利未的后裔
1利未的儿子是革顺、哥辖和米拉利。 2哥辖的儿子是暗兰、以斯哈、希伯仑和乌薛。 3暗兰的儿子是亚伦和摩西,女儿是米利暗。亚伦的儿子是拿答、亚比户、以利亚撒和以他玛。 4以利亚撒生非尼哈,非尼哈生亚比书, 5亚比书生布基,布基生乌西, 6乌西生西拉希雅,西拉希雅生米拉约, 7米拉约生亚玛利雅,亚玛利雅生亚希突, 8亚希突生撒督,撒督生亚希玛斯, 9亚希玛斯生亚撒利雅,亚撒利雅生约哈难, 10约哈难生亚撒利雅——这亚撒利雅在耶路撒冷所罗门建的圣殿里任祭司, 11亚撒利雅生亚玛利雅,亚玛利雅生亚希突, 12亚希突生撒督,撒督生沙龙, 13沙龙生希勒迦,希勒迦生亚撒利雅, 14亚撒利雅生西莱雅,西莱雅生约萨答。 15在耶和华借尼布甲尼撒掳掠犹大和耶路撒冷人的时候,约萨答也一起被掳去了。
16利未的儿子是革顺、哥辖和米拉利。 17革顺的儿子一个叫立尼,一个叫示每。 18哥辖的儿子是暗兰、以斯哈、希伯仑、乌薛。 19米拉利的儿子是抹利和姆示。以上是利未人按宗族分的各家族。
20革顺的儿子是立尼,立尼的儿子是雅哈,雅哈的儿子是薪玛, 21薪玛的儿子是约亚,约亚的儿子是易多,易多的儿子是谢拉,谢拉的儿子是耶特赖。
22哥辖的儿子是亚米拿达,亚米拿达的儿子是可拉,可拉的儿子是亚惜, 23亚惜的儿子是以利加拿,以利加拿的儿子是以比雅撒,以比雅撒的儿子是亚惜, 24亚惜的儿子是他哈,他哈的儿子是乌列,乌列的儿子是乌西雅,乌西雅的儿子是少罗。 25以利加拿的儿子是亚玛赛和亚希摩。 26亚希摩的儿子是以利加拿,以利加拿的儿子是琐菲,琐菲的儿子是拿哈, 27拿哈的儿子是以利押,以利押的儿子是耶罗罕,耶罗罕的儿子是以利加拿,以利加拿的儿子是撒母耳。 28撒母耳的长子是约珥,次子是亚比亚。 29米拉利的儿子是抹利,抹利的儿子是立尼,立尼的儿子是示每,示每的儿子是乌撒, 30乌撒的儿子是示米亚,示米亚的儿子是哈基雅,哈基雅的儿子是亚帅雅。
圣殿的歌乐手
31约柜安放在耶和华的殿中之后,大卫便派人在那里负责歌乐。 32他们按班次在会幕供职,一直到所罗门在耶路撒冷建造了耶和华的殿。 33以下是负责歌乐的人及其后代:
哥辖的后代有希幔。希幔是约珥的儿子,约珥是撒母耳的儿子, 34撒母耳是以利加拿的儿子,以利加拿是耶罗罕的儿子,耶罗罕是以列的儿子,以列是陀亚的儿子, 35陀亚是苏弗的儿子,苏弗是以利加拿的儿子,以利加拿是玛哈的儿子,玛哈是亚玛赛的儿子, 36亚玛赛是以利加拿的儿子,以利加拿是约珥的儿子,约珥是亚撒利雅的儿子,亚撒利雅是西番雅的儿子, 37西番雅是他哈的儿子,他哈是亚惜的儿子,亚惜是以比雅撒的儿子,以比雅撒是可拉的儿子, 38可拉是以斯哈的儿子,以斯哈是哥辖的儿子,哥辖是利未的儿子,利未是以色列的儿子。 39希幔的族兄和助手亚萨是比利迦的儿子,比利迦是示米亚的儿子, 40示米亚是米迦勒的儿子,米迦勒是巴西雅的儿子,巴西雅是玛基雅的儿子, 41玛基雅是伊特尼的儿子,伊特尼是谢拉的儿子,谢拉是亚大雅的儿子, 42亚大雅是以探的儿子,以探是薪玛的儿子,薪玛是示每的儿子, 43示每是雅哈的儿子,雅哈是革顺的儿子,革顺是利未的儿子。 44希幔和亚萨的族兄和助手有米拉利的后代以探。以探是基示的儿子,基示是亚伯底的儿子,亚伯底是玛鹿的儿子, 45玛鹿是哈沙比雅的儿子,哈沙比雅是亚玛谢的儿子,亚玛谢是希勒迦的儿子, 46希勒迦是暗西的儿子,暗西是巴尼的儿子,巴尼是沙麦的儿子, 47沙麦是末力的儿子,末力是姆示的儿子,姆示是米拉利的儿子,米拉利是利未的儿子。 48希幔和亚萨的同族弟兄利未人都奉派到会幕——上帝的殿中担任各种职务。
49亚伦和他的后代在祭坛和香坛上献祭烧香,负责至圣所里的各种工作,为以色列人赎罪,正如上帝的仆人摩西的吩咐。 50以下是亚伦的后代:以利亚撒、非尼哈、亚比书、 51布基、乌西、西拉希雅、 52米拉约、亚玛利雅、亚希突、 53撒督、亚希玛斯。
利未人住的地方
54以下是哥辖族人亚伦的后代分到的地方:
他们抽中第一签, 55得到了犹大境内的希伯仑城及其周围的草场, 56但城外的田地和村庄分给了耶孚尼的儿子迦勒。 57亚伦的子孙得到避难城希伯仑、立拿及其周围的草场、雅提珥、以实提莫及其周围的草场、 58希仑、底璧、 59亚珊、伯·示麦及这些城邑周围的草场。 60他们还得到了便雅悯支派的迦巴、阿勒篾、亚拿突及这些城邑周围的草场。他们各宗族所得的城邑共十三座。
61哥辖族其余的人从玛拿西半个支派中抽签分到了十座城。 62革顺各宗族的人从以萨迦、亚设和拿弗他利支派以及玛拿西支派的巴珊地区分到了十三座城。 63米拉利各宗族的人从吕便、迦得和西布伦支派抽签分到十二座城。 64以色列人把这些城邑及其周围的草场分给了利未人。 65以上提到的犹大、西缅和便雅悯支派的城邑也是用抽签的方式分给他们的。 66哥辖的一些宗族从以法莲支派分到城邑, 67其中有以法莲山区的避难城示剑及其周围的草场,还有基色、 68约缅、伯·和仑、 69亚雅仑和迦特·临门及这些城邑周围的草场。 70哥辖族其余的人从玛拿西半个支派中得到了亚乃、比连城及其周围的草场。 71革顺族从玛拿西半个支派中得到了巴珊的哥兰及其周围的草场,亚斯她录及其周围的草场。 72他们从以萨迦支派得到了基低斯、大比拉、 73拉末、亚念及这些城邑周围的草场。 74他们从亚设支派得到了玛沙、押顿、 75户割、利合及这些城邑周围的草场。 76他们从拿弗他利支派得到了加利利的基低斯、哈们、基列亭及这些城邑周围的草场。 77米拉利族的人从西布伦支派得到了临摩挪和他泊城及其周围的草场; 78从约旦河东岸、耶利哥对面的吕便支派得到了旷野中的比悉、雅哈撒、 79基底莫、米法押及这些城邑的草场; 80从迦得支派得到了基列的拉末及其周围的草场、玛哈念、 81希实本、雅谢及这些城邑周围的草场。
Wana Wa Lawi
16:1 Mwa 29:34; Kut 6:16Wana wa Lawi walikuwa:
Gershoni, Kohathi na Merari.
2Wana wa Kohathi walikuwa:
Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
36:3 Law 10:1–20:2; Kut 6:23; 24:1Amramu alikuwa na wana:
Aroni, Mose, na Miriamu.
Aroni alikuwa na wana:
Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
4Eleazari akamzaa Finehasi,
Finehasi akamzaa Abishua,
5Abishua akamzaa Buki,
Buki akamzaa Uzi,
6Uzi akamzaa Zerahia,
Zerahia akamzaa Merayothi,
7Merayothi akamzaa Amaria,
Amaria akamzaa Ahitubu,
86:8 2Sam 15:27; Ezr 7:2; 2Sam 8:17Ahitubu akamzaa Sadoki,
Sadoki akamzaa Ahimaasi,
9Ahimaasi akamzaa Azaria,
Azaria akamzaa Yohanani,
106:10 1Fal 6:1; 2Nya 3:1; 26:17-18Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
116:11 Ezr 7:3Azaria akamzaa Amaria,
Amaria akamzaa Ahitubu,
12Ahitubu akamzaa Sadoki,
Sadoki akamzaa Shalumu,
136:13 2Fal 22:5-20; 2Nya 35:8Shalumu akamzaa Hilkia,
Hilkia akamzaa Azaria,
146:14 Ezr 2:2; Neh 11:11Azaria akamzaa Seraya,
Seraya akamzaa Yehosadaki.
156:15 2Fal 25:18; Zek 6:11; 2Nya 36:17-21Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
166:16 Mwa 29:34; Kut 6:16; Hes 26:57Wana wa Lawi walikuwa:
Gershoni, Kohathi na Merari.
17Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni:
Libni na Shimei.
18Wana wa Kohathi walikuwa:
Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
196:19 Mwa 46:11; 1Nya 23:21; Hes 3:33Wana wa Merari walikuwa:
Mahli na Mushi.
Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
20Wazao wa Gershoni:
Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi,
Yahathi akamzaa Zima, 216:21 1Nya 6:41-42Zima akamzaa Yoa,
Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera,
Zera akamzaa Yeatherai.
226:22 Kut 6:24Wazao wa Kohathi:
Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora,
Kora akamzaa Asiri, 23Asiri akamzaa Elikana,
Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
246:24 1Nya 15:5Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli,
Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
25Wazao wa Elikana walikuwa:
Amasai na Ahimothi,
26Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai,
Sofai akamzaa Nahathi, 276:27 1Sam 1:1; 1:20Nahathi akamzaa Eliabu,
Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana,
Elikana akamzaa Samweli.
286:28 1Nya 6:33; 1Sam 8:2Wana wa Samweli walikuwa:
Yoeli mzaliwa wake wa kwanza,
na Abiya mwanawe wa pili.
29Wafuatao ndio wazao wa Merari:
Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni,
Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
30Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia,
Hagia akamzaa Asaya.
Waimbaji Wa Hekalu
316:31 2Nya 29:25-26; Neh 12:45; Ezr 3:10; Za 68:29; 1Nya 16:1; 2Sam 6:17; 1Fal 8:4Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko. 32Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
336:33 1Fal 4:31; 1Nya 15:17; Mit 28Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao:
Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa:
Hemani, mpiga kinanda,
alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
346:34 1Sam 1:1mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu,
mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
35mwana wa Sufu, mwana wa Elikana,
mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
36mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli,
mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
376:37 Kut 6:24mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri,
mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
386:38 Kut 6:21mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi,
mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
396:39 2Nya 29:13; Neh 11:17; 1Nya 15:17na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume:
Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
40mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya,
mwana wa Malkiya, 41mwana wa Ethni,
mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
42mwana wa Ethani, mwana wa Zima,
mwana wa Shimei, 43mwana wa Yahathi,
mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
44Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto:
Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi,
mwana wa Maluki, 45mwana wa Hashabia,
mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
46mwana wa Amsi, mwana wa Bani,
mwana wa Shemeri, 47mwana wa Mahli,
mwana wa Mushi, mwana wa Merari,
mwana wa Lawi.
486:48 1Nya 23:32Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu. 496:49 Kut 27:1-8; 30:1-7, 10; 2Nya 26:18; Kut 29:38; Hes 3:10; 18:7; Ebr 5:1; 1Sam 2:28; 1Nya 23:13Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
506:50 Kut 6:23; Hes 3; 2; 26:60; 1Nya 24:1; Ezr 7:2-5Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni:
Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi,
Finehasi akamzaa Abishua, 51Abishua akamzaa Buki,
Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
52Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria,
Amaria akamzaa Ahitubu, 536:53 2Sam 8:17Ahitubu akamzaa Sadoki,
Sadoki akamzaa Ahimaasi.
546:54 Hes 31:10; 35:1-9; Yos 21:9-19Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
556:55 Yos 21:11-12Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka. 566:56 Yos 14:13; 15:13Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
576:57 Hes 33:20; Yos 15:48; 21:13Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa, 586:58 Yos 10:42Hileni, Debiri, 596:59 Yos 15:42; 21:16Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. 606:60 Yer 1:1Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
61Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
62Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
636:63 Yos 21:7, 34Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
646:64 Hes 35:1-8; Yos 21:3, 41-42Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho. 65Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
66Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
676:67 Yos 10:33; Mwa 33:19; Yos 21:21Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri, 686:68 1Fal 4:12; Yos 10:10Yokmeamu, Beth-Horoni, 696:69 Yos 10:12; 19:45Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
70Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
716:71 1Nya 23:7; Yos 20:8; 21:27Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho:
Katika nusu ya kabila la Manase:
walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
726:72 Yos 19:12Kutoka kabila la Isakari
walipokea Kedeshi, Daberathi, 73Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
746:74 Yos 19:28Kutoka kabila la Asheri
walipokea Mashali, Abdoni, 756:75 Yos 19:34; Hes 13:21Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
76Kutoka kabila la Naftali
walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
77Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo:
kutoka kabila la Zabuloni
walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
786:78 Yos 20:8Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko
walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa, 796:79 Kum 2:26Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
806:80 Yos 20:8; Mwa 32:2Na kutoka kabila la Gadi
walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu, 816:81 Hes 21:32; 2Nya 11:14; Kum 2:24; Yos 13:10; Isa 15:4; Yer 48:34Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.