以色列的后裔
1以色列的儿子是吕便、西缅、利未、犹大、以萨迦、西布伦、 2但、约瑟、便雅悯、拿弗他利、迦得、亚设。
犹大的后裔
3犹大的儿子是珥、俄南和示拉。这三人是迦南人书亚的女儿生的。犹大的长子珥在耶和华眼中是个邪恶的人,因而被耶和华击杀了。 4犹大的儿媳她玛给犹大生了法勒斯和谢拉。犹大共有五个儿子。 5法勒斯的儿子是希斯仑和哈姆勒。 6谢拉的五个儿子是心利、以探、希幔、甲各、大拉。 7迦米的儿子是亚干,这亚干私藏本该毁灭的东西,连累了以色列人。 8以探的儿子是亚撒利雅。
9希斯仑的儿子是耶拉篾、兰和迦勒2:9 “迦勒”希伯来文是“基路拜”,“迦勒”的另一种拼法。。 10兰生亚米拿达,亚米拿达生拿顺,拿顺是犹大人的首领。 11拿顺生撒门,撒门生波阿斯, 12波阿斯生俄备得,俄备得生耶西。 13耶西生长子以利押、次子亚比拿达、三子示米亚、 14四子拿坦业、五子拉代、 15六子阿鲜、七子大卫。 16他们的姊妹是洗鲁雅和亚比该。洗鲁雅的三个儿子是亚比筛、约押和亚撒黑。 17亚比该生亚玛撒,亚玛撒的父亲是以实玛利人益帖。
希斯仑的后裔
18希斯仑的儿子迦勒和妻子阿苏巴生了儿子,他也和耶略生了儿子。阿苏巴的儿子是耶设、朔罢和押墩。 19阿苏巴死后,迦勒又娶了以法她,生了户珥。 20户珥生乌利,乌利生比撒列。 21希斯仑六十岁娶玛吉的女儿,与她生了西割。玛吉是基列的父亲。 22西割生雅珥,雅珥在基列有二十三座城邑。 23后来基述人和亚兰人夺取了雅珥的城邑,包括基纳及其附近的六十个村落。这些人都是基列的父亲玛吉的后代。 24希斯仑死在迦勒·以法他后,他的妻子亚比雅给他生了亚施户。亚施户是提哥亚的父亲。
耶拉篾的后裔
25希斯仑的长子耶拉篾生了长子兰,又生了布拿、阿连、阿鲜、亚希雅。 26耶拉篾的另一个妻子名叫亚他拉,是阿南的母亲。 27耶拉篾的长子兰的儿子是玛斯、雅悯和以结。 28阿南的儿子是沙迈和雅大。沙迈的儿子是拿答和亚比述。 29亚比述的妻子名叫亚比孩,他们生了亚班和摩利。 30拿答的儿子是西列和亚遍。西列死后没有留下儿子。 31亚遍的儿子是以示,以示的儿子是示珊,示珊的儿子是亚来。 32沙迈的兄弟雅大的儿子是益帖和约拿单。益帖死后没有留下儿子。 33约拿单的儿子是比勒和撒萨。这些人都是耶拉篾的子孙。 34示珊没有儿子,只有女儿,还有一个名叫耶哈的埃及仆人。 35示珊把女儿嫁给仆人耶哈,他们生了亚太。 36亚太生拿单,拿单生撒拔, 37撒拔生以弗拉,以弗拉生俄备得, 38俄备得生耶户,耶户生亚撒利雅, 39亚撒利雅生希利斯,希利斯生以利亚萨, 40以利亚萨生西斯迈,西斯迈生沙龙, 41沙龙生耶加米雅,耶加米雅生以利沙玛。
迦勒的后裔
42耶拉篾的兄弟迦勒的长子是西弗的父亲米沙,希伯仑的父亲玛利沙也是迦勒的儿子。 43希伯仑的儿子是可拉、他普亚、利肯、示玛。 44示玛生拉含,拉含是约干的父亲。利肯生沙迈, 45沙迈的儿子是玛云,玛云是伯·夙的父亲。 46迦勒的妾以法生哈兰、摩撒和迦谢。哈兰生迦谐。 47雅代的儿子是利健、约坦、基珊、毗力、以法、沙亚弗。 48迦勒的妾玛迦生示别、特哈拿、 49麦玛拿的父亲沙亚弗、抹比拿和基比亚的父亲示法。迦勒的女儿是押撒。 50这些人都是迦勒的子孙。 以法她的长子户珥生基列·耶琳的父亲朔巴、 51伯利恒的父亲萨玛、伯迦得的父亲哈勒。 52基列·耶琳的父亲朔巴的子孙是哈罗以和半数米努·哈人。 53基列·耶琳的各宗族是以帖人、布特人、舒玛人、密来人,从这些宗族中又衍生出琐拉人和以实陶人。 54萨玛的后代是伯利恒人、尼陀法人、亚他绿·伯·约押人、半数玛拿哈人、琐利人, 55以及住在雅比斯的文书世家特拉人、示米押人和苏甲人。这些都是基尼人,是利甲家族的祖先哈末的后代。
Wana Wa Israeli
12:1 Mwa 32:28; 35:10; Kut 32:13; Hes 1:5-15; 13:4-15; Mwa 29:32; 1Fal 18:31Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:
Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni, 2Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.
Yuda
Hadi Wana Wa Hesroni
32:3 Mwa 29:35; 38:2; Hes 26:19Wana wa Yuda walikuwa:
Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa Bwana, kwa hiyo Bwana alimuua. 42:4 Mwa 38:11-30; 11:31; 38:29Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
52:5 Mwa 46:12; Hes 26:21; Rut 4:18Wana wa Peresi walikuwa:
Hesroni na Hamuli.
62:6 1Fal 4:31Wana wa Zera walikuwa:
Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.
72:7 Yos 7:1; 6:18; 1Nya 4:1Mwana wa Karmi alikuwa:
Akari,2:7 Akari maana yake Taabisha; pia anaitwa Akani (Yos 6:1-26; 22:20). ambaye alileta taabu kwa Waisraeli kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu vilivyokuwa vimewekwa wakfu.
8Mwana wa Ethani alikuwa:
Azariya.
92:9 Hes 26:21Wana wa Hesroni walikuwa:
Yerameeli, Ramu na Kalebu.
Kuanzia Ramu Mwana Wa Hesroni
102:10 Lk 3:32-33; Kut 6:23; Hes 1:7; Rut 4:19Ramu alimzaa
Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda. 11Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi, 122:12 Rut 2:1; 4:17Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.
132:13 Rut 4:17; Isa 16:6Yese akawazaa
Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,2:13 Au: Shima, maana yake Sifa njema (pia 1Sam 16:9; 17:13). 14wa nne Nethaneli, wa tano Radai, 15wa sita Osemu, na wa saba Daudi. 162:16 1Sam 26:6; 2Sam 2:18; 2:13Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli. 172:17 2Sam 17:25Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.
Kalebu Mwana Wa Hesroni
18Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni. 192:19 1Nya 2:42, 50Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri. 202:20 Kut 32:2; 35:30; 2Nya 1:5Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.
212:21 Hes 21:1Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu. 22Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi. 232:23 Hes 32:41; 32:42; Yos 13:30; Kum 3:14(Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.
242:24 1Nya 4:5; 2Nya 11:6; 20:20; 2Sam 14:2; Neh 3:5; Yer 6:1Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.
Yerameeli Mwana Wa Hesroni
25Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa:
Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya. 26Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.
27Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa:
Maasi, Yamini na Ekeri.
28Wana wa Onamu walikuwa:
Shamai na Yada.
Wana wa Shamai walikuwa:
Nadabu na Abishuri.
29Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.
30Wana wa Nadabu walikuwa
Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.
31Apaimu akamzaa:
Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani.
Sheshani akamzaa Alai.
32Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa:
Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.
33Wana wa Yonathani walikuwa:
Pelethi na Zaza.
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.
34Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu.
Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha. 35Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.
362:36 1Nya 11:41Atai akamzaa Nathani,
Nathani akamzaa Zabadi,
37Zabadi akamzaa Eflali,
Eflali akamzaa Obedi,
38Obedi akamzaa Yehu,
Yehu akamzaa Azaria,
39Azaria akamzaa Helesi,
Helesi akamzaa Eleasa,
40Eleasa akamzaa Sismai,
Sismai akamzaa Shalumu,
41Shalumu akamzaa Yekamia,
naye Yekamia akamzaa Elishama.
Koo Za Kalebu
42Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa:
Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni.
43Hebroni alikuwa na wana wanne:
Kora, Tapua, Rekemu na Shema. 44Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai. 452:45 Yos 15:55; 15:58Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.
46Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.
47Wana wa Yadai walikuwa:
Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.
48Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana. 492:49 Yos 15:31; 15:16Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa. 502:50 1Nya 4:4; 2:19Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu.
Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa:
Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu, 51Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.
52Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa:
Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi, 532:53 2Sam 23:38pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.
542:54 Ezr 2:22; Neh 12:28Wazao wa Salma walikuwa:
Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori, 552:55 Mwa 15:19; Amu 1:16; Yos 19:35; 2Fal 10:15, 23; Yer 35:2-19; Amu 4:11; Hes 24:21-22pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.