申命记 14 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

申命记 14:1-29

做圣洁的子民

1“你们是你们上帝耶和华的儿女,不可为死人割伤自己或剃光前额。 2因为你们是属于你们的上帝耶和华的圣洁子民,祂从天下万族中拣选你们作祂宝贵的产业。

3“你们不可吃任何可憎之物。 4但你们可以吃牛、绵羊、山羊、 5鹿、瞪羚、野山羊、野绵羊和羚羊。 6凡蹄子分瓣且反刍的动物,你们都可以吃。 7在那些只是反刍或只是蹄子分瓣的动物中,你们不可吃骆驼、野兔和獾,因为它们反刍但蹄子不分瓣,是不洁净的。 8你们也不可吃猪,因为猪虽蹄子分瓣但不反刍,是不洁净的。你们不可吃这些动物的肉,也不可摸它们的尸体。

9“水族中,凡有鳞和鳍的,你们都可以吃。 10凡无鳞和鳍的都不洁净,你们不可吃。

11“你们可以吃洁净的鸟类。 12不可吃的鸟类有雕、胡兀鹫、黑秃鹫、 13鸢、隼类、 14乌鸦类、 15驼鸟、夜鹰、海鸥、鹰类、 16小鸮、大鸮、仓鸮、 17鹈鹕、鱼鹰、鸬鹚、 18鹳、鹭鸟类、戴胜和蝙蝠。

19“凡有翅膀、会爬的昆虫都不洁净,你们不可吃。 20凡有翅膀的洁净之物,你们都可以吃。

21“你们不可吃死掉的动物,但可以送给或卖给住在你们城里的外族人吃。因为你们属于你们的上帝耶和华,是圣洁的民族。你们不可用母山羊的奶煮它的羊羔。

十一奉献

22“你们每年要献出收成的十分之一; 23要在你们的上帝耶和华选定的敬拜场所,在祂面前吃所献的十分之一的谷物、新酒、油以及头生的牛羊。这是为了让你们学习一生敬畏你们的上帝耶和华。 24如果你们的上帝耶和华赐福你们,使你们丰收,而你们住的地方离祂选定的敬拜场所太远,以致不能把收成的十分之一送去, 25就可以把那些收成换成银钱带去。 26在那里,你们可以随意买牛、羊、淡酒或烈酒,然后一家人在你们的上帝耶和华面前吃喝快乐。 27不可忘记住在你们城里的利未人,因为利未人没有分到土地作产业。

28“每逢第三年末,你们要把那年所有出产的十分之一拿出来,存放在你们的城里, 29让你们城中没有土地的利未人、寄居者和孤儿寡妇都可以来吃饱。这样,你们的上帝耶和华必使你们凡事蒙福。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 14:1-29

Vyakula Vilivyo Najisi Na Vilivyo Safi

(Walawi 11:1-47)

114:1 Yn 1:12; Rum 8:14; 9:8; Yer 16:6; Mwa 6:2-4; Kut 4:22-23; Gal 3:26; 1The 4:13Ninyi ni watoto wa Bwana Mungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa, 214:2 Mwa 28:14; Kut 8:22; 22:31; Isa 6:13; Mt 2:15; Law 20:26; Rum 12:1; Kum 7:6; 26:18-1914:2 Kut 19:5; 2Sam 7:23, 24kwa maana ninyi ni taifa takatifu kwa Bwana Mungu wenu. Bwana amewachagua ninyi kuwa taifa la kipekee kutoka mataifa yote juu ya uso wa dunia, mwe tunu yake.

314:3 Eze 4:14; Isa 65:4; Mdo 10:13; Rum 14:14Msile kitu chochote ambacho ni machukizo. 414:4 Mdo 10:14; Law 7:23; 11:2-45Hawa ndio wanyama mtakaokula: ngʼombe, kondoo, mbuzi, 514:5 Kum 12:15; Ay 39:1; Za 104:18kulungu, paa, kongoni, paa mweupe, mbuzi-mwitu, pofu na kondoo wa mlimani. 6Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika mara mbili, pia yule anayecheua. 7Hata hivyo, miongoni mwa wale wanaocheua au wale walio na kwato zilizogawanyika kamwe msile ngamia, sungura na pelele. Iwapo wanacheua, lakini hawana kwato zilizogawanyika; ni najisi kwenu kwa taratibu za kiibada. 814:8 Law 5:12; 11:26-27Nguruwe pia ni najisi; ingawa ana kwato zilizogawanyika, hacheui. Msile nyama yake wala kugusa mzoga wake.

