哈巴谷的祷告
1以下是哈巴谷先知的祷告,采用流离调3:1 流离调是希伯来诗歌的一种曲调。。
2耶和华啊,我听过你的威名;
耶和华啊,我对你的作为充满敬畏。
求你如今再次彰显你的作为,
求你发怒的时候仍以怜悯为念。
3上帝从提幔来,
圣者从巴兰山来。(细拉)
祂的荣耀遮蔽诸天,
颂赞祂的声音响彻大地。
4祂的荣光犹如太阳的光辉,
祂的手射出光芒,
其中蕴藏着大能。
5瘟疫行在祂前面,
灾病跟在祂脚后。
6祂停下,大地就震动;
祂观看,万民就战栗。
古老的山岳崩裂,
远古的丘陵塌陷,
但祂的作为永远不变。
7我看见古珊的帐篷遭难,
米甸人的幔子颤抖。
8耶和华啊,你是向江河发怒吗?
你乘着得胜的战车而来,
是向江河生气吗?
是向海洋发怒吗?
9你拿出弓,要射出许多箭羽。(细拉)
你以江河分开大地。
10群山看见你就战栗,
大雨倾盆,
深渊翻腾,波浪滔天。
11你射出的箭闪闪发光,
你的枪熠熠生辉,
以致日月都停在天上。
12你怀着烈怒走遍大地,
践踏万国。
13你出来是为了拯救你的子民,
拯救你膏立的王。
你打垮邪恶之人的首领,
从头到脚彻底毁灭他们。(细拉)
14他们的军队如旋风而至,
要驱散我们,
他们以暗中吞噬贫民为乐,
但你用他们的矛刺透他们的头颅。
15你骑马践踏汹涌的大海。
16我听到这些,
就胆战心惊,嘴唇哆嗦,
四肢无力,双腿发抖。
但我仍要静候灾难临到入侵者的日子。
17即使无花果树不发芽,
葡萄树不结果,
橄榄树无收成,
田地不产粮,
圈里没有羊,
棚里没有牛,
18我仍要因耶和华而欢欣,
因拯救我的上帝而喜乐。
19主耶和华是我的力量,
祂使我的脚如母鹿的蹄,
稳行在高处。
这首歌交给乐长,用弦乐器伴奏。
Maombi Ya Habakuki
1Sala ya nabii Habakuki iliyoimbwa kwa shigionothi.3:1 Ni kifaa cha uimbaji chenye nyuzi; pia maombi kutumia kifaa hiki.
23:2 Ay 26:14; Za 119:120; 90:16; 44:1; 85:6; Isa 54:8Bwana, nimezisikia sifa zako;
nami naogopa kwa matendo yako, Ee Bwana.
Fufua kazi yako katikati ya miaka,
katikati ya miaka tangaza habari yako;
katika ghadhabu kumbuka rehema.
33:3 Mwa 36:11, 15; Isa 31:1; Hes 10:12; Za 48:10Mungu alitoka Temani,
yeye Aliye Mtakatifu kutoka Mlima Parani.
Utukufu wake ulifunika mbingu,
na sifa zake zikaifunika dunia.
43:4 Isa 18:4; Ay 9:6Mngʼao wake ulikuwa kama jua lichomozalo;
mionzi ilimulika kutoka mkononi mwake,
ambako nguvu zake zilifichwa.
53:5 Law 26:25Tauni ilimtangulia;
maradhi ya kuambukiza yalifuata nyayo zake.
63:6 Za 46:2; 114:1-6; 18:7; Kut 19:18; 23:31; Kum 32:8; Hes 21:24, 34; Mwa 49:26; 21:33Alisimama, akaitikisa dunia;
alitazama, na kuyafanya mataifa yatetemeke.
Milima ya zamani iligeuka mavumbi
na vilima vilivyozeeka vikaanguka.
Njia zake ni za milele.
73:7 Mwa 25:2; Hes 25:15; Amu 7:24-25; Kut 15:14Niliona watu wa Kushani katika dhiki,
na makazi ya Midiani katika maumivu makali.
83:8 Kut 7:20; 14:21, 22; 2Fal 2:11; Za 77:16; 68:17Ee Bwana, uliikasirikia mito?
Je, ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya vijito?
Je, ulighadhibikia bahari
ulipoendesha farasi wako
na magari yako ya ushindi?
93:9 Kum 32:23; Za 7:12-13Uliufunua upinde wako
na kuita mishale mingi.
Uliigawa dunia kwa mito;
103:10 Za 77:16; 98:7; 93:3milima ilikuona ikatetemeka.
Mafuriko ya maji yakapita huko;
vilindi vilinguruma
na kuinua mawimbi yake juu.
113:11 Yos 10:13; Za 18:14; 144:6; Zek 9:14Jua na mwezi vilisimama kimya mbinguni
katika mngʼao wa mishale yako inayoruka,
na katika mngʼao wa mkuki wako umeremetao.
123:12 Za 44:2, 3; Mik 4:13; Isa 41:15Kwa ghadhabu ulipita juu ya dunia,
na katika hasira ulikanyaga mataifa.
133:13 Kut 13:21; Za 20:6; 28:8; 68:21; 2Sam 5:20; 23:1Ulikuja kuwaokoa watu wako,
kumwokoa uliyemtia mafuta.
Ulimponda kiongozi wa nchi ya uovu,
ukamvua toka kichwani hadi wayo.
143:14 Amu 7:22; Za 64:2-5Kwa mkuki wake mwenyewe ulitoboa kichwa chake
wakati mashujaa wake walifurika nje kwa kishindo kututawanya,
wakifurahi kama walio karibu kutafuna
wale wanyonge waliokuwa mafichoni.
153:15 Ay 9:8; Kut 15:8Ulikanyaga bahari kwa farasi wako,
ukisukasuka maji makuu.
163:16 Ay 4:14; Za 37:7Nilisikia na moyo wangu ukagonga kwa nguvu,
midomo yangu ikatetemeka kwa hofu niliposikia sauti;
uchakavu ukanyemelea mifupa yangu,
na miguu yangu ikatetemeka.
Hata hivyo nitasubiri kwa uvumilivu siku ya maafa
kuyajilia mataifa yaliyotuvamia.
173:17 Yoe 1:10-18; 2Kor 4:8, 9; Yer 5:17Ingawa mtini hauchanui maua
na hakuna zabibu juu ya mizabibu,
ingawaje mzeituni hauzai,
na hata mashamba hayatoi chakula,
iwapo hakuna kondoo katika banda,
wala ngʼombe katika zizi,
183:18 Za 42:5; 97:12; Isa 61:10; Kut 15:2; Lk 1:47; Flp 4:4hata hivyo nitashangilia katika Bwana,
nitamfurahia Mungu Mwokozi wangu.
193:19 Kum 32:13; 33:29; Za 27:1; 46:1-5; 18:33Bwana Mwenyezi ni nguvu yangu;
huifanya miguu yangu kama miguu ya ayala,
huniwezesha kupita juu ya vilima.
Kwa kiongozi wa uimbaji. Kwa vinanda vyangu vya nyuzi.