全体会众听。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 31:1-30

Yoshua Kutawala Baada Ya Mose

(Hesabu 27:12-23)

1Kisha Mose akaenda akasema maneno haya kwa Waisraeli wote: 231:2 Kut 7:7; Hes 27:17; Kum 34:7; 1Fal 3:7; Kum 3:23-26“Sasa nina miaka mia moja na ishirini nami siwezi tena kuwaongoza. Bwana ameniambia, ‘Hutavuka Yordani.’ 331:3 Hes 27:18; Kum 9:3; 7:1; 3:28Bwana Mungu wenu, yeye mwenyewe atavuka mbele yenu. Ataangamiza mataifa haya mbele yenu, nanyi mtaimiliki nchi yao. Pia Yoshua atavuka mbele yenu, kama Bwana alivyosema. 431:4 Hes 21:33Naye Bwana atawafanyia watu hao kile alichowafanyia Sihoni na Ogu, wafalme wa Waamori, ambao aliwaangamiza pamoja na nchi yao. 531:5 Kum 2:33; 7:2Bwana atawakabidhi kwenu, nanyi lazima mwatendee yale yote niliyowaamuru. 631:6 Yos 1:6-9, 18; 10:23; 1Nya 22:13; 28:20; 2Nya 32:7; Yer 1:8, 17; Eze 2:6; Mwa 28:15; Kum 1:29; 20:4; Mt 28:20; Za 56:9; 118:6; Kum 4:31; 1Sam 12:22; 1Fal 6:13; Za 94:14; Isa 41:17; Ebr 13:5Kuweni imara na moyo wa ushujaa. Msiogope wala msifadhaike kwa sababu yao, kwa kuwa Bwana Mungu wenu anakwenda pamoja nanyi; kamwe hatawaacha wala hatawatupa ninyi.”

731:7 Hes 27:23; Yos 1:6; Kum 1:38; 3:28Kisha Mose akamwita Yoshua na akamwambia mbele ya Israeli wote, “Uwe imara na moyo wa ushujaa, kwa kuwa ni lazima uende na watu hawa katika nchi ile Bwana aliyowaapia baba zao kuwapa, nawe ni lazima uwagawie kama urithi wao. 831:8 Kut 13:21; Mwa 28:15; Kut 33:14; Kum 4:31Bwana mwenyewe atakutangulia naye atakuwa pamoja nawe; kamwe hatakuacha wala hatakutupa. Usiogope, wala usifadhaike.”

Kusoma Sheria

931:9 Kut 17:14; Hes 4:15; 1Nya 15:2Kwa hiyo Mose akaandika sheria hii na kuwapa makuhani, wana wa Lawi, waliochukua Sanduku la Agano la Bwana na wazee wote wa Israeli. 1031:10 Kum 15:1; Kut 23:16; Kum 16:13; Law 23:34Kisha Mose akawaamuru, akasema: “Mwishoni mwa kila miaka saba, katika mwaka wa kufuta madeni, wakati wa Sikukuu ya Vibanda, 1131:11 Kum 16:16; 12:5; Yos 8:34-35; 2Fal 23:2; Neh 8:2Waisraeli wote wanapokuja mbele za Bwana Mungu wenu mahali atakapopachagua, utasoma sheria hii mbele yao masikioni mwao. 1231:12 Kum 4:10; Hag 1:12; Mal 1:6; 3:5, 16Kusanya watu wote, wanaume, wanawake, watoto na wageni wanaoishi katika miji yenu, ili waweze kusikia na kujifunza kumcha Bwana Mungu wenu na kufuata kwa bidii maneno yote ya sheria hii. 1331:13 Kum 11:2; Za 78:6-7; Mit 22:6; Efe 6:4Watoto wao, ambao hawaijui sheria hii, lazima waisikie na kujifunza kumcha Bwana Mungu wenu kwa muda mtakaoishi katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.”

Kuasi Kwa Waisraeli Kunatabiriwa

1431:14 Mwa 25:8; Hes 27:13; 23; Kum 34:9; Yos 1:1-9; Hes 27:19; Kut 33:9-11Bwana akamwambia Mose, “Sasa siku ya kifo chako imekaribia. Mwite Yoshua, mkajihudhurishe katika Hema la Kukutania, mahali nitakapompa maagizo ya kazi.” Kwa hiyo Mose na Yoshua wakaja na kujihudhurisha kwenye Hema la Kukutania.

