加拉太书 1 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

加拉太书 1:1-24

1我是保罗,我做使徒并非受人委派,也不是倚靠人,而是由耶稣基督和叫祂从死里复活的父上帝委派的。 2我和所有跟我在一起的弟兄写信给加拉太的各教会。

3愿我们的父上帝和主耶稣基督赐给你们恩典和平安! 4基督遵照我们父上帝的旨意为我们的罪献上了自己,好拯救我们脱离这罪恶的世代。

5愿荣耀归给上帝,直到永永远远。阿们!

勿随别的福音

6我很惊讶,你们竟然那么快就背弃了借着基督的恩典呼召你们的上帝,去追随别的福音! 7其实那并不是福音,只是某些人扰乱你们的信仰,想篡改基督的福音。 8即便是我们或天使,若另传福音给你们,与我们以前传给你们的相悖,也该受咒诅。 9我们已经说过,现在我再说一次:如果有人向你们传别的福音,跟你们以前接受的不同,那人该受咒诅。

10我现在是要赢得人的赞同吗?还是要赢得上帝的赞同?难道我是要讨好人吗?如果我仍旧要讨好人,我就不是基督的奴仆了。

保罗受上帝委派传福音

11弟兄姊妹,我告诉你们,我传的福音不是出于人的意思, 12因为这福音既不是我从人那里领受的,也不是我跟人学来的,而是耶稣基督亲自启示我的。 13你们都听说过我信奉犹太教时的所作所为,我怎样残酷地迫害上帝的教会,试图摧毁它。 14我在犹太教里比许多同辈的犹太人更进取,狂热地维护祖先的传统。

15然而,当我还在母腹中的时候,上帝就施恩将我分别出来并呼召了我。 16上帝既然乐意把祂的儿子启示给我,叫我向外族人传扬祂的福音,我就没有跟任何人1:16 ”希腊文是“血肉”。商量, 17也没有上耶路撒冷去见那些比我先做使徒的人,而是立刻去了阿拉伯,然后回到大马士革

18过了三年,我才到耶路撒冷去拜会彼得,和他一起住了十五天。 19我也见了主耶稣的弟弟雅各,此外没有见过其他使徒。 20我在上帝面前保证,我写给你们的绝无谎言。

21后来我又到了叙利亚基利迦地区。 22那时,犹太境内基督的众教会都还没有见过我的面。 23他们只是听人说:“那个从前迫害我们的人如今在传扬他曾试图摧毁的信仰。” 24于是他们因为我的缘故将荣耀归给上帝。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wagalatia 1:1-24

Salamu

11:1 Mdo 9:15; 20:24; 1Kor 1:1Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu; 21:2 Flp 4:21; Mdo 16:6; 1Kor 16:1na ndugu wote walio pamoja nami:

Kwa makanisa ya Galatia:

31:3 Rum 1:7; 1Kor 1:3; 2Kor 1:2; Efe 1:2; Flp 1:2; Kol 1:2; 1The 1:1Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo, 41:4 Rum 4:25; 1Kor 15:3; Flp 4:20aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. 51:5 Rum 11:36Utukufu una yeye milele na milele. Amen.

Hakuna Injili Nyingine

61:6 Gal 5:8; 2Kor 11:4Nashangaa kwamba mnamwacha upesi hivyo yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuifuata Injili nyingine, 71:7 Mdo 15:24; Gal 5:10ambayo kwa kweli si Injili kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha Injili ya Kristo. 81:8 2Kor 11:4; Rum 9:3Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele! 91:9 Rum 16:17; Kum 4:2; 12:32; Mit 30:6; Ufu 22:18Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!

101:10 1The 2:4; 1Sam 24:7; Mt 28:14; 1Yn 3:9; 1The 2:4Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.

Paulo Ameitwa Na Mungu

111:11 1Kor 15:1Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu. 121:12 1Kor 15:1, 3; Gal 1:1; Efe 3:3Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.

131:13 Mdo 26:4, 5; 8:3Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kwa nguvu na kujaribu kuliangamiza. 141:14 Mt 15:2Nami niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilijitahidi sana katika desturi za baba zangu. 151:15 Isa 49:1, 5; Mdo 9:15Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa neema yake, 161:16 Gal 2:9; Mt 16:17alimdhihirisha Mwanawe kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa watu wa Mataifa. Mimi sikushauriana na mwanadamu yeyote, 171:17 Mdo 9:2, 19-22wala sikupanda kwenda Yerusalemu kuwaona hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.

181:18 Mdo 9:22, 23; 9:26, 27Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa1:18 Yaani Petro. na nilikaa naye siku kumi na tano. 191:19 Mt 13:55Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana. 201:20 Rum 9:1; 1:9Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo. 211:21 Mdo 6:9; 9:30Baadaye nilikwenda sehemu za Syria1:21 Syria hapa ina maana ya Shamu. na Kilikia. 221:22 1The 2:14; Rum 16:3Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo. 231:23 Mdo 6:7; 8:3Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa anahubiri imani ile ile aliyokuwa akijaribu kuiangamiza.” 241:24 Mt 9:8Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.