以赛亚书 7 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以赛亚书 7:1-25

给亚哈斯王的信息

1乌西雅的孙子、约坦的儿子亚哈斯犹大王时,亚兰利迅利玛利的儿子以色列比加来攻打耶路撒冷,却无法攻破。 2亚兰以色列结盟的消息传到犹大王那里,举国上下都吓得胆战心惊,好像林中被风吹动的树木。 3耶和华对以赛亚说:“你带着儿子施亚雅述出去,到上池水沟的尽头——通往漂布场的路上迎见亚哈斯4告诉他要谨慎镇定,不要害怕,不要因亚兰利迅利玛利的儿子的怒气而胆怯,他们不过是两个冒烟的火把头。 5亚兰王和以法莲利玛利的儿子阴谋毁灭他, 6企图攻打并瓜分犹大,改立他比勒的儿子为王。 7但主耶和华说,

“‘这阴谋必无法得逞。

8亚兰的都城是大马士革

大马士革的首领是利迅

六十五年之内,

以色列必亡国。

9以色列的都城是撒玛利亚

撒玛利亚的首领是利玛利的儿子。

你们信心若不坚定,

必无法坚立。’”

10耶和华又对亚哈斯说: 11“向你的上帝耶和华求个征兆吧,或显在天上,或显在阴间。” 12亚哈斯说:“我不求,我不要试探耶和华。” 13以赛亚说:“大卫的子孙啊,你们听着!你们使人厌烦还不够吗?还要使我的上帝厌烦吗? 14所以,主会亲自给你们一个征兆,必有童贞女7:14 童贞女”或译“女子”。怀孕生子并给祂取名叫以马内利7:14 以马内利”意思是“上帝与我们同在”。15他将吃奶酪和蜂蜜,一直到他能明辨是非。 16然而,在他能明辨是非之前,你所惧怕的这二王的国土必荒废。

17“之后,耶和华必让亚述王来攻击你们。这是你全家及你的人民自以色列犹大分裂以来从未有的日子。 18那时,耶和华的哨声一响,埃及的大军必像苍蝇一样从遥远的尼罗河飞扑而来,亚述的人马必如黄蜂一样蜂拥而至, 19遍布险峻的山谷、岩穴、一切荆棘丛和草场。 20那时,主必使用幼发拉底河对岸的亚述王来毁灭你们,就像用租来的剃刀剃光你们的头发、胡须和身上的汗毛。

21“那时,一个人将养活一头母牛和两只羊。 22因出产的奶丰富,他就有奶酪吃,境内剩下的人都将吃奶酪和蜂蜜。 23那时,本来有千株葡萄、价值千金的园子必长满荆棘和蒺藜, 24人们必带着弓箭去打猎,因为遍地长满了荆棘和蒺藜。 25你因惧怕荆棘和蒺藜,将不再去从前用锄头开垦的山地,那里将成为牧放牛羊的地方。”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 7:1-25

Ishara Ya Imanueli

17:1 2Fal 16:5; 2Nya 28:5; 2Fal 15:25, 37; 1Nya 3:13; Isa 8:6; 7:5, 9Wakati Ahazi mwana wa Yothamu, mwana wa Uzia, alipokuwa mfalme wa Yuda, Mfalme Resini wa Aramu,7:1 Yaani Shamu. na Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli walipanda kupigana dhidi ya Yerusalemu, lakini hawakuweza kuushinda.

27:2 2Sam 7:11; Amo 9:11; Hos 5:8; Isa 16:5; Yer 21:12; Isa 6:4; 22:22; 9:9; Dan 5:6; Hos 5:3Wakati huu nyumba ya Daudi iliambiwa, “Aramu wameungana na Efraimu.” Kwa hiyo mioyo ya Ahazi na watu wake ilitikiswa, kama miti ya msituni inavyotikiswa na upepo.

37:3 2Fal 18:17; Isa 36:2; 10:21-22Ndipo Bwana akamwambia Isaya, “Toka uende, wewe na mwanao Shear-Yashubu,7:3 Shear-Yashubu maana yake Mabaki Watarudi. mkutane na Ahazi huko mwisho wa mfereji wa Bwawa la Juu, kwenye barabara iendayo Shamba la Dobi. 47:4 Kum 3:2; 20:3; Mao 3:26; Zek 3:2; Mt 24:6; Isa 54:14; 30:15; 21:4; 8:12; 10:24; 51:13; Mwa 15:1Mwambie, ‘Uwe mwangalifu, utulie na usiogope. Usife moyo kwa ajili ya watu hawa wawili walio kama visiki vya kuni vifukavyo moshi, kwa ajili ya hasira kali ya Resini na Aramu na ya mwana wa Remalia. 57:5 Isa 6:1Aramu, Efraimu na mwana wa Remalia wamepanga shauri baya ili wakuangamize, wakisema, 67:6 Isa 24:3; 25:8; 28:10“Tuishambulie Yuda, naam, tuirarue vipande vipande na kuigawa miongoni mwetu, na kumtawaza mwana wa Tabeeli awe mfalme juu yake.” 77:7 Mdo 4:25; Isa 24:3; 25:8; 28:16; 8:10; 40:8; 46:10; 14:24; Za 2:1Lakini Bwana Mwenyezi asema hivi:

“ ‘Jambo hili halitatendeka,

halitatokea,

87:8 Mwa 3:15; 14:15; 2Sam 8:6; 2Fal 17:24; Isa 9:11; 17:1-3; 8:4; 17:1-3kwa kuwa kichwa cha Aramu ni Dameski,

na kichwa cha Dameski ni Resini peke yake.

