以赛亚书 48 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以赛亚书 48:1-22

顽梗的以色列

1雅各家啊,听我说!

你们被称为以色列人,是犹大的子孙,

凭耶和华的名起誓、

呼求以色列的上帝,

却不真心诚意。

2你们还自称为圣城的人,

声称倚靠名为万军之耶和华的以色列的上帝。

3“过去所发生的事,

我很久以前就预言过、

亲口宣告过,

然后使它们瞬间发生。

4我知道你顽梗,

有铁一般的颈项,

铜一般的额头。

5所以,在很久以前,

事情还没有发生时就向你预言这些事,

免得你说这些是你的偶像做的,

是你雕刻和铸造的偶像命定的。

6“你已经听见了,看看这一切,

难道你还不承认吗?

现在我要把新事,把你不知道的隐秘事告诉你。

7这些事过去没有,现在才有,

在今天以前你从未听过,

免得你说,‘这些事我早就知道了。’

8你不知道这些事,

甚至闻所未闻。

我知道你生性诡诈,

你自出母胎就被称为悖逆之徒。

9“我为了我的名,暂时忍怒;

我为了我的荣耀,压住怒气,

不消灭你。

10看啊,我熬炼你,但不像在火炉中炼银子,

我是在苦难的炉中熬炼你。

11我这样做是为了自己,

我岂能让自己的名受亵渎,

把自己的荣耀给别人?

12雅各,我所拣选的以色列啊,

听我说!

我是上帝,我是首先的,

也是末后的。

13我亲手奠立大地的根基,

我的右手铺展穹苍。

我一呼唤,它们都侍立一旁。

14“你们一起来听吧。

假神中有谁曾预言过这些事?

耶和华所拣选的人必成就祂的旨意,

他的臂膀必攻击迦勒底人。

15唯有我说过这些事;

我召了他,领他出来;

他必一路亨通。

16你们到我跟前来听吧。

我一开始就没有暗地里说话,

事情发生的时候,我就在场。”

现在主耶和华差遣我和祂的灵来。

17你的救赎主耶和华——以色列的圣者说:

“我是你的上帝耶和华,

我为了使你受益而教导你,

我引导你走当行的路。

18真希望你当时肯听我的命令!

那样,你的平安必像滚滚河水,

你的公义必如滔滔海浪;

19你的后裔必多如海沙,

你的子孙必像细沙一样不可胜数,

他们的名号绝不会从我面前被铲除、被消灭。”

20你们要离开巴比伦

迦勒底人那里逃出来。

你们要高声欢呼,向普天下传扬、宣告:

“耶和华救赎了祂的仆人雅各!”

21耶和华带领他们经过沙漠,

他们也不会口渴。

为了他们,

祂使水从磐石中流出,祂使磐石裂开、涌出水来。

22耶和华说:“恶人得不到平安。”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 48:1-22

Israeli Mkaidi

148:1 Kum 6:13; Kut 23:13; Dan 8:12; Zek 8:3; Mwa 17:5; 29:35; Isa 19:18“Sikilizeni hili, ee nyumba ya Yakobo,

ninyi mnaoitwa kwa jina la Israeli,

na mnaotoka katika ukoo wa Yuda,

ninyi mnaoapa kwa jina la Bwana,

mnaomwomba Mungu wa Israeli,

lakini si katika kweli au kwa haki;

248:2 Neh 11:1; Rum 2:17; Mik 3:11; Isa 1:26; Mt 4:5; Isa 10:20; 47:4ninyi mnaojiita raiya wa mji mtakatifu,

na kumtegemea Mungu wa Israeli,

Bwana Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake:

348:3 Isa 40:21; 45:21; Yos 21:45; Isa 41:22; 17:14; 30:13Nilitoa unabii mambo ya kwanza tangu zamani,

kinywa changu kiliyatangaza na kuyafanya yajulikane;

kisha ghafula nikayatenda, nayo yakatokea.

448:4 Kum 9:27; 31:27; Mdo 5:21; Isa 9:9; Kut 32:9; Eze 3:9; Mdo 7:51Kwa kuwa nalijua jinsi ulivyokuwa mkaidi;

mishipa ya shingo yako ilikuwa chuma,

kipaji chako cha uso kilikuwa shaba.

548:5 Yer 44:15-18; Isa 42:9; 40:21Kwa hiyo nilikuambia mambo haya tangu zamani,

kabla hayajatokea nilikutangazia

ili usije ukasema,

‘Sanamu zangu zilifanya hayo;

kinyago changu cha mti na mungu wangu wa chuma aliyaamuru.’

648:6 Isa 41:22; Rum 16:25Umesikia mambo haya; yaangalie hayo yote.

Je, hutayakubali?

“Kuanzia sasa na kuendelea nitakueleza mambo mapya,

juu ya mambo yaliyofichika usiyoyajua.

748:7 Isa 65:18; 45:21; Kut 6:7Yameumbwa sasa, wala si tangu zamani;

hukupata kuyasikia kabla ya siku ya leo.

Hivyo huwezi kusema,

‘Naam, niliyajua hayo.’

848:8 Za 58:3; Kum 9:24; Isa 41:24; Mal 2:11-14; Isa 43:27Hujayasikia wala kuyaelewa,

tangu zamani sikio lako halikufunguka.

Ninafahamu vyema jinsi ulivyo mdanganyifu,

uliitwa mwasi tangu kuzaliwa kwako.

948:9 Yos 7:9; Ay 9:13; Za 78:38; 1Sam 12:22; Isa 37:35; 30:18Kwa ajili ya Jina langu mwenyewe

ninaichelewesha ghadhabu yangu,

kwa ajili ya sifa zangu nimeizuia isikupate,

ili nisije nikakukatilia mbali.

1048:10 Za 66:10Tazama, nimekusafisha, ingawa si kama fedha,

nimekujaribu katika tanuru ya mateso.

1148:11 1Sam 12:22; Law 18:21; Isa 42:8; Kum 32:26-27; Eze 20:9; Yer 14:7, 21Kwa ajili yangu mwenyewe,

kwa ajili yangu mwenyewe, nafanya hili.

Jinsi gani niliache Jina langu lichafuliwe?

Sitautoa utukufu wangu kwa mwingine.

Israeli Anawekwa Huru

1248:12 Isa 46:3; 41:4; Ufu 22:13; Isa 43:13; 42:6“Ee Yakobo, nisikilize mimi,

Israeli, ambaye nimekuita:

Mimi ndiye;

mimi ndimi mwanzo na mwisho.

1348:13 Ebr 1:10-12; Ay 9:8; Isa 34:16; 40:26; Kut 20:11; Isa 45:18Mkono wangu mwenyewe uliweka misingi ya dunia,

nao mkono wangu wa kuume umezitanda mbingu;

niziitapo, zote husimama pamoja.

1448:14 Isa 43:9; 46:10-11; 41:2, 22; Yer 50:45; Isa 21:9“Kusanyikeni, ninyi nyote, msikilize:

Ni ipi miongoni mwa hizo sanamu

ambayo imetabiri vitu hivi?

Watu wa Bwana waliochaguliwa na kuungana

watatimiza kusudi lake dhidi ya Babeli;

mkono wa Mungu utakuwa dhidi ya Wakaldayo.

1548:15 Amu 4:10; Isa 45:1Mimi, naam, Mimi, nimenena;

naam, nimemwita yeye.

Nitamleta,

naye atafanikiwa katika lile nililomtuma.

1648:16 Isa 45:19; Zek 2:8-11; Isa 33:13; 50:5-9; 11:2“Nikaribieni na msikilize hili:

“Tangu tangazo la kwanza sikusema kwa siri;

wakati litokeapo, nitakuwako hapo.”

Sasa Bwana Mwenyezi amenituma,

kwa Roho wake.

1748:17 Ay 19:25; Za 32:4; Isa 54:8; 47:4; 28:9; Yer 7:13; Isa 49:10Hili ndilo asemalo Bwana,

Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli:

“Mimi ni Bwana, Mungu wako,

nikufundishaye ili upate faida,

nikuongozaye katika njia ikupasayo kuiendea.

1848:18 Kum 5:29; Isa 42:23; Za 147:14; 45:8; Isa 54:13; 33:21; 45:5Laiti ungesikiliza kwa makini maagizo yangu,

amani yako ingekuwa kama mto,

haki yako kama mawimbi ya bahari.

1948:19 Mwa 22:17; Ay 5:25; Yer 35:19; Isa 43:5; 61:9; Mwa 12:2; Isa 56:5Wazao wako wangekuwa kama mchanga,

watoto wako kama chembe zake zisizohesabika;

kamwe jina lao lisingefutiliwa mbali,

wala kuangamizwa kutoka mbele zangu.”

2048:20 Zek 2:6-7; Ufu 18:4; Isa 12:6; Mik 4:10; Isa 52:11; Yer 48:6; 50:8Tokeni huko Babeli,

kimbieni kutoka kwa Wakaldayo!

Tangazeni hili kwa kelele za shangwe

na kulihubiri.

Lipelekeni mpaka miisho ya dunia;

semeni, “Bwana amemkomboa

mtumishi wake Yakobo.”

2148:21 Isa 41:17; 33:16; 30:25; Kut 17:6; Za 105:41; Hes 20:11Hawakuona kiu alipowaongoza kupita jangwani;

alifanya maji yatiririke kutoka kwenye mwamba kwa ajili yao;

akapasua mwamba

na maji yakatoka kwa nguvu.

2248:22 Isa 3:11; 57:21; Ay 3:26“Hakuna amani kwa waovu,” asema Bwana.