加拉太书 5 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

加拉太书 5:1-26

基督徒的自由

1基督释放了我们,是要我们得自由。所以,要站稳了,不要再被奴仆的轭辖制。

2听着!我保罗郑重地告诉你们,如果你们接受割礼,基督对你们就毫无益处。 3我再次警告所有接受割礼的人,他们必须遵守全部的律法。 4你们若想靠遵行律法而被称为义人,就与基督隔绝了,并且离开了上帝的恩典。 5但我们要靠着圣灵,凭信心热切等候所盼望的义。 6我们既然已经在基督耶稣里,受不受割礼根本无关紧要,借着爱表现出来的信心才至关重要。

7你们本来在信心的路上一直跑得很好。现在是谁拦阻了你们,叫你们不再信从真理呢? 8当然不是呼召你们的上帝! 9“一点面酵能使整团面发起来。” 10我在主里深信你们不会有二心,但无论谁搅扰你们,都必受审判。

11弟兄姊妹,如果我仍旧主张行割礼,怎么还会受迫害呢?如果是那样,十字架冒犯人的地方就被消除了。 12我恨不得那些搅扰你们的人把自己阉了5:12 把自己阉了”或作“与你们隔离”。

13弟兄姊妹,你们蒙召得了自由,但不要以自由为借口来放纵情欲,要本着爱心互相服侍, 14因为全部的律法可以总结成一句话:“要爱邻如己”。 15你们要谨慎,如果你们相咬相吞,恐怕会同归于尽。

顺从圣灵而行

16因此,我劝你们行事为人要顺从圣灵的引导,这样就不会放纵罪恶本性的私欲。 17因为人罪恶本性的私欲与圣灵作对,圣灵也与罪恶本性的私欲作对,两者势不两立,使你们不能做自己想做的事。 18但你们如果顺从圣灵的引导,就不再受律法的约束。 19顺从罪恶本性而行的事显而易见,如淫乱、污秽、邪荡、 20拜偶像、行邪术、仇恨、争吵、忌恨、恼怒、纷争、冲突、分裂5:20 分裂”或译“异端”。21嫉妒、凶杀、醉酒和荒宴无度等。我从前警告过你们,现在再一次警告你们:行这些事的人必不能承受上帝的国。

22但圣灵所结的果子是仁爱、喜乐、和平、忍耐、恩慈、良善、信实、 23温柔、节制。没有律法会禁止这些事。 24那些属基督的人已经把罪恶的本性和本性里的邪情私欲都钉在十字架上了。 25如果我们是靠圣灵生活,就当凡事顺从圣灵的引导。 26我们不要自高自大,彼此惹气,互相嫉妒。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wagalatia 5:1-26

Uhuru Ndani Ya Kristo

15:1 Gal 5:13; 2:4; Yn 8:32; Rum 7:4; 1Kor 16:13; Mt 23:4Kristo alitupa uhuru, akataka tubaki huru. Hivyo simameni imara wala msikubali tena kulemewa na kongwa la utumwa.

25:2 Gal 5:3; Mdo 15:1Sikilizeni! Mimi, Paulo, nawaambieni kwamba kama mkikubali kutahiriwa, basi Kristo hatawafaidia chochote. 35:3 Rum 2:25; Gal 3:10; Yak 2:10Namshuhudia tena kila mtu anayekubali kutahiriwa kwamba inampasa kushika sheria yote. 45:4 Rum 3:28; Ebr 12:15; 2Pet 3:17Ninyi mnaotafuta kuhesabiwa haki kwa njia ya sheria mmetengwa na Kristo, mko mbali na neema ya Mungu. 55:5 Rum 8:23, 24; 2Tim 4:8; 1Kor 7:19Kwa maana, kwa njia ya Roho kwa imani, tunangojea kwa shauku tumaini la haki. 65:6 Rum 16:3; 1Kor 7:19; 1The 1:3; Yak 2:22Kwa maana ndani ya Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuleti tofauti, bali lililo muhimu ni imani itendayo kazi kwa njia ya upendo.

75:7 1Kor 9:24; Gal 3:1Mlikuwa mkipiga mbio vizuri. Ni nani aliyewazuia msiitii kweli? 85:8 Rum 8:28; Gal 1:6Ushawishi wa namna hiyo haukutokana na yule anayewaita. 95:9 1Kor 5:6; 15:33“Chachu kidogo huchachua donge zima.” 105:10 2Kor 2:3; Flp 3:15; Gal 1:7Nina hakika katika Bwana kwamba hamtakuwa na msimamo mwingine. Mtu anayewachanganya anastahili adhabu, hata awe nani. 115:11 Gal 4:29; 6:12; Lk 2:34Lakini ndugu zangu, kama mimi bado ninahubiri kuhusu kutahiriwa, kwa nini bado ninateswa? Katika hiyo hali basi, kwazo la msalaba limeondolewa. 125:12 Gal 5:10; Yos 7:25; 1Kor 5:13; Gal 1:8, 9; Mdo 15:1, 2, 24Laiti hao wanaowavuruga wangejihasi wao wenyewe!

135:13 Gal 5:1, 24; 1Kor 8:9; 1Pet 2:16; 1Kor 9:19; 2Kor 4:5Ndugu zangu, ninyi mliitwa ili mwe huru, hivyo msitumie uhuru wenu kama fursa ya kufuata tamaa za mwili, bali tumikianeni ninyi kwa ninyi kwa upendo. 145:14 Law 19:18; Mt 5:43; Gal 6:2Kwa maana sheria yote hukamilika katika amri moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.” 15Kama mkiumana na kutafunana, angalieni, msije mkaangamizana.

Maisha Ya Kiroho

165:16 Gal 5:18, 25; Rum 8:2, 4-6, 9; 14; 2Kor 5:17; Gal 5:14Kwa hiyo nasema, enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili. 175:17 Rum 8:5-8; 7:15-23Kwa maana mwili hutamani yale yaliyo kinyume na Roho, naye Roho hutamani yale yaliyo kinyume na mwili. Roho na mwili hupingana na kwa sababu hiyo hamwezi kufanya mnayotaka. 185:18 Rum 2:12; 6:14; Gal 5:16; 1Tim 1:9Lakini kama mkiongozwa na Roho, hamko chini ya sheria.

195:19 1Kor 6:18; 3:3; Efe 5:3; Kol 3:5; Yak 3:14, 15Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: Uasherati, uchafu, ufisadi, 20kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, 215:21 Rum 13:13; Mt 15:19; 25:34; 1Kor 6:9husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha kuwaonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama hayo, hawataurithi Ufalme wa Mungu.

225:22 Mt 7:16-20Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, 23upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria. 24Wote walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili na shauku zake pamoja na tamaa zake. 25Kwa kuwa tunaishi kwa Roho, basi, tuenende kwa Roho. 265:26 Flp 2:3; Mt 18:15; Yak 2:19Tusijisifu bure, tukichokozana na kuoneana wivu.