申命记 27 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

申命记 27:1-26

以巴路山上的律法

1摩西以色列众长老吩咐民众说:“你们要遵守我今天吩咐你们的一切诫命。 2你们渡过约旦河、进入你们的上帝耶和华应许给你们的土地那天,要竖立几块大石,涂上石灰。 3你们渡过约旦河、进入你们祖先的上帝耶和华应许要赐给你们的奶蜜之乡后,要把这律法一字不漏地写在大石上。 4你们渡过约旦河后,要照我今日的吩咐在以巴路山上竖立这些石头,涂上石灰。 5要在那里为你们的上帝耶和华筑一座石坛,不要用铁器凿刻石头。 6要用未凿过的石头为你们的上帝耶和华筑一座坛,在上面献燔祭给祂; 7又要献上平安祭,在祂面前吃喝快乐。 8你们要把这律法一字不漏、清清楚楚地写在那几块大石上。”

9摩西利未祭司对全体以色列人说:“以色列人啊,要肃静聆听!你们今天已成为你们上帝耶和华的子民。 10你们要听从祂,遵守祂今天借我吩咐你们的诫命和律例。”

违命必受咒诅

11那天,摩西吩咐民众说: 12“你们渡过约旦河后,西缅利未犹大以萨迦约瑟便雅悯支派要站在基利心山上为民众祝福; 13吕便迦得亚设西布伦拿弗他利支派要站在以巴路山上宣告咒诅。 14利未人要对所有以色列人高声说,

15‘凡雕刻或铸造耶和华所憎恶的神像,并偷偷供奉的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

16‘凡不尊敬父母的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

17‘凡挪移邻居界石的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

18‘凡故意带领盲人走错路的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

19‘不公正地对待寄居者和孤儿寡妇的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

20‘凡与父亲的妻妾乱伦,使父亲蒙羞的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

21‘凡与兽交合的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

22‘凡与同父或同母姊妹乱伦的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

23‘凡与岳母乱伦的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

24‘凡暗杀邻居的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

25‘凡因收受贿赂而杀害无辜的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

26‘凡不遵行这律法的必受咒诅!’

全体民众要回答说,‘阿们!’

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 27:1-26

Madhabahu Katika Mlima Ebali

127:1 Za 78:7Mose na wazee wa Israeli wakawaagiza watu: “Yashikeni maagizo haya yote ninayowaagiza leo. 227:2 Yos 4:1; Kut 24:4; Yos 24:26; 1Sam 7:12; Yos 8:31Mtakapokuwa mmevuka Mto Yordani na kuingia katika nchi awapayo Bwana Mungu wenu, msimamishe mawe makubwa na mkayatie lipu. 327:3 Kut 3:8; Kum 26:9Andikeni juu yake maneno yote ya sheria hii wakati mtakapokuwa mmevuka na kuingia katika nchi awapayo Bwana Mungu wenu, nchi itiririkayo maziwa na asali, kama vile Bwana, Mungu wa baba zenu, alivyowaahidi. 427:4 Kum 11:29; Yos 8:30Mtakapokuwa mmevuka Yordani, simamisheni mawe haya juu ya Mlima Ebali, kama ninavyowaagiza leo, mkayatie lipu. 527:5 Kut 20:24-25; Yos 8:31Huko mjengeeni Bwana Mungu wenu madhabahu, madhabahu ya mawe. Msitumie kifaa chochote cha chuma juu yake. 6Jengeni madhabahu ya Bwana Mungu wenu kwa mawe ya shambani, na mtoe sadaka za kuteketezwa juu yake kwa Bwana Mungu wenu. 727:7 Kut 32:6; Kum 16:11; Yos 8:31Toeni sadaka za amani juu yake, mkizila na kufurahia mbele za Bwana Mungu wenu. 827:8 Isa 8:1; 30:8; Hab 2:2; Yos 8:32Nanyi mtaandika maneno yote ya sheria hii kwa wazi sana juu ya mawe haya ambayo mmesimamisha.”

Laana Kutoka Mlima Ebali

927:9 Kum 17:9; 26:18Kisha Mose na makuhani, ambao ni Walawi, wakawaambia Israeli wote, “Nyamaza ee Israeli, sikiliza! Sasa umekuwa taifa la Bwana Mungu wako. 10Mtii Bwana Mungu wako, na kufuata amri zake na maagizo ninayokupa leo.”

11Siku ile ile Mose akawaagiza watu:

1227:12 Kum 11:29; Mwa 30:18; Yos 8:35; Amu 9:7Mtakapovuka Mto Yordani, makabila haya yatasimama juu ya Mlima Gerizimu kubariki watu: Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yosefu na Benyamini. 1327:13 Kum 11:29Makabila haya yatasimama juu ya Mlima Ebali kwa kutamka laana: Reubeni, Gadi, Asheri, Zabuloni, Dani na Naftali.

1427:14 Kum 33:10; Yos 8:33; Neh 8:7-8; Dan 9:11; Mal 2:7-9Nao Walawi watawasomea watu wote wa Israeli kwa sauti kubwa:

1527:15 Kut 20:4; 34:17; 1Fal 11:5-7; 2Fal 23:13; Isa 44:9, 19; 66:3; Hes 5:22; 1Kor 14:6; Law 19:4; 26:1; Kum 4:16, 23; Isa 44:9; Hos 13:2; Hes 5:22; Yer 11:5“Alaaniwe mtu afanyaye sanamu ya kuchonga au mwenye kusubu sanamu, kitu ambacho ni chukizo kwa Bwana, kazi ya mikono ya fundi stadi, na kuisimamisha kwa siri.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

1627:16 Mwa 31:35; Kut 21:12; Kum 5:16; Law 19:3“Alaaniwe mtu amdharauye baba yake na mama yake.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

1727:17 Kum 19:14; Mit 22:28“Alaaniwe mtu asogezaye jiwe la mpaka wa jirani yake.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

1827:18 Law 19:14; Ay 29:15; Mit 28:10; Mt 15:14; Ufu 2:14“Alaaniwe mtu ampotoshaye kipofu njiani.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

1927:19 Kut 22:21; Kum 24:19; Kut 23:2; Kum 10:18; Mal 3:5“Alaaniwe mtu apotoshaye haki ya mgeni, yatima au mjane.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

2027:20 Mwa 34:5; Law 18:7; 1Kor 5:1“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mke wa baba yake, kwa maana anadharau malazi ya baba yake.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

2127:21 Kut 22:19; Law 8:23“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mnyama yeyote.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

2227:22 Law 18:9; 20:17; 2Sam 13:1“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na dada yake, binti wa baba yake au binti wa mama yake.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

2327:23 Law 20:14“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mama mkwe wake.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

2427:24 Mwa 4:23; Law 24:17; Kut 21:12; Hes 35:31“Alaaniwe mtu amuuaye jirani yake kwa siri.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

2527:25 Kut 23:7-8; Law 19:16; Eze 22:12; Kum 10:17; 16:19; Za 15:5; Eze 22:12“Alaaniwe mtu apokeaye rushwa ili kumuua mtu asiye na hatia.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”

2627:26 Law 26:14; Kum 28:15; Za 119:21; Yer 11:3; Gal 3:10; Yer 11:5“Alaaniwe mtu yule ambaye hatashikilia maneno ya sheria hii kwa kuyatekeleza.”

Kisha watu wote watasema, “Amen!”