1531:15 Kut 33:9; Za 99:7Kisha Bwana akatokea katika Hema katika nguzo ya wingu, nalo wingu likasimama juu ya ingilio la Hema. 1631:16 Mwa 15:15; Kut 34:15; Kum 4:25-28; Amu 2:12; 10:6-13; 1Fal 9:9; 18:18; 19:10; Yer 2:13; 5:19; 19:4; 2Sam 7:12; 2Fal 22:16, 17; Isa 1:4Kisha Bwana akamwambia Mose: “Unakwenda kupumzika na baba zako, nao watu hawa hivi karibuni watazini na miungu migeni ya nchi wanayoingia. Wataniacha na kuvunja Agano nililofanya nao. 1731:17 Kum 32:16; Amu 2:14; 20; 10:7; 2Fal 13:3; 22:13; Za 106:29, 40; Yer 7:18; 21:5; 36:17; Amu 6:13; 2Nya 15:2; 24:20; Ezr 8:22; Za 44:9; Isa 2:6; Kum 32:20; Isa 1:15; 45:15; 53:3; 54:8; Ay 13:24; Za 13:1; 27:9; 30:7; 104:29; Isa 50:6; Yer 33:5; Eze 39:29; Mik 3:4; Yer 4:20; Eze 7:26; Hes 14:42; Hos 9:12Siku hiyo nitawakasirikia na kuwaacha; nitawaficha uso wangu, nao wataangamizwa. Maafa mengi na shida nyingi zitakuja juu yao, nao siku hiyo watauliza, ‘Je, maafa haya hayakuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu hayuko pamoja nasi?’ 18Nami hakika nitauficha uso wangu siku hiyo kwa sababu ya maovu yao yote kwa kugeukia miungu mingine.

1931:19 Mwa 31:50“Sasa ujiandikie wimbo huu,31:19 Wimbo huu hapa ina maana wimbo wa Mose. uwafundishe Waisraeli na uwaamuru wauimbe, ili upate kuwa ushahidi wangu dhidi yao. 2031:20 Kum 6:10-12; Za 4:2; 16:4; 40:4; Yer 13:25; Dan 3:28; Amo 2:4; Kum 8:19; 11:16-17Nitakapokwisha kuwaingiza katika nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo, nao watakapokula wakashiba na kufanikiwa, watageukia miungu mingine na kuiabudu, wakinikataa mimi na kuvunja Agano langu. 2131:21 Kum 4:30; 1Nya 28:9; Hos 5:3; Yn 2:24-25Maafa na shida zitakapokuja juu yao, wimbo huu utashuhudia dhidi yao, kwa sababu hautasahauliwa na wazao wao. Ninajua lile wanaloandaa kufanya, hata kabla sijawaingiza katika nchi niliyowaahidi kwa kiapo.” 22Hivyo Mose akaandika wimbo huu siku ile na akawafundisha Waisraeli.

2331:23 Yos 1:6Bwana akampa Yoshua mwana wa Nuni agizo hili: “Uwe hodari na shujaa, kwa kuwa utawaleta Waisraeli katika nchi niliyowaahidi kwa kiapo, nami mwenyewe nitakuwa pamoja nawe.”

2431:24 Kum 17:18; 2Fal 22:8; Kum 28:58Baada ya Mose kumaliza kuandika kwenye kitabu maneno ya sheria hii kutoka mwanzo hadi mwisho, 25akawapa Walawi wale waliolibeba Sanduku la Agano la Bwana agizo hili, akawaambia: 26“Chukueni Kitabu hiki cha Sheria mkakiweke kando ya Sanduku la Agano la Bwana Mungu wenu. Hapo ndipo kitakapokaa kama shahidi dhidi yenu. 2731:27 Kut 23:21; 32:9; Kum 9:27; 2Nya 30:8; Za 78:8; Isa 48:4; Za 32Kwa kuwa ninajua jinsi mlivyo waasi na mlivyo na shingo ngumu. Kama mmekuwa mkiasi dhidi ya Bwana nikiwa bado niko hai na nikiwa pamoja nanyi, mtaasi mara ngapi baada ya kufa kwangu! 2831:28 Kum 4:26; 30:19; 32:1; Ay 20:27; Isa 26:21Kusanyeni mbele yangu wazee wote wa makabila yenu na maafisa wenu wote, ili nipate kusema maneno haya masikioni mwao na kuziita mbingu na nchi ili kushuhudia dhidi yao. 2931:29 Kum 4:16; Ufu 9:20; 1Fal 9:9; 22:23; 2Fal 22:16Kwa kuwa ninajua baada ya kifo changu hakika mtakuwa waovu kabisa na kugeuka kutoka njia niliyowaamuru ninyi. Katika siku zijazo, maafa yatawapata kwa sababu mtafanya maovu mbele ya macho ya Bwana, na kuchochea hasira yake kwa yale mikono yenu itakayokuwa imefanya.”

Wimbo Wa Mose

30Mose akayasoma maneno ya wimbo huu kutoka mwanzo hadi mwisho katika masikio ya kusanyiko lote la Israeli: