哥林多后书 10 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

哥林多后书 10:1-18

保罗论自己的职分

1你们以为我在你们中间的时候很温和,不在你们中间的时候却很严厉。如今,我保罗以基督的谦卑和温柔亲自劝你们: 2我去的时候,请不要逼我这样严厉地对待你们,我的严厉是用来对付那些说我凭血气行事的人。 3因为我虽然活在血肉之躯里,但在属灵的争战上,却不是凭血气之勇。 4我们争战的兵器不是属血气的,乃是从上帝而来的能力,可以摧毁坚固的营垒, 5击破一切的谬论和阻碍人们认识上帝的骄傲言论,夺回被掳去的心思意念,使其顺服基督。 6等你们完全顺服主后,我们就要惩罚那些叛逆的人。

7你们只会看事情的表面。如果有人相信自己属于基督,他就应该再想一想,我们跟他一样也是属于基督的。 8因为主赐给我们权柄是为了造就你们,不是为了毁坏你们,就算我为这权柄稍微夸口,也不会感到羞愧。 9我不想你们认为我写信是要威吓你们。 10因为有人说:“他信中的话有分量,很严厉,他本人却软弱无能,言语粗俗。” 11说这话的人要留心:我们不在你们那里的时候,在信上怎么说,与你们见面时也会怎么做。

12我们不敢和那些自我推荐的人相提并论!他们以自己的尺度衡量自己,自我比较,实在不明智! 13但我们并非漫无边际地夸口,而是在上帝为我们定下的范围之内夸口,你们也包括在这范围之内。 14其实把你们包括在我们夸口的范围之内一点都不过分,因为我们曾把基督的福音传到你们那里。 15我们没有超出范围拿别人辛劳的成果夸口,只盼望随着你们信心的增长,我们的范围也得到极大的扩展, 16使我们可以把福音传到你们以外的地方,而不是在别人的工作范围内拿别人的成就夸口。 17“要夸耀,就当夸耀主的作为。” 18因为,蒙悦纳的是主所称许的人,而不是自我称许的人。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 10:1-18

Paulo Atetea Huduma Yake

110:1 Mt 11:29; Gal 5:2; Efe 3:1Basi, mimi Paulo ninawasihi kwa unyenyekevu na upole wa Kristo, mimi niliye “mwoga” ninapokuwa pamoja nanyi ana kwa ana, lakini mwenye ujasiri nikiwa mbali nanyi! 210:2 1Kor 4:21; Rum 12:2Nawaomba nitakapokuja kwenu nisiwe na ujasiri dhidi ya watu fulani, kama ninavyotazamia kwa wale wanaodhani kwamba tunaishi kwa kufuata namna ya ulimwengu huu. 310:3 2Kor 10:2Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo. 410:4 2Kor 6:7; Yer 1:10; 2Kor 13:10Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome, 510:5 Isa 2:10-12; 1Kor 1:19; 2Kor 9:13tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo, 610:6 2Kor 6:9; 7:15tena tukiwa tayari kuadhibu kila tendo la kutotii, kutii kwenu kutakapokamilika.

710:7 Yn 7:24; 2Kor 5:12; 1Kor 1:12; 3:23; 14:37; 2Kor 11:23Angalieni yale yaliyo machoni penu. Kama mtu yeyote anaamini kuwa yeye ni mali ya Kristo, basi kumbuka kuwa kama ulivyo wa Kristo, vivyo hivyo na sisi ndivyo tulivyo. 810:8 Yer 1:10; 2Kor 13:10Basi hata kama nikijisifu zaidi kidogo kuhusu mamlaka tuliyo nayo, ambayo Bwana alitupa ili kuwajenga wala si kuwabomoa, mimi sitaionea haya. 910:9 1Kor 2:3; Gal 4:13-14; 1Kor 1:17; 2Kor 11:6Sitaki nionekane kama ninayejaribu kuwatisha kwa nyaraka zangu. 1010:10 1Kor 2:3; Gal 4:13-14; 1Kor 1:17; 2Kor 11:6Kwa maana wanasema, “Nyaraka zake ni nzito na zenye nguvu, lakini ana kwa ana ni dhaifu na kuzungumza kwake ni kwa kudharauliwa.” 1110:11 2Kor 13:2, 10Watu kama hao wajue ya kuwa, yale tusemayo kwa barua tukiwa hatupo pamoja nanyi, ndivyo tulivyo na ndivyo tutakavyofanya tutakapokuwa pamoja nanyi.

1210:12 2Kor 3:1Hatuthubutu kujiweka kwenye kundi moja au kujilinganisha na hao wanaojitukuza wenyewe kuwa wao ni wa maana sana. Wanapojipima na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, wanaonyesha ya kuwa hawana busara. 1310:13 Rum 12:3Lakini sisi hatujajivuna kupita kiasi, bali majivuno yetu yatakuwa katika mipaka ile Mungu aliyotuwekea, mipaka ambayo inawafikia hata ninyi. 1410:14 1Kor 3:6; 2Kor 2:12Kwa maana hatukuwa tunavuka mipaka katika kujisifu kwetu, kama vile ambavyo ingekuwa kama hatukuwa tumekuja kwenu. Kwa maana sisi ndio tuliokuwa wa kwanza kuja kwenu na Injili ya Kristo. 1510:15 Rum 15:20; 2The 1:3Wala hatuvuki mipaka kwa kujisifu kwetu kwa ajili ya kazi iliyofanywa na watu wengine. Tumaini letu ni kwamba imani yenu inavyozidi kukua, eneo letu la utendaji miongoni mwenu litapanuka zaidi, 1610:16 Rum 1:1; 2Kor 2:12; Mdo 19:21ili tuweze kuhubiri Injili sehemu zilizo mbali na maeneo yenu. Kwa maana hatutaki kujisifu kwa ajili ya kazi ambayo imekwisha kufanyika tayari katika eneo la mtu mwingine. 1710:17 Yer 9:24; Za 34:2; 44:8; 1Kor 1:31Lakini, “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana.” 1810:18 Rum 2:29Kwa maana si yeye ajisifuye mwenyewe akubaliwaye, bali yeye ambaye Bwana humsifu.