提多书 2 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

提多书 2:1-15

教导纯正的教义

1你的教导要符合纯正的教义。 2劝年长的男子要节制、庄重、自律,有全备的信心、爱心和耐心。 3劝年长的妇女要过敬虔的生活,不说长道短,不做酒的奴隶,要以身作则。 4这样,她们就能教导年轻的妇女爱丈夫、爱儿女、 5自制、贞洁,持家、和善、顺服丈夫,免得上帝的道被人毁谤。

6劝勉年轻的男子要自制。 7你自己要在各样的善行上做众人的榜样,在教导上要诚恳、认真、 8言语纯全、无可指责,让那些反对的人无话可说、自觉羞愧。

9劝勉做奴仆的要凡事顺服主人,让主人满意,不顶撞主人, 10不偷拿主人的东西,为人要忠信可靠,好凡事尊崇我们救主上帝的教导。

11因为上帝拯救世人的恩典已经显明了, 12这恩典教导我们除掉不敬虔的心和世俗的私欲,在今世过自律、公义、敬畏上帝的生活, 13怀着美好的盼望等候耶稣基督——我们伟大的上帝和救主的荣耀显现。 14主耶稣为我们牺牲自己,要救赎我们脱离一切罪恶,并洁净我们,使我们做祂的子民,成为热心行善的人。

15你要讲明这些事,运用各样权柄劝勉人、责备人,别让人轻看你。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Tito 2:1-15

Fundisha Mafundisho Manyofu

12:1 1Tim 1:10; 6:3; 2Tim 1:13Inakupasa kufundisha itikadi sahihi. 22:2 Tit 1:13; 1Tim 5:1; 3:2; Tit 2:5, 6, 12; 1:8, 13Wafundishe wazee kuwa na kiasi, wastahivu, wenye busara na wanyofu katika imani, upendo na saburi.

32:3 1Tim 3:8; 3:11Vivyo hivyo, wafundishe wanawake wazee kuwa na mwenendo wa utakatifu, wala wasiwe wasingiziaji au walevi, bali wafundishe yale yaliyo mema, 42:4 1Tim 5:2, 14ili waweze kuwafundisha wanawake vijana kuwa na kiasi, wawapende waume zao na kuwapenda watoto wao, 52:5 Efe 5:22; 1Tim 6:1wawe waaminifu, watakatifu, wakitunza vyema nyumba zao, wema, watiifu kwa waume zao, ili mtu yeyote asije akalikufuru neno la Mungu.

62:6 1Tim 5:1Vivyo hivyo, himiza vijana wawe na kiasi. 72:7 1Tim 4:12; Tit 2:14Katika kila jambo uwe kielelezo kwa kutenda mema. Katika mafundisho yako uonyeshe uadilifu, utaratibu, 82:8 1Pet 2:12; 1Tim 6:3; Neh 5:9; 1Tim 5:14; 2The 3:14na usemi sahihi usio na lawama, ili wanaokupinga watahayari, wakose neno lolote baya la kusema juu yetu.

92:9 Efe 6:5; Kol 3:22; 1Tim 6:12; 1Pet 2:18; Efe 5:24Wafundishe watumwa kuwatii mabwana zao katika kila jambo, wakijitahidi kuwapendeza wala wasijibizane nao, 102:10 Mt 5:16; Flp 2:15; Tit 1:3; Lk 1:47wala wasiwaibie, bali waonyeshe kuwa wanaweza kuaminika kabisa, ili kwa kila namna wayafanye mafundisho ya Mungu Mwokozi wetu yawe ya kuvutia.

112:11 1Tim 2:4; Rum 3:24; 2Tim 1:10Kwa maana neema ya Mungu ambayo inawaokoa wanadamu wote imefunuliwa. 122:12 Tit 3:3; 2Tim 3:12Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa, 132:13 2Pet 1:1; 1Kor 1:7; 1Tim 6:14; Flp 3:20huku tukilitazamia tumaini lenye baraka na ufunuo wa utukufu wa Mungu wetu Mkuu, aliye Mwokozi wetu Yesu Kristo. 142:14 Za 85:4; Mit 16:7Ndiye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe kutoka uovu wote na kujisafishia watu kuwa mali yake Mwenyewe, yaani, wale walio na juhudi katika kutenda mema.

15Basi wewe fundisha mambo haya. Onya na kukaripia kwa mamlaka yote. Mtu yeyote asikudharau.