9Katika viumbe hai vyote viishivyo kwenye maji, mnaweza kula yeyote aliye na mapezi na magamba. 10Lakini chochote kisicho na mapezi na magamba msile; kwenu ni najisi.

11Mnaweza kula ndege yeyote aliye safi. 1214:12 Law 11:13Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu, 1314:13 Mwa 2:11; Isa 34:15kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote, 1414:14 Mwa 8:17kunguru wa aina yoyote, 15mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote, 16bundi, mumbi, bundi mkubwa, 1714:17 Za 102:6; Isa 13:21; 14:23; 34:11; Sef 2:14mwari, nderi, mnandi, 18korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

19Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale. 2014:20 Law 20:25Lakini viumbe vyote vyenye mabawa vilivyo safi mwaweza kula.

2114:21 Law 11:39; 14:2; 17:15; Kut 23:19; 22:31; Law 22:8; Eze 44:31Msile kitu chochote mtakachokuta kimekufa. Mnaweza kumpa mgeni yeyote anayeishi katika mojawapo ya miji yenu, naye anaweza kula au mnaweza kumuuzia mtu wa nchi nyingine. Lakini ninyi ni watu watakatifu kwa Bwana Mungu wenu.

Msitokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.

Zaka

2214:22 Mwa 14:20; Law 27:30; Hes 18:21; Neh 10:37; Kum 12:6, 17Hakikisheni mmetenga sehemu ya kumi ya mazao yote ya mashamba yenu kila mwaka. 2314:23 Kum 12:5, 17, 18; Za 4:7; 1Fal 3:2; Kum 4:10; Za 22:23; 33:8; Mal 2:5; Mit 3:13; Isa 8:13; Yer 32:38-41; Ebr 12:28Mtakula zaka za nafaka yenu, divai mpya, mafuta na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ngʼombe na ya kondoo na mbuzi mbele za Bwana Mungu wenu pale mahali atakapopachagua kama maskani kwa ajili ya Jina lake, ili kwamba mpate kujifunza kumheshimu Bwana Mungu wenu daima. 2414:24 Kum 12:21Lakini ikiwa mahali pale ni mbali sana nanyi mmebarikiwa na Bwana Mungu wenu na hamwezi kubeba zaka yenu (kwa sababu mahali pale Bwana atakapopachagua kuliweka Jina lake ni mbali sana), 2514:25 Mt 21:12; Yn 2:14basi badilisheni zaka yenu kuwa fedha, mkaichukue hiyo fedha mwende nayo mahali Bwana Mungu wenu atakapopachagua. 2614:26 Law 10:9; 23:40; Mhu 10:16-17; Kum 12:7-8Tumieni hiyo fedha kununua chochote ukitakacho: ngʼombe, kondoo, divai au kinywaji chochote chenye chachu au chochote mnachotaka. Kisha ninyi na wa nyumbani mwenu mtaila mbele za Bwana Mungu wenu na kufurahi. 2714:27 Kum 12:19; Hes 18:20; 26:62; Kum 18:1-2; Rum 13:4; 15:27; 1Kor 9:1-14Msiache kuwajali Walawi waishio katika miji yenu, kwa kuwa hao hawana shamba wala urithi wao wenyewe.

2814:28 Law 27:30; Kum 26:12Mwishoni mwa kila mwaka wa tatu, leteni zaka zote za mazao ya miaka ile na uyahifadhi kwenye miji yenu, 2914:29 Mwa 47:22; Hes 26:62; Kum 16:11; 24:19-21; Za 94:6; Isa 1:17; 58:6; Kum 6:11; 15:10; Za 41:1; Mit 22:9; Mt 3:10; Kum 10:18; Eze 22:7, 29; Lk 14:12; Ebr 13:2; Mal 3:10; Lk 11:41; 2Kor 9:6-11ili Walawi (ambao hawana mashamba wala urithi wao wenyewe) na wageni, yatima na wajane wanaoishi kwenye miji yenu wapate kuja kula na kushiba, ili Bwana Mungu wenu apate kuwabariki ninyi katika kazi zote za mikono yenu.