民数记 16 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

民数记 16:1-50

可拉之乱

1可拉利未的曾孙、哥辖的孙子、以斯哈的儿子。他跟吕便支派以利押的两个儿子大坍亚比兰以及比勒的儿子心中狂妄, 2联合二百五十名在以色列会众中有声望的首领反叛摩西3一起攻击摩西亚伦,说:“你们太过分了!全体会众都是圣洁的,有耶和华住在他们当中,你们凭什么将自己置于耶和华的会众之上?” 4摩西听了这话,就俯伏在地, 5可拉一伙人说:“到了明天早上,耶和华必显明谁是属于祂的,谁是圣洁的。祂必让祂所拣选的人到祂面前。 6可拉啊,你们要这样做,你和你的同伙明天带香炉来, 7在耶和华面前点火添香。耶和华拣选谁,谁就是圣洁的。你们利未人太过分了!” 8摩西又对可拉说:“利未人啊,你们听我说! 9以色列的上帝把你们从以色列会众中分别出来,使你们可以到祂面前,在祂的圣幕里司职,替会众办事,你们还不满足吗? 10可拉啊,耶和华使你和其他利未人事奉祂,你们还不满足,还要贪求祭司的职分吗? 11其实你和你的同伙合谋反叛的是耶和华,而不是亚伦。” 12摩西派人去召以利押的儿子大坍亚比兰,他们却说:“我们不去! 13你带我们离开奶蜜之乡,要让我们死在旷野,这还不够吗?你还想自立为王管辖我们吗? 14你并没有领我们到奶蜜之乡,也没有给我们田地和葡萄园作产业,你还想继续蒙骗我们吗?我们不去!”

15摩西非常愤怒,就对耶和华说:“求你不要接纳他们的祭物。我没有取过他们一头驴,也没有害过他们任何人。” 16摩西可拉说:“明天你和你的同伙要跟亚伦一起站在耶和华面前。 17每人要拿一个香炉,放上香,带到耶和华面前,共二百五十个。你和亚伦也要各拿一个香炉。” 18于是,他们都拿着香炉,盛着火和香,跟摩西亚伦一起站在会幕门口。 19可拉把全体会众招聚到会幕门口,要对付摩西亚伦。这时,耶和华的荣光向会众显现。

20耶和华对摩西亚伦说: 21“你们离开这些会众,我好在顷刻之间消灭他们。” 22摩西亚伦就伏在地上说:“上帝啊,赐人生命的上帝啊!一人犯罪,你就要向全体会众发怒吗?” 23耶和华对摩西说: 24“你叫会众离可拉大坍亚比兰的帐篷远一点。”

25于是,摩西起来去大坍亚比兰那里,以色列的长老也跟着他。 26他对会众说:“你们离这些恶人的帐篷远一点,不要碰他们的任何东西,免得你们因他们的罪而受牵连,同遭毁灭。” 27会众便离开可拉大坍亚比兰的帐篷。大坍亚比兰带着妻小出来,站在自己的帐篷门口。 28摩西对会众说:“你们很快就知道,我所做的事都是奉耶和华之命而行,并非出于私意。 29如果这些人像常人一样死去,遭遇跟世人无异,我就不是耶和华派来的。 30但如果耶和华做一件前所未有的事,使地裂开,吞下他们和属于他们的一切,使他们活生生地坠入阴间,你们就知道这些人藐视耶和华了。”

31摩西的话刚说完,这些人脚下的地就裂开, 32吞下了他们和他们的家眷及所有可拉一伙的人和财物。 33他们和属于他们的一切就这样活活地坠入阴间,地在他们上面合拢起来,他们就从会众中灭亡了。 34他们四围的以色列人听到他们的喊叫声,纷纷逃跑,生怕自己也被吞下去。 35耶和华又降下烈火,烧死了那二百五十个献香的人。

36耶和华对摩西说: 37“你叫亚伦祭司的儿子以利亚撒去从火中把香炉捡起来,把炭火撒在远处,因为那些香炉是圣洁的。 38要把那些因犯罪而丧命之人的香炉打成薄片,用来包祭坛,因为那些香炉曾被献在耶和华面前,是圣洁的,并且可让以色列人引以为戒。” 39于是,以利亚撒祭司取来被烧死之人所献的铜香炉,叫人打成薄片用来包祭坛, 40以色列人引以为戒,使亚伦子孙以外的人不致到耶和华面前烧香,以免像可拉及其同伙一样灭亡。这是按照耶和华借摩西的吩咐做的。

41第二天,以色列全体会众都埋怨摩西亚伦说:“你们害死了耶和华的子民。” 42会众聚集起来反对摩西亚伦,他们向会幕观看,忽然有云彩遮盖了会幕,耶和华的荣光显现了。 43摩西亚伦来到会幕前, 44耶和华对摩西说: 45“你们离开这些会众,我好在顷刻之间消灭他们。”他们二人就俯伏在地。 46摩西亚伦说:“取香炉来,里面放些坛上的火,添上香,赶快带到会众那里为他们赎罪,因为耶和华发怒了,瘟疫已经开始。” 47亚伦就照着摩西的吩咐取来香炉,跑到会众当中。那时瘟疫已经在人群中蔓延起来。他就在炉中放上香为民众赎罪。 48他站在活人和死人中间,瘟疫就止住了。 49除了在可拉事件中死亡的人以外,当天有一万四千七百人死于瘟疫。 50瘟疫止住后,亚伦便回到在会幕门口的摩西那里。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 16:1-50

Kora, Dathani Na Abiramu

116:1 Kut 6:24; Yud 11; Za 106:17; Hes 26:8; Kum 11:6Kora mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, pamoja na baadhi ya Wareubeni, yaani Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni mwana wa Pelethi, wakachukua baadhi ya watu, 216:2 Hes 27:3; 1:16; 26:9wakainuka dhidi ya Mose. Pamoja nao walikuwepo wanaume wa Kiisraeli 250, watu waliojulikana, viongozi wa jumuiya waliokuwa wameteuliwa kuwa wakuu wa kusanyiko. 316:3 Za 106:16; Kut 19:6; Hes 14:14; 12:2Wakaja kama kikundi kuwapinga Mose na Aroni, wakawaambia, “Ninyi mmejitukuza sana! Kusanyiko hili lote ni takatifu, kila mmoja wao, naye Bwana yu pamoja nao. Kwa nini basi mmejitukuza wenyewe juu ya kusanyiko la Bwana?”

416:4 Hes 14:2; 20:6Mose aliposikia jambo hili, akaanguka kifudifudi. 516:5 Law 10:3; 2Tim 2:19; Yer 30:21; Hes 17:5; Za 65:4; 105:26; Yer 50:44; Law 21:6-12; Kut 28:1; 1Sam 2:28; Eze 40:46Kisha akamwambia Kora na wafuasi wake wote: “Asubuhi Bwana ataonyesha ni nani aliye wake na ni nani aliye mtakatifu, tena atamtaka mtu huyo aje kwake. Mtu yule ambaye atamchagua atamfanya kuja karibu naye. 616:6 Law 10:1; Ufu 8:3Wewe Kora na wafuasi wako wote mtafanya hivi: Chukueni vyetezo, 716:7 Law 10:1; Kut 30:9kesho wekeni moto na uvumba kwenye hivyo vyetezo mbele za Bwana. Mtu ambaye Bwana atamchagua atakuwa ndiye mtakatifu. Ninyi Walawi mmejitukuza sana!”

8Pia Mose akamwambia Kora, “Enyi Walawi! Sasa nisikilizeni. 916:9 Mwa 30:15; Hes 3:6; Kum 10:8; 17:12; 21:5; 1Sam 2:11; Za 134:1; Eze 44:11; 1Sam 18:23; Isa 7:13Haiwatoshi ninyi kwamba Mungu wa Israeli amewateua ninyi kutoka kusanyiko lote la Kiisraeli, na kuwaleta karibu naye mpate kufanya kazi kwenye Maskani ya Bwana, na kusimama mbele ya kusanyiko ili kuwahudumia? 1016:10 Hes 3:10; 18:7; Amu 17:5, 12Amekuleta wewe na ndugu zako Walawi mwe karibu naye, lakini sasa unajaribu kupata na ukuhani pia. 1116:11 1Kor 10:10; Kut 16:7-8; 1Kor 3:5Wewe na wafuasi wako wote mmekusanyika pamoja kinyume cha Bwana. Aroni ni nani kwamba ninyi mnungʼunike dhidi yake?”

12Kisha Mose akawaita Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu. Lakini wao wakasema, “Sisi hatuji! 1316:13 Hes 13:27; 14:2; Mwa 13:8; Mdo 7:27, 35; Kut 2:14; Mdo 7:27, 35Haitoshi tu kwamba wewe umetuleta kutoka nchi itiririkayo maziwa na asali ili kutuua sisi jangwani? Nawe sasa pia unataka kuwa mkuu juu yetu? 1416:14 Law 20:24; Kut 22:5; 23:11; Hes 20:5; 1Fal 4:25; Neh 13:15; Za 105:33; Yer 5:17; Hos 2:12; Yoe 2:22; Hag 2:19; Zek 3:10; Amu 16:21; 1Sam 2:11Zaidi ya hayo, hujatuingiza katika nchi inayotiririka maziwa na asali, wala hujatupa urithi wa mashamba na mashamba ya mizabibu. Je, utayangʼoa macho ya watu hawa? Hapana, sisi hatuji!”

1516:15 Kut 4:14; 1Sam 12:3; Mdo 20:33; 2Kor 7:2Ndipo Mose akakasirika sana na kumwambia Bwana, “Usiikubali sadaka yao. Mimi sikuchukua chochote, hata punda kutoka kwao, wala sijamkosea hata mmoja wao.”

16Mose akamwambia Kora, “Wewe na wafuasi wako wote kesho mtatokea mbele za Bwana: yaani wewe na hao wenzako, pamoja na Aroni. 1716:17 Eze 8:11Kila mtu atachukua chetezo chake na kuweka uvumba ndani yake, vyetezo 250 kwa jumla, na kukileta mbele za Bwana. Wewe na Aroni mtaleta vyetezo vyenu pia.” 18Kwa hiyo kila mtu akachukua chetezo chake, akaweka moto na uvumba ndani yake, na kusimama pamoja na Mose na Aroni kwenye mlango wa Hema la Kukutania. 1916:19 Hes 14:10; 20:2, 6; Kut 16:7; Law 9:6, 23Kora alipokuwa amekusanya wafuasi wake wote kuwapinga Mose na Aroni kwenye mlango wa Hema la Kukutania, utukufu wa Bwana ukatokea kwa kusanyiko lote. 20Bwana akamwambia Mose na Aroni, 2116:21 Mwa 19:14; Kut 32:10; Yer 51:6; Mdo 2:40; Ufu 18:4; Za 73:19“Jitengeni kutoka kwenye kusanyiko hili ili nipate kuwaangamiza mara moja.”

2216:22 Hes 14:5; 27:16; Ay 12:10; 21:20; 27:8; 33:4; 34:14; Yer 32:27; Eze 18:4; Ebr 12:9; Mwa 18:23Lakini Mose na Aroni wakaanguka kufudifudi na kulia kwa sauti, wakasema, “Ee Mungu, Mungu wa roho za wanadamu wote, utakuwa na hasira na kusanyiko lote wakati ni mtu mmoja tu ametenda dhambi?”

23Ndipo Bwana akamwambia Mose, 24“Liambie kusanyiko, ‘Ondokeni hapo karibu na mahema ya Kora, Dathani na Abiramu.’ ”

2516:25 Kut 19:7Mose akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu, nao wazee wa Israeli wakafuatana naye. 2616:26 Isa 52:11; Mwa 19:15; Yer 51:6; Mwa 19:12; Mdo 2:40; 2Kor 6:17; Ufu 18:4Mose akalionya kusanyiko, “Sogeeni nyuma mbali na mahema ya hawa watu waovu! Msiguse kitu chochote kilicho mali yao, la sivyo mtafagiliwa mbali kwa sababu ya dhambi zao zote.” 2716:27 Yos 7:24; Isa 13:16; 14:21; Kut 33:8; Ay 9:4; Mit 16:18Hivyo wakaondoka karibu na mahema ya Kora, Dathani na Abiramu. Dathani na Abiramu walikuwa wametoka nje, nao walikuwa wamesimama pamoja na wake zao, watoto wao na wale wanyonyao kwenye mlango wa mahema yao.

2816:28 1Fal 18:36; Kut 3:12; Yn 5:36; 6:38; Kum 18:22; Zek 2:9; Yer 23:16; Eze 13:17Ndipo Mose akasema, “Hivi ndivyo mtakavyojua kuwa Bwana amenituma kufanya mambo haya, na kwamba halikuwa wazo langu. 2916:29 Hes 24:13; Ay 31:2; Mhu 3:19; Isa 10:3; Yer 5:9; Mao 4:22Ikiwa watu hawa watakufa kifo cha kawaida na kupatwa na yale ya kawaida yanayowapata wanadamu, basi Bwana hakunituma mimi. 3016:30 Za 9:17; 16:10; 55:15; 141:7; Isa 5:14; 14:11; 38:18; Mwa 37:35; 1Sam 2:6; Ay 5:26; 21:13; Hes 14:11; Eze 26:20Lakini ikiwa Bwana ataleta jambo jipya kabisa, ardhi ikifunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na kila kitu kilicho mali yao, nao washuke chini kaburini16:30 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. wakiwa hai, ndipo mtafahamu kuwa watu hawa wamemdharau Bwana.”

3116:31 Isa 64:1-2; Eze 47:1-2; Mik 1:3-4; Zek 14:4Mara Mose alipomaliza kusema haya yote, ardhi iliyokuwa chini yao ikapasuka, 3216:32 Kut 15:12; Za 10:17; 1Nya 6:22nchi ikafunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na jamaa zao, na watu wote wa Kora na mali zao zote. 3316:33 Mhu 9:10Wakashuka chini kaburini wakiwa hai, pamoja na kila kitu walichokuwa nacho; nchi ikajifunika juu yao, nao wakaangamia wakatoweka kutoka kusanyiko. 34Kutoka kilio chao, Waisraeli wote waliowazunguka walikimbia, wakipaza sauti, “Nchi inatumeza na sisi pia!”

3516:35 Hes 11:1-3; 26:10; Ufu 11:5; Law 10:2; Za 106:18Moto ukaja kutoka kwa Bwana, ukawateketeza wale watu 250 waliokuwa wakifukiza uvumba.

36Bwana akamwambia Mose, 3716:37 Kut 6:23“Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Aroni, atoe vyetezo kwenye mabaki ya moto na kutawanya makaa mbali kiasi, kwa maana vyetezo ni vitakatifu: 3816:38 Law 10:1; Mit 20:2; Kut 20:24; 38:1-7; Hes 26:10; Kum 28:46; Yer 44:29; Eze 14:8; 2Pet 2:6vyetezo vya watu waliofanya dhambi iliyowagharimu maisha yao. Fua vyetezo hivyo kuwa bamba ili kufunika madhabahu, kwa maana vimeletwa mbele za Bwana na vimekuwa vitakatifu. Navyo viwe ishara kwa Waisraeli.”

3916:39 2Nya 26:18; Law 20:14Hivyo kuhani Eleazari akavikusanya vile vyetezo vya shaba vilivyoletwa na wale waliokuwa wameteketezwa kwa moto, naye akavifua kufunika madhabahu, 4016:40 Kut 30:1, 9; Isa 1:13; 66:3; Yer 41:5; 44:3; 2Nya 26:18; Hes 3:10kama vile Bwana alivyomwelekeza kupitia Mose. Hili lilikuwa kuwakumbusha Waisraeli kwamba hakuna mtu hata mmoja, isipokuwa mzao wa Aroni, awezaye kuja kufukiza uvumba mbele za Bwana, la sivyo, angekuwa kama Kora na wafuasi wake.

4116:41 Hes 14:2; Za 106:13; Mdo 21:28Siku iliyofuata jumuiya yote ya Kiisraeli wakanungʼunika dhidi ya Mose na Aroni, wakisema, “Mmewaua watu wa Bwana.”

4216:42 Kut 16:7; Hes 14:10; 20:6; Law 9:23Lakini wakati kusanyiko lilipokusanyika kupingana na Mose na Aroni, nalo likageuka kuelekea Hema la Kukutania, ghafula wingu likafunika Hema, nao utukufu wa Bwana ukatokea. 43Ndipo Mose na Aroni wakaenda mbele ya Hema la Kukutania, 44naye Bwana akamwambia Mose, 4516:45 Kut 32:10; 1Nya 16:21; Mt 26:39“Jitenge mbali na kusanyiko hili ili niweze kuwaangamiza mara moja.” Wakaanguka chini kifudifudi.

4616:46 Law 10:1-6; 26:25; Kut 29:36; Hes 1:53; 8:19; Za 106:29; Yos 7:1; 22:18; 1Sam 6:19; 2Sam 24:1; 1Nya 17:24Kisha Mose akamwambia Aroni, “Chukua chetezo chako na uweke uvumba ndani yake, pamoja na moto kutoka madhabahuni, nawe uende haraka kwenye kusanyiko ili kufanya upatanisho kwa ajili yao. Ghadhabu imekuja kutoka kwa Bwana, na tauni imeanza.” 4716:47 Hes 25:6-8Hivyo Aroni akafanya kama Mose alivyosema, akakimbilia katikati ya kusanyiko. Tauni ilikuwa tayari imeanza miongoni mwa watu, lakini Aroni akafukiza uvumba na kufanya upatanisho kwa ajili yao. 4816:48 Hes 25:8; Za 106:30; 2Sam 24:16-17; Ay 33:24; Yak 5:16; 1The 1:10; Ebr 7:24Aroni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma. 49Lakini walikufa watu 14,700 kutokana na tauni hiyo, licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu ya Kora. 50Ndipo Aroni akamrudia Mose kwenye mlango wa Hema la Kukutania, kwa maana tauni ilikuwa imekoma.