Katika muda wa miaka sitini na mitano,

Efraimu atakuwa ameharibiwa

kiasi kwamba hataweza tena kuwa taifa.

97:9 2Nya 20:20; Isa 8:6-8; 30:12-14; 9:9; 9:1, 3; Za 20:8; 2Fal 15:29Kichwa cha Efraimu ni Samaria,

na kichwa cha Samaria

ni mwana wa Remalia peke yake.

Kama hamtasimama thabiti katika imani yenu,

hamtaimarika kamwe.’ ”

10Bwana akasema na Ahazi tena, 117:11 Kum 13:2; Za 139:8; Kut 7:9“Mwombe Bwana Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.”

127:12 Kum 4:34Lakini Ahazi akasema, “Sitaomba; sitamjaribu Bwana.”

137:13 Za 63:1; 118:28; Mwa 30:15; Isa 1:14; 49:4; 61:10Ndipo Isaya akasema, “Sikia sasa, ewe nyumba ya Daudi! Je, haitoshi kujaribu uvumilivu wa wanadamu? Je, mtaujaribu uvumilivu wa Mungu wangu pia? 147:14 Mwa 5:13; 21:22; 24:43; Kut 3:12; Lk 2:12; Mt 1:23; Mwa 3:15; 21:22; Lk 1:31Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara: Bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, na ataitwa Imanueli.7:14 Imanueli maana yake Mungu yu pamoja nasi. 157:15 Mwa 18:8; Isa 8:4; Kum 1:39; 13:16Atakula jibini na asali atakapokuwa ameweza kukataa mabaya na kuchagua mema. 167:16 Isa 8:4; 17:3; Yer 13:5; 7:15; Kum 13:16; 1:39; Hos 5:9-13Lakini kabla mtoto hajajua kukataa mabaya na kuchagua mema, nchi ya wafalme hao wawili unaowaogopa itafanywa ukiwa. 177:17 2Nya 28:20; 1Fal 12:16; Neh 9:32; 2Nya 7:18; Isa 17:9; 34:13Bwana ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako wakati ambao haujawahi kuwako tangu Efraimu alipojitenga na Yuda: yeye atawaleteeni mfalme wa Ashuru.”

187:18 Isa 5:26; 13:5; 7:25Katika siku ile Bwana atawapigia filimbi mainzi kutoka vijito vya mbali vya Misri, na nyuki kutoka nchi ya Ashuru. 197:19 Isa 2:19; 7:25; 17:9; 34:13; 55:13Wote watakuja na kukaa kwenye mabonde yenye miteremko, na kwenye nyufa za miamba, kwenye vichaka vyote vyenye miiba, na kwenye mashimo yote ya maji. 207:20 Isa 10:15; 29:16; 8:7; 11:15; 2Fal 18:16; Yer 27:6-7; 2:18; 2Sam 10:4; Kum 28:40Katika siku ile Bwana atatumia wembe ulioajiriwa kutoka ngʼambo ya Mto,7:20 Yaani Frati. yaani mfalme wa Ashuru, kunyoa nywele za kichwa chako na malaika ya miguu yako, na kuziondoa ndevu zako pia. 217:21 Isa 2:17; Yer 39:10Katika siku ile, mtu atahifadhi hai ndama mmoja na kondoo wawili. 227:22 Mwa 18:8; Isa 14:30Kwa ajili ya wingi wa maziwa watakayotoa, atapata jibini ya kula. Wote watakaobakia katika nchi watakula jibini na asali. 237:23 Isa 5:6; 8:11; 7:2; Hos 2:12Katika siku ile, kila mahali palipokuwa na mizabibu elfu moja yenye thamani ya shekeli 1,0007:23 Shekeli 1,000 ni kama kilo 11.5. za fedha, patakuwa na michongoma na miiba tu. 247:24 Isa 5:6Watu watakwenda huko wakiwa na upinde na mshale, kwa maana nchi itafunikwa na michongoma na miiba. 257:25 Isa 5:17; Hag 1:11Kuhusu vilima vyote vilivyokuwa vikilimwa kwa jembe, hamtakwenda huko tena kwa ajili ya hofu ya michongoma na miiba. Patakuwa mahali ambapo ngʼombe wataachiwa huru, na kondoo kukimbia kimbia.