帖撒罗尼迦前书 4 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

帖撒罗尼迦前书 4:1-18

上帝喜悦的生活

1最后,弟兄姊妹,既然你们领受了我们的教导,知道怎样行才能讨上帝的喜悦,如你们现在所行的,我们靠着主耶稣恳求、劝勉你们要更加努力。 2你们都知道我们靠着主耶稣传给你们的诫命。 3上帝的旨意是要你们圣洁,远避淫乱的事, 4要你们人人都知道持守身体的圣洁和尊贵, 5不可荒淫纵欲,像那些不认识上帝的外族人一样。 6你们在这种事上不可越轨,亏负弟兄姊妹。我们曾经对你们说过,并且郑重地警告过你们,主必惩治犯这种罪的人。 7因为上帝呼召我们不是要我们沾染污秽,而是要我们圣洁。 8所以,人若拒绝遵行这命令,他不是拒绝人,而是拒绝赐圣灵给你们的上帝。

9关于弟兄姊妹彼此相爱的事,我就不必多写了,因为你们自己从上帝那里领受了要彼此相爱的教导。 10你们对马其顿全境的弟兄姊妹已经做到了这一点。不过,我劝各位要再接再厉。 11你们要立志过安分守己的生活,亲手做工,正如我们以前吩咐你们的。 12这样,你们可以得到外人的尊敬,不必依赖任何人。

复活的盼望

13弟兄姊妹,关于安息的信徒4:13 安息的信徒”希腊文是“睡了的人”,圣经常用“睡了”作为“死了”的委婉说法,参见约翰福音十一章11—14节。,我不愿意你们一无所知,免得你们像那些没有盼望的人一样悲伤。 14我们既然相信耶稣死了,又复活了,也要相信上帝必把那些安息的信徒和耶稣一同带来。

15我们把主耶稣的话告诉你们:主再来的那天,我们还活着的人不会比已安息的信徒先见到主。 16因为主必在号令声、天使长的呼喊声和上帝的号角声中亲自从天降临,已经离世的基督徒必先复活。 17然后,我们还活着的人要和他们一起被提到云里,在空中与主相会,永远和主在一起。 18所以你们要用这些话彼此鼓励。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wathesalonike 4:1-18

Maisha Yanayompendeza Mungu

14:1 2Kor 13:11; 5:9Hatimaye, ndugu, tuliwaomba na kuwasihi katika Bwana Yesu kwamba, kama mlivyojifunza kutoka kwetu jinsi iwapasavyo kuishi ili kumpendeza Mungu, kama vile mnavyoishi, imewapasa mzidi sana kufanya hivyo. 2Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa mamlaka ya Bwana Yesu.

34:3 1Kor 6:18Mapenzi ya Mungu ni kwamba ninyi mtakaswe, ili kwamba mjiepushe na zinaa, 44:4 1Kor 7:2-9ili kwamba kila mmoja wenu ajifunze kuutawala mwili wake mwenyewe katika utakatifu na heshima, 54:5 Rum 1:26; Efe 4:17si kwa tamaa mbaya kama watu wa Mataifa wasiomjua Mungu. 64:6 1Kor 6:8; Ebr 13:4Katika jambo hili mtu asimkosee ndugu yake wala kumlaghai. Kwa kuwa Bwana ni mlipiza kisasi katika mambo haya yote, kama vile tulivyokwisha kuwaambia mapema na kuwaonya vikali. 74:7 Law 11:44; 1Pet 1:15Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu. 84:8 Rum 5:5; Gal 4:6Kwa hiyo, mtu yeyote anayekataa mafundisho haya hamkatai mwanadamu, bali anamkataa Mungu anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.

94:9 Rum 12:10; Yn 13:34; 1The 5:1Sasa kuhusu upendo wa ndugu hamna haja mtu yeyote kuwaandikia, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana. 104:10 1The 1:7; 3:12Nanyi kwa kweli mnawapenda ndugu wote katika Makedonia nzima. Lakini ndugu, tunawasihi mzidi sana kuwapenda.

114:11 Efe 4:28; 2The 3:10-12Jitahidini kuishi maisha ya utulivu, kila mtu akijishughulisha na mambo yake mwenyewe na kufanya kazi kwa mikono yake, kama vile tulivyowaagiza, 124:12 Mk 4:11ili maisha yenu ya kila siku yajipatie heshima kutoka kwa watu walio nje, ili msimtegemee mtu yeyote.

Kuja Kwake Bwana

134:13 Efe 2:12Lakini ndugu, hatutaki mkose kujua kuhusu wale waliolala mauti, ili msihuzunike kama watu wengine wasiokuwa na tumaini. 144:14 1Kor 15:18Kwa kuwa tunaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuka, na kwa hivyo, Mungu kwa njia ya Yesu atawafufua pamoja naye wale waliolala mautini ndani yake. 154:15 1Kor 15:52Kulingana na neno la Bwana mwenyewe, tunawaambia kwamba sisi ambao bado tuko hai, tuliobaki hadi kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia waliolala mauti. 164:16 Mt 24:31; 1Kor 15:23; 2The 2:1Kwa maana Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni, akitoa amri kwa sauti kuu, pamoja na sauti ya malaika mkuu, na sauti ya tarumbeta ya Mungu. Nao waliokufa wakiwa katika Kristo watafufuka kwanza. 174:17 Mdo 1:9; Ufu 11:12; 1Kor 15:52; Yn 12:26Baada ya hilo sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu ili kumlaki Bwana hewani, hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. 18Kwa hiyo farijianeni kwa maneno haya.