夫妻之道
1-2照样,做妻子的要顺服丈夫。这样,即使丈夫不信从真道,也会因为看见妻子贞洁和敬虔的品行而被无声地感化。 3你们不要注重外表的妆饰,像编头发、戴金饰或穿华丽的衣服, 4要以温柔、娴静这些永不褪色的内在美为妆饰,这是上帝所看重的。 5从前那些仰赖上帝的圣洁妇女,都是以这些来妆饰自己,并顺服自己的丈夫, 6正如撒拉顺服亚伯拉罕,称他为主人。所以,如果你们做对的事,不怕恐吓,就是撒拉的女儿。
7你们做丈夫的也一样,要按情理3:7 “按情理”希腊文是“按知识”。与妻子共同生活,因为她们比你们软弱。要敬重她们,因为她们和你们一同承受上帝施恩赐下的生命。这样,你们的祷告就可以畅通无阻了。
要为义受苦
8总而言之,你们要同心合意,互相关怀,彼此相爱,仁慈谦虚。 9不要以恶报恶,以辱骂还辱骂,反要祝福对方,这是你们蒙召的目的,好叫你们得到祝福。 10因为圣经上说:
“若有人热爱生命,
渴望幸福,
就要舌头不出恶言,
嘴唇不说诡诈的话。
11要弃恶行善,竭力追求和睦。
12因为主的眼睛看顾义人,
祂的耳朵垂听他们的祈求。
但主必严惩作恶之人。”
13如果你们热心行善,有谁会害你们呢? 14就算你们为义受苦,也是有福的。不要害怕别人的恐吓3:14 “不要害怕别人的恐吓”或译“不要怕别人所怕的”。,也不要惊慌, 15要心里尊基督为主。如果有人问起你们心中的盼望,你们要随时准备答复, 16但态度要温和恭敬,存无愧的良心。这样,那些对你们因信基督而有的好品行妄加诬蔑的人会自觉羞愧。 17如果上帝的旨意是要你们因行善而受苦,这也总比你们因作恶而受苦强。
18因为基督也曾一次为罪受苦,以无罪之身代替不义之人,为要领你们到上帝面前。祂的肉体虽被处死,但祂借着圣灵复活了。 19祂还借着圣灵向那些监狱中的灵魂传道, 20他们就是从前在挪亚造方舟、上帝耐心等候人们悔改的时代中那些不肯信的人。当时进入方舟,从洪水中得救的人很少,只有八个人。 21这水代表的洗礼现在借着耶稣基督的复活也拯救了你们。这洗礼要表明的不是除掉肉体的污秽,而是求在上帝面前有无愧的良心。 22基督已经升到天上,坐在上帝的右边,众天使、掌权的、有能力的都服从了祂。
Mafundisho Kwa Wake Na Waume
13:1 1Pet 2:18; Efe 5:22; 1Kor 7:16Kadhalika enyi wake, watiini waume zenu, ili kama kunao wasioamini lile neno, wapate kuvutwa na mwenendo wa wake zao pasipo neno, 23:2 1Pet 2:12kwa kuuona utakatifu na uchaji wa Mungu katika maisha yenu. 33:3 Isa 3:18-23; 1Tim 2:9; 1Pet 3:4; Rum 7:22; Efe 3:16Kujipamba kwenu kusiwe kwa nje tu, kama vile kusuka nywele, kuvalia vitu vilivyofanyizwa kwa dhahabu na kwa mavazi. 43:4 Za 45:13; Rum 2:29; 7:22; 2Kor 4:16Badala yake, kujipamba kwenu kuwe katika utu wenu wa moyoni, yaani uzuri usioharibika wa roho ya upole na utulivu, ambayo ni ya thamani sana machoni pa Mungu. 53:5 1Tim 5:5Kwa kuwa hivi ndivyo walivyokuwa wakijipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu. Wao walikuwa ni watiifu kwa waume zao, 63:6 Mwa 18:12kama Sara alivyomtii mumewe Abrahamu, hata akamwita bwana. Ninyi ni watoto wa Sara kama mkitenda yaliyo mema, bila kuogopa jambo lolote.
73:7 Kol 3:19; 1Kor 7:3; Efe 5:25; Kol 3:10; 1Kor 12:23; 1The 4:14Vivyo hivyo ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, nanyi wapeni heshima mkitambua ya kuwa wao ni wenzi walio dhaifu, na kama warithi pamoja nanyi wa kipawa cha neema cha uzima, ili kusiwepo na chochote cha kuzuia maombi yenu.
Kuteseka Kwa Kutenda Mema
83:8 Rum 12:10; Efe 4:2Hatimaye, ninyi nyote kuweni na nia moja, wenye kuhurumiana, mkipendana kama ndugu, na mwe wasikitivu na wanyenyekevu. 93:9 Rum 12:17; 1The 5:15; 1Pet 2:21-23; Ebr 6:14Msilipe ovu kwa ovu, au jeuri kwa jeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloitiwa ili mpate kurithi baraka. 103:10 Za 34:12; Yak 1:26; 1Pet 2:1, 22; Ufu 14:5Kwa maana,
“Yeyote apendaye uzima
na kuona siku njema,
basi auzuie ulimi wake usinene mabaya,
na midomo yake isiseme hila.
113:11 Za 37:27; Isa 1:16, 17; 3Yn 11; Rum 12:8; 14:19Mtu huyo lazima aache uovu, akatende mema;
lazima aitafute amani na kuifuatilia sana.
123:12 Za 34:12-16; Yn 9:31; Yak 5:16Kwa maana macho ya Bwana
huwaelekea wenye haki,
na masikio yake yako makini
kusikiliza maombi yao.
Bali uso wa Bwana uko kinyume
na watendao maovu.”
Kuvumilia Mateso
133:13 Mit 16:7; Tit 2:14Basi, ni nani atakayewadhuru mkiwa wenye juhudi katika kutenda mema? 143:14 1Pet 4:15-16; Isa 8:12-14Lakini mmebarikiwa hata kama ikiwalazimu kuteseka kwa ajili ya haki. “Msiogope vitisho vyao, wala msiwe na wasiwasi.” 153:15 Kol 4:6Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana mioyoni mwenu. Siku zote mwe tayari kumjibu mtu yeyote atakayewauliza kuhusu sababu ya tumaini lililomo ndani yenu. Lakini fanyeni hivyo kwa upole na kwa heshima, 163:16 Mdo 23:1; Ebr 13:18; 1Pet 2:12-15mkizitunza dhamiri zenu ziwe safi, ili wale wasemao mabaya dhidi ya mwenendo wenu mzuri katika Kristo waaibike kwa ajili ya masingizio yao.
173:17 1Pet 4:19; 2:20; 4:15-16Kwa maana ni afadhali kupata mateso kwa ajili ya kutenda mema, kama kuteseka huko ndiyo mapenzi ya Mungu, kuliko kuteseka kwa kutenda maovu. 183:18 1Pet 2:21; Kol 1:22; 1Pet 4:1-6Kwa kuwa Kristo naye aliteswa mara moja tu kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili ya wasio haki, ili awalete ninyi kwa Mungu. Mwili wake ukauawa, lakini akafanywa hai katika Roho. 193:19 1Pet 1:12; 4:6; Isa 42:7; 49:9; 61:1Baada ya kufanywa hai, alikwenda na kuzihubiria roho zilizokuwa kifungoni: 203:20 Mwa 6:3; Ebr 11:7roho hizo ambazo zamani hazikutii, wakati ule uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja katika siku za Noa, wakati wa kujenga safina, ambamo watu wachache tu, yaani watu wanane, waliokolewa ili wasiangamie kwa gharika. 213:21 Mdo 22:16; Tit 3:5Nayo maji hayo ni kielelezo cha ubatizo ambao sasa unawaokoa ninyi pia: si kwa kuondoa uchafu kwenye mwili, bali kama ahadi ya dhamiri safi kwa Mungu, kwa njia ya ufufuo wa Yesu Kristo. 223:22 Mk 16:19; Mt 28:18; Rum 8:38Yeye ameingia mbinguni na amekaa mkono wa kuume wa Mungu; nao malaika, mamlaka na nguvu zote wametiishwa chini